Waziri adaiwa kumwaga noti kununua Kawe beach, NHC yasema haijauzwa ni mali yake na kampuni ya Dubai

Waziri adaiwa kumwaga noti kununua Kawe beach, NHC yasema haijauzwa ni mali yake na kampuni ya Dubai

WAZIRI ADAIWA KUMWAGA NOTI KUNUNUA KAWE BEACH, NHC YASEMA HAIJAUZWA NI MALI YAKE NA KAMPUNI YA DUBAI

WAZIRI mmoja mwandamizi, anadaiwa kuibua hali ya sintofahamu kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa eneo la Kawe Beach, kwa kuwalipa mamilioni ya fedha ili waondoke kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii.
Inadaiwa, wapangaji wanaopinga kuondolewa eneo hilo la ufukweni mwa Bahari ya Hindi, wamekuwa wakitishwa na baadhi yao kubomolewa nyumba wanazoishi huku vitu vyao vikiwa ndani.

Madai haya yamekuja hivi karibuni kutoka kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo walioeleza kuwa, katika kutekeleza azma yake ya kulitwaa eneo la ufukwe, waziri huyo (jina lake tunalihifadhi kwa muda) anamtumia mwanaye mkubwa wa kiume pamoja na msaidizi wake wa karibu.

Inadaiwa, yeye mwenyewe waziri, alilazimika kwenda eneo hilo kuonana na mmoja wa wapangaji aliyekuwa amegoma kuhama licha ya kuwekewa mamilioni ya fedha mezani, hivyo kwa sababu ya kugoma, nyumba aliyokuwa akiishi ilibomelewa mapema asubuhi huku vitu vyake vikiwa ndani.

Taarifa zaidi zinadai kuwa baada ya kubomelewa makazi yake, mpangaji huyo alipiga mwano huku akitishia kukimbilia mahakamani na kuwaita waandishi wa habari wa chombo kimoja na taarifa hizo zilipomfikia waziri, haraka alifika Kawe Beach kuonana na mpangaji huyo na kuahidi kumuongeza mamilioni zaidi ya fedha ili apishe kwa amani.
Mmoja wa wapangaji wa NHC katika eneo hilo ambaye naye amekutwa na mkasa huo, amesema yeye ni mpangaji wa NHC wa muda mrefu na ameishi eneo hilo miaka mingi lakini amekubali kuondoka kwa sababu hawezi kushindana na wakubwa.

“Mimi nina miaka mingi sana eneo hili, nimekuwa mpangaji wa NHC kwa miaka mingi, lakini sasa amekuja mkubwa anataka tuondoke, utake usitake utaondoka hivyo bora ukubali kuchukua hizo fedha uondoke kwa sababu kubishana naye ndiyo kama huyo (anamtaja jina) aliyebomolewa nyumba asubuhi asubuhi huku kila kitu chake kikiwa ndani. Ni unyama kweli kweli lakini ndiyo wakubwa, usibishane nao.

“Unaona pale palipozungushiwa uzio wa mabati, hapo tayari ni mali yake, mimi nasubiri tu aniingizie hela yangu kama alivyosema niondoke.

“Yule (anamtaja jina) aligoma kuondoka. Unajua waziri anamtumia mwanae mkubwa wa kiume anaishi (anataja eneo analoishi) kusimamia mambo yake pamoja na msaidizi wake, sasa walimwambia watampa milioni 300, akagoma, wakaja wakavunja nyumba huku kila kitu chake kikiwa ndani, jamaa akaanza vurugu.

“Akatishia kwenda mahakamani akaita na waandishi wa habari, habari zikamfikia waziri, akafika haraka akaonana na yule bwana akampa milioni 100 za usunbufu na akamwambia badala ya milioni 300 atampa milioni 500 yaishe aondoke, ndiyo akatulia.

“Wale waandishi walizungumza wakaondoka, ila kulikuwa na kibao tayari kimewekwa kwenye huo uzio, baada ya zile vurugu na kutishia mambo ya mahakamani kibao kile kiliondolewa, sasa wamezungushia mabati tu lakini hakuna kibao. Wanaojua sheria za ujenzi hiyo ni kazi yao,” alidai mkazi wa eneo hilo aliyezungumzia sakata hilo ambaye naye jina lake tunalihifadhi.

Uchunguzi umeonyesha kuwa eneo lililozungushiwa mabati kama ishara ya kuwepo shughuli za ujenzi katika ufukwe huo wa Kawe lipo katikati ya Hoteli ya Merridian na Kawe Beach na moja ya nyumba ambayo mpangaji wake anasubiri kulipwa fedha zake ili aondoke ipo katika kiwanja namba 711/1, Kawe.
Meneja Habari na Uhusiano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Muungano Saguya
Alipoulizwa jana Meneja Habari na Uhusiano wa NHC, Muungano Saguya kuhusu madai hayo alisema siyo ya kweli kwa sababu eneo hilo la ufukwe wa Kawe halijauzwa na kwamba linamilikiwa na NHC na Kampuni ya Dubai.
Saguya alisema awali eneo hilo lilikuwa la Tanganyika Packers, lakini hivi sasa NHC inalimiliki pamoja na Kampuni ya Dubai ambayo wakati wa ubinafsishaji ililinunua lakini upande wake wa Magharibi haujaanza kutumika hivyo ili lisikae tu kuna mtanzania amepangishwa.

“Hilo eneo ulilokuwa umesema nimefuatilia, hilo ni eneo la Shirika la Nyumba la Taifa. Unafahamu eneo la Tanganyika Packers ni eneo ambalo Shirika la Nyumba la Taifa linamiliki pamoja na Kampuni ya (inaitaja jina lakini tunalifadhi kwa sababu maalumu.) ya Dubai kwa sababu wao wakati wa ubinafsishaji walinunua eneo hilo.

“Kwa sababu hatujaanza kutumia upande wa Magharibi wa eneo hilo la Kawe, tumeanza kujenga zile nyumba kama ulivyoona. Eneo hilo ili lisikae tu idle kuna mtanzania alikuwa ameomba apangishwe kwa muda ili atengeneze entertainment, yaani atengeneze sehemu kwa ajili ya watu kufanya entertainment. Michezo michezo, sehemu za watu kufanya starehe tofauti tofauti.

“Kwa hiyo akawa amepewa miezi 24 kuanzia Januari mwaka huu ya kuweza kufanya uendelezaji wa eneo hilo kwa miezi hiyo 24 hadi kufikia Disemba, 2024 awe amejenga na kuanza uendeshaji wa biashara hiyo ya entertainment katika eneo la Kawe, kiwanja namba 711/1 kama ulivyouliza. Siyo 71 ni 711/1.

“Sasa kwa mujibu wa makubaliano tuliyofanya na huyu mwekezaji (anataja jina tofauti) ambaye ndiye tumempangisha eneo hilo, ameelekezwa kwa mujibu wa makubaliano tuliyowekeana naye mkataba ni kwamba ameambiwa ajenge majengo ambayo si ya kudumu.Yaani ajenge structure ambazo si za kudumu ili kuliruhusu shirika kufanya uendelezaji pale itakapohitajika.

“Na kwamba kuanzia Januari, 2025 shirika litaanza kuchukua kodi ya pango katika eneo hilo, takribani Shilingi milioni sita kwa mwezi.

“Kwa hiyo kimsingi ni kwamba baada ya kulipa amana ya pango ya miezi mitatu, ambayo inafikia Shilingi milioni 21.2 ndiyo shirika likamruhusu sasa kuanza ujenzi huo… kwa hiyo hali ndiyo iko hivyo,” alisema Saguya.

Alipoulizwa kuhusu madai ya wakazi wa eneo hilo ambao ni wapangaji wa NHC kulipwa mamilioni ya fedha na waziri ili kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii, Saguya alisema huo ni uvumi uliokuwa unaenezwa tu na kwamba alituma watu wake wa NHC Mkoa wa Kinondoni kwenda kuangalia kinachosemwa, na wao wakamrudishia taarifa aliyoitoa kwa Tanzania PANORAMA Blog.

TANZANIA PANORAMA BLOG ITARIPOTI KWA KINA SAKATA HILI IKIWA NI PAMOJA NA UNDANI WA MADAI YA WAPANGAJI WA ENEO HILO KUSHINIKIZWA NA WAZIRI KWA FEDHA NA MABAVU KUONDOKA, HISTORIA YA ENEO HILO LA UFUKWE WA KAWE KABLA YA KUPEWA NHC NA MABADILIKO YA MATUMIZI YALIYOFANYWA.
Waache ku report tu, wana report nini wakati hawapo tayari ku ripoti?
 
WAZIRI ADAIWA KUMWAGA NOTI KUNUNUA KAWE BEACH, NHC YASEMA HAIJAUZWA NI MALI YAKE NA KAMPUNI YA DUBAI

WAZIRI mmoja mwandamizi, anadaiwa kuibua hali ya sintofahamu kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa eneo la Kawe Beach, kwa kuwalipa mamilioni ya fedha ili waondoke kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii.
Inadaiwa, wapangaji wanaopinga kuondolewa eneo hilo la ufukweni mwa Bahari ya Hindi, wamekuwa wakitishwa na baadhi yao kubomolewa nyumba wanazoishi huku vitu vyao vikiwa ndani.

Madai haya yamekuja hivi karibuni kutoka kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo walioeleza kuwa, katika kutekeleza azma yake ya kulitwaa eneo la ufukwe, waziri huyo (jina lake tunalihifadhi kwa muda) anamtumia mwanaye mkubwa wa kiume pamoja na msaidizi wake wa karibu.

Inadaiwa, yeye mwenyewe waziri, alilazimika kwenda eneo hilo kuonana na mmoja wa wapangaji aliyekuwa amegoma kuhama licha ya kuwekewa mamilioni ya fedha mezani, hivyo kwa sababu ya kugoma, nyumba aliyokuwa akiishi ilibomelewa mapema asubuhi huku vitu vyake vikiwa ndani.

Taarifa zaidi zinadai kuwa baada ya kubomelewa makazi yake, mpangaji huyo alipiga mwano huku akitishia kukimbilia mahakamani na kuwaita waandishi wa habari wa chombo kimoja na taarifa hizo zilipomfikia waziri, haraka alifika Kawe Beach kuonana na mpangaji huyo na kuahidi kumuongeza mamilioni zaidi ya fedha ili apishe kwa amani.
Mmoja wa wapangaji wa NHC katika eneo hilo ambaye naye amekutwa na mkasa huo, amesema yeye ni mpangaji wa NHC wa muda mrefu na ameishi eneo hilo miaka mingi lakini amekubali kuondoka kwa sababu hawezi kushindana na wakubwa.

“Mimi nina miaka mingi sana eneo hili, nimekuwa mpangaji wa NHC kwa miaka mingi, lakini sasa amekuja mkubwa anataka tuondoke, utake usitake utaondoka hivyo bora ukubali kuchukua hizo fedha uondoke kwa sababu kubishana naye ndiyo kama huyo (anamtaja jina) aliyebomolewa nyumba asubuhi asubuhi huku kila kitu chake kikiwa ndani. Ni unyama kweli kweli lakini ndiyo wakubwa, usibishane nao.

“Unaona pale palipozungushiwa uzio wa mabati, hapo tayari ni mali yake, mimi nasubiri tu aniingizie hela yangu kama alivyosema niondoke.

“Yule (anamtaja jina) aligoma kuondoka. Unajua waziri anamtumia mwanae mkubwa wa kiume anaishi (anataja eneo analoishi) kusimamia mambo yake pamoja na msaidizi wake, sasa walimwambia watampa milioni 300, akagoma, wakaja wakavunja nyumba huku kila kitu chake kikiwa ndani, jamaa akaanza vurugu.

“Akatishia kwenda mahakamani akaita na waandishi wa habari, habari zikamfikia waziri, akafika haraka akaonana na yule bwana akampa milioni 100 za usunbufu na akamwambia badala ya milioni 300 atampa milioni 500 yaishe aondoke, ndiyo akatulia.

“Wale waandishi walizungumza wakaondoka, ila kulikuwa na kibao tayari kimewekwa kwenye huo uzio, baada ya zile vurugu na kutishia mambo ya mahakamani kibao kile kiliondolewa, sasa wamezungushia mabati tu lakini hakuna kibao. Wanaojua sheria za ujenzi hiyo ni kazi yao,” alidai mkazi wa eneo hilo aliyezungumzia sakata hilo ambaye naye jina lake tunalihifadhi.

Uchunguzi umeonyesha kuwa eneo lililozungushiwa mabati kama ishara ya kuwepo shughuli za ujenzi katika ufukwe huo wa Kawe lipo katikati ya Hoteli ya Merridian na Kawe Beach na moja ya nyumba ambayo mpangaji wake anasubiri kulipwa fedha zake ili aondoke ipo katika kiwanja namba 711/1, Kawe.
Meneja Habari na Uhusiano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Muungano Saguya
Alipoulizwa jana Meneja Habari na Uhusiano wa NHC, Muungano Saguya kuhusu madai hayo alisema siyo ya kweli kwa sababu eneo hilo la ufukwe wa Kawe halijauzwa na kwamba linamilikiwa na NHC na Kampuni ya Dubai.
Saguya alisema awali eneo hilo lilikuwa la Tanganyika Packers, lakini hivi sasa NHC inalimiliki pamoja na Kampuni ya Dubai ambayo wakati wa ubinafsishaji ililinunua lakini upande wake wa Magharibi haujaanza kutumika hivyo ili lisikae tu kuna mtanzania amepangishwa.

“Hilo eneo ulilokuwa umesema nimefuatilia, hilo ni eneo la Shirika la Nyumba la Taifa. Unafahamu eneo la Tanganyika Packers ni eneo ambalo Shirika la Nyumba la Taifa linamiliki pamoja na Kampuni ya (inaitaja jina lakini tunalifadhi kwa sababu maalumu.) ya Dubai kwa sababu wao wakati wa ubinafsishaji walinunua eneo hilo.

“Kwa sababu hatujaanza kutumia upande wa Magharibi wa eneo hilo la Kawe, tumeanza kujenga zile nyumba kama ulivyoona. Eneo hilo ili lisikae tu idle kuna mtanzania alikuwa ameomba apangishwe kwa muda ili atengeneze entertainment, yaani atengeneze sehemu kwa ajili ya watu kufanya entertainment. Michezo michezo, sehemu za watu kufanya starehe tofauti tofauti.

“Kwa hiyo akawa amepewa miezi 24 kuanzia Januari mwaka huu ya kuweza kufanya uendelezaji wa eneo hilo kwa miezi hiyo 24 hadi kufikia Disemba, 2024 awe amejenga na kuanza uendeshaji wa biashara hiyo ya entertainment katika eneo la Kawe, kiwanja namba 711/1 kama ulivyouliza. Siyo 71 ni 711/1.

“Sasa kwa mujibu wa makubaliano tuliyofanya na huyu mwekezaji (anataja jina tofauti) ambaye ndiye tumempangisha eneo hilo, ameelekezwa kwa mujibu wa makubaliano tuliyowekeana naye mkataba ni kwamba ameambiwa ajenge majengo ambayo si ya kudumu.Yaani ajenge structure ambazo si za kudumu ili kuliruhusu shirika kufanya uendelezaji pale itakapohitajika.

“Na kwamba kuanzia Januari, 2025 shirika litaanza kuchukua kodi ya pango katika eneo hilo, takribani Shilingi milioni sita kwa mwezi.

“Kwa hiyo kimsingi ni kwamba baada ya kulipa amana ya pango ya miezi mitatu, ambayo inafikia Shilingi milioni 21.2 ndiyo shirika likamruhusu sasa kuanza ujenzi huo… kwa hiyo hali ndiyo iko hivyo,” alisema Saguya.

Alipoulizwa kuhusu madai ya wakazi wa eneo hilo ambao ni wapangaji wa NHC kulipwa mamilioni ya fedha na waziri ili kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii, Saguya alisema huo ni uvumi uliokuwa unaenezwa tu na kwamba alituma watu wake wa NHC Mkoa wa Kinondoni kwenda kuangalia kinachosemwa, na wao wakamrudishia taarifa aliyoitoa kwa Tanzania PANORAMA Blog.

TANZANIA PANORAMA BLOG ITARIPOTI KWA KINA SAKATA HILI IKIWA NI PAMOJA NA UNDANI WA MADAI YA WAPANGAJI WA ENEO HILO KUSHINIKIZWA NA WAZIRI KWA FEDHA NA MABAVU KUONDOKA, HISTORIA YA ENEO HILO LA UFUKWE WA KAWE KABLA YA KUPEWA NHC NA MABADILIKO YA MATUMIZI YALIYOFANYWA.
Wachukue hizo hela waondoke! Mwisho wake watakosa kila kitu!
 
WAZIRI ADAIWA KUMWAGA NOTI KUNUNUA KAWE BEACH, NHC YASEMA HAIJAUZWA NI MALI YAKE NA KAMPUNI YA DUBAI

WAZIRI mmoja mwandamizi, anadaiwa kuibua hali ya sintofahamu kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa eneo la Kawe Beach, kwa kuwalipa mamilioni ya fedha ili waondoke kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii.
Inadaiwa, wapangaji wanaopinga kuondolewa eneo hilo la ufukweni mwa Bahari ya Hindi, wamekuwa wakitishwa na baadhi yao kubomolewa nyumba wanazoishi huku vitu vyao vikiwa ndani.

Madai haya yamekuja hivi karibuni kutoka kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo walioeleza kuwa, katika kutekeleza azma yake ya kulitwaa eneo la ufukwe, waziri huyo (jina lake tunalihifadhi kwa muda) anamtumia mwanaye mkubwa wa kiume pamoja na msaidizi wake wa karibu.

Inadaiwa, yeye mwenyewe waziri, alilazimika kwenda eneo hilo kuonana na mmoja wa wapangaji aliyekuwa amegoma kuhama licha ya kuwekewa mamilioni ya fedha mezani, hivyo kwa sababu ya kugoma, nyumba aliyokuwa akiishi ilibomelewa mapema asubuhi huku vitu vyake vikiwa ndani.

Taarifa zaidi zinadai kuwa baada ya kubomelewa makazi yake, mpangaji huyo alipiga mwano huku akitishia kukimbilia mahakamani na kuwaita waandishi wa habari wa chombo kimoja na taarifa hizo zilipomfikia waziri, haraka alifika Kawe Beach kuonana na mpangaji huyo na kuahidi kumuongeza mamilioni zaidi ya fedha ili apishe kwa amani.
Mmoja wa wapangaji wa NHC katika eneo hilo ambaye naye amekutwa na mkasa huo, amesema yeye ni mpangaji wa NHC wa muda mrefu na ameishi eneo hilo miaka mingi lakini amekubali kuondoka kwa sababu hawezi kushindana na wakubwa.

“Mimi nina miaka mingi sana eneo hili, nimekuwa mpangaji wa NHC kwa miaka mingi, lakini sasa amekuja mkubwa anataka tuondoke, utake usitake utaondoka hivyo bora ukubali kuchukua hizo fedha uondoke kwa sababu kubishana naye ndiyo kama huyo (anamtaja jina) aliyebomolewa nyumba asubuhi asubuhi huku kila kitu chake kikiwa ndani. Ni unyama kweli kweli lakini ndiyo wakubwa, usibishane nao.

“Unaona pale palipozungushiwa uzio wa mabati, hapo tayari ni mali yake, mimi nasubiri tu aniingizie hela yangu kama alivyosema niondoke.

“Yule (anamtaja jina) aligoma kuondoka. Unajua waziri anamtumia mwanae mkubwa wa kiume anaishi (anataja eneo analoishi) kusimamia mambo yake pamoja na msaidizi wake, sasa walimwambia watampa milioni 300, akagoma, wakaja wakavunja nyumba huku kila kitu chake kikiwa ndani, jamaa akaanza vurugu.

“Akatishia kwenda mahakamani akaita na waandishi wa habari, habari zikamfikia waziri, akafika haraka akaonana na yule bwana akampa milioni 100 za usunbufu na akamwambia badala ya milioni 300 atampa milioni 500 yaishe aondoke, ndiyo akatulia.

“Wale waandishi walizungumza wakaondoka, ila kulikuwa na kibao tayari kimewekwa kwenye huo uzio, baada ya zile vurugu na kutishia mambo ya mahakamani kibao kile kiliondolewa, sasa wamezungushia mabati tu lakini hakuna kibao. Wanaojua sheria za ujenzi hiyo ni kazi yao,” alidai mkazi wa eneo hilo aliyezungumzia sakata hilo ambaye naye jina lake tunalihifadhi.

Uchunguzi umeonyesha kuwa eneo lililozungushiwa mabati kama ishara ya kuwepo shughuli za ujenzi katika ufukwe huo wa Kawe lipo katikati ya Hoteli ya Merridian na Kawe Beach na moja ya nyumba ambayo mpangaji wake anasubiri kulipwa fedha zake ili aondoke ipo katika kiwanja namba 711/1, Kawe.
Meneja Habari na Uhusiano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Muungano Saguya
Alipoulizwa jana Meneja Habari na Uhusiano wa NHC, Muungano Saguya kuhusu madai hayo alisema siyo ya kweli kwa sababu eneo hilo la ufukwe wa Kawe halijauzwa na kwamba linamilikiwa na NHC na Kampuni ya Dubai.
Saguya alisema awali eneo hilo lilikuwa la Tanganyika Packers, lakini hivi sasa NHC inalimiliki pamoja na Kampuni ya Dubai ambayo wakati wa ubinafsishaji ililinunua lakini upande wake wa Magharibi haujaanza kutumika hivyo ili lisikae tu kuna mtanzania amepangishwa.

“Hilo eneo ulilokuwa umesema nimefuatilia, hilo ni eneo la Shirika la Nyumba la Taifa. Unafahamu eneo la Tanganyika Packers ni eneo ambalo Shirika la Nyumba la Taifa linamiliki pamoja na Kampuni ya (inaitaja jina lakini tunalifadhi kwa sababu maalumu.) ya Dubai kwa sababu wao wakati wa ubinafsishaji walinunua eneo hilo.

“Kwa sababu hatujaanza kutumia upande wa Magharibi wa eneo hilo la Kawe, tumeanza kujenga zile nyumba kama ulivyoona. Eneo hilo ili lisikae tu idle kuna mtanzania alikuwa ameomba apangishwe kwa muda ili atengeneze entertainment, yaani atengeneze sehemu kwa ajili ya watu kufanya entertainment. Michezo michezo, sehemu za watu kufanya starehe tofauti tofauti.

“Kwa hiyo akawa amepewa miezi 24 kuanzia Januari mwaka huu ya kuweza kufanya uendelezaji wa eneo hilo kwa miezi hiyo 24 hadi kufikia Disemba, 2024 awe amejenga na kuanza uendeshaji wa biashara hiyo ya entertainment katika eneo la Kawe, kiwanja namba 711/1 kama ulivyouliza. Siyo 71 ni 711/1.

“Sasa kwa mujibu wa makubaliano tuliyofanya na huyu mwekezaji (anataja jina tofauti) ambaye ndiye tumempangisha eneo hilo, ameelekezwa kwa mujibu wa makubaliano tuliyowekeana naye mkataba ni kwamba ameambiwa ajenge majengo ambayo si ya kudumu.Yaani ajenge structure ambazo si za kudumu ili kuliruhusu shirika kufanya uendelezaji pale itakapohitajika.

“Na kwamba kuanzia Januari, 2025 shirika litaanza kuchukua kodi ya pango katika eneo hilo, takribani Shilingi milioni sita kwa mwezi.

“Kwa hiyo kimsingi ni kwamba baada ya kulipa amana ya pango ya miezi mitatu, ambayo inafikia Shilingi milioni 21.2 ndiyo shirika likamruhusu sasa kuanza ujenzi huo… kwa hiyo hali ndiyo iko hivyo,” alisema Saguya.

Alipoulizwa kuhusu madai ya wakazi wa eneo hilo ambao ni wapangaji wa NHC kulipwa mamilioni ya fedha na waziri ili kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii, Saguya alisema huo ni uvumi uliokuwa unaenezwa tu na kwamba alituma watu wake wa NHC Mkoa wa Kinondoni kwenda kuangalia kinachosemwa, na wao wakamrudishia taarifa aliyoitoa kwa Tanzania PANORAMA Blog.

TANZANIA PANORAMA BLOG ITARIPOTI KWA KINA SAKATA HILI IKIWA NI PAMOJA NA UNDANI WA MADAI YA WAPANGAJI WA ENEO HILO KUSHINIKIZWA NA WAZIRI KWA FEDHA NA MABAVU KUONDOKA, HISTORIA YA ENEO HILO LA UFUKWE WA KAWE KABLA YA KUPEWA NHC NA MABADILIKO YA MATUMIZI YALIYOFANYWA.
mr Saguya yupo sahihi kabisa na binasfi naunga mkono hayo maamuzi ya kukodisha hiyo sehemu maana palikuwa tishio kwa USALAMA!!!!! ILA HILI LA KUSEMA ENEO LINAMILIKIWA KAMBUNI YA DUBAI SIJAELEWA KABISA !!!!! maana najua eneo lote la Tanganyika Packers hayati Magufuli aliwapa NHC , Sasa hiyo kampuni ya DUBAI imengia vipi kwenye umiliki??? naomba jibu Mr SAGUYA.
 
Rushwa, Rushwa, na Rushwa
Hayo ni maneno ya mwanahudhuri mmoja humu kuhusu R tatu za Serikali ya Muungano.

Pamoja na kuwa Serikali huwa inasemekana kuwa na mkono mrefu kwa utumiaji wa nguvu zake za Dola, Serikali hii imekuwa ikitumiwa na Waarabu kutunisha misuli yake pasipo haki kabisa, sasa wanakosa uhalali, ni Kimabavu mabavu tu.

Ngorongoro, Serikali na Wananchi walipimwa, tumenyamaza, kwa hali hiyo, tutegemee mengi ya kudhalilishwa na Uwekezaji huu wa Mwarabu na hayo yote yanaviashiria vya Rushwa, kunanuka Rushwa.

Tutanyukana kweli kweli, ni suala la Muda.
 
Hivi Nyumba ya Rais mstaafu anayopewa na Serikali ni lazima aishi yeye na familia yake au anaweza kukodisha ? lile Jumba pembeni ya Kawe beach la Rais mstaafu alilopewa na Rais JPM naona limepoa sana kama vipi Mh.huyo aruhusiwe kulikodisha kwa Wawekezaji maana ni hekalu la hatare sana na lipo eneo la mpango mkakati kibiashara
Dunia imejaa uonevu, pale ilipojengwa nyumba ya mstaafu JK zilibomolewa nyumba za msajili ikiwemo ya hayati Mbughuni, aliteswa sana yule mzee na JPM mpaka akafa kwa mawazo mengi wakati ni muanzilishi wa magazeti binafsi nchini.
 
WAZIRI ADAIWA KUMWAGA NOTI KUNUNUA KAWE BEACH, NHC YASEMA HAIJAUZWA NI MALI YAKE NA KAMPUNI YA DUBAI

WAZIRI mmoja mwandamizi, anadaiwa kuibua hali ya sintofahamu kwa wapangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa eneo la Kawe Beach, kwa kuwalipa mamilioni ya fedha ili waondoke kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii.
Inadaiwa, wapangaji wanaopinga kuondolewa eneo hilo la ufukweni mwa Bahari ya Hindi, wamekuwa wakitishwa na baadhi yao kubomolewa nyumba wanazoishi huku vitu vyao vikiwa ndani.

Madai haya yamekuja hivi karibuni kutoka kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo walioeleza kuwa, katika kutekeleza azma yake ya kulitwaa eneo la ufukwe, waziri huyo (jina lake tunalihifadhi kwa muda) anamtumia mwanaye mkubwa wa kiume pamoja na msaidizi wake wa karibu.

Inadaiwa, yeye mwenyewe waziri, alilazimika kwenda eneo hilo kuonana na mmoja wa wapangaji aliyekuwa amegoma kuhama licha ya kuwekewa mamilioni ya fedha mezani, hivyo kwa sababu ya kugoma, nyumba aliyokuwa akiishi ilibomelewa mapema asubuhi huku vitu vyake vikiwa ndani.

Taarifa zaidi zinadai kuwa baada ya kubomelewa makazi yake, mpangaji huyo alipiga mwano huku akitishia kukimbilia mahakamani na kuwaita waandishi wa habari wa chombo kimoja na taarifa hizo zilipomfikia waziri, haraka alifika Kawe Beach kuonana na mpangaji huyo na kuahidi kumuongeza mamilioni zaidi ya fedha ili apishe kwa amani.
Mmoja wa wapangaji wa NHC katika eneo hilo ambaye naye amekutwa na mkasa huo, amesema yeye ni mpangaji wa NHC wa muda mrefu na ameishi eneo hilo miaka mingi lakini amekubali kuondoka kwa sababu hawezi kushindana na wakubwa.

“Mimi nina miaka mingi sana eneo hili, nimekuwa mpangaji wa NHC kwa miaka mingi, lakini sasa amekuja mkubwa anataka tuondoke, utake usitake utaondoka hivyo bora ukubali kuchukua hizo fedha uondoke kwa sababu kubishana naye ndiyo kama huyo (anamtaja jina) aliyebomolewa nyumba asubuhi asubuhi huku kila kitu chake kikiwa ndani. Ni unyama kweli kweli lakini ndiyo wakubwa, usibishane nao.

“Unaona pale palipozungushiwa uzio wa mabati, hapo tayari ni mali yake, mimi nasubiri tu aniingizie hela yangu kama alivyosema niondoke.

“Yule (anamtaja jina) aligoma kuondoka. Unajua waziri anamtumia mwanae mkubwa wa kiume anaishi (anataja eneo analoishi) kusimamia mambo yake pamoja na msaidizi wake, sasa walimwambia watampa milioni 300, akagoma, wakaja wakavunja nyumba huku kila kitu chake kikiwa ndani, jamaa akaanza vurugu.

“Akatishia kwenda mahakamani akaita na waandishi wa habari, habari zikamfikia waziri, akafika haraka akaonana na yule bwana akampa milioni 100 za usunbufu na akamwambia badala ya milioni 300 atampa milioni 500 yaishe aondoke, ndiyo akatulia.

“Wale waandishi walizungumza wakaondoka, ila kulikuwa na kibao tayari kimewekwa kwenye huo uzio, baada ya zile vurugu na kutishia mambo ya mahakamani kibao kile kiliondolewa, sasa wamezungushia mabati tu lakini hakuna kibao. Wanaojua sheria za ujenzi hiyo ni kazi yao,” alidai mkazi wa eneo hilo aliyezungumzia sakata hilo ambaye naye jina lake tunalihifadhi.

Uchunguzi umeonyesha kuwa eneo lililozungushiwa mabati kama ishara ya kuwepo shughuli za ujenzi katika ufukwe huo wa Kawe lipo katikati ya Hoteli ya Merridian na Kawe Beach na moja ya nyumba ambayo mpangaji wake anasubiri kulipwa fedha zake ili aondoke ipo katika kiwanja namba 711/1, Kawe.
Meneja Habari na Uhusiano wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Muungano Saguya
Alipoulizwa jana Meneja Habari na Uhusiano wa NHC, Muungano Saguya kuhusu madai hayo alisema siyo ya kweli kwa sababu eneo hilo la ufukwe wa Kawe halijauzwa na kwamba linamilikiwa na NHC na Kampuni ya Dubai.
Saguya alisema awali eneo hilo lilikuwa la Tanganyika Packers, lakini hivi sasa NHC inalimiliki pamoja na Kampuni ya Dubai ambayo wakati wa ubinafsishaji ililinunua lakini upande wake wa Magharibi haujaanza kutumika hivyo ili lisikae tu kuna mtanzania amepangishwa.

“Hilo eneo ulilokuwa umesema nimefuatilia, hilo ni eneo la Shirika la Nyumba la Taifa. Unafahamu eneo la Tanganyika Packers ni eneo ambalo Shirika la Nyumba la Taifa linamiliki pamoja na Kampuni ya (inaitaja jina lakini tunalifadhi kwa sababu maalumu.) ya Dubai kwa sababu wao wakati wa ubinafsishaji walinunua eneo hilo.

“Kwa sababu hatujaanza kutumia upande wa Magharibi wa eneo hilo la Kawe, tumeanza kujenga zile nyumba kama ulivyoona. Eneo hilo ili lisikae tu idle kuna mtanzania alikuwa ameomba apangishwe kwa muda ili atengeneze entertainment, yaani atengeneze sehemu kwa ajili ya watu kufanya entertainment. Michezo michezo, sehemu za watu kufanya starehe tofauti tofauti.

“Kwa hiyo akawa amepewa miezi 24 kuanzia Januari mwaka huu ya kuweza kufanya uendelezaji wa eneo hilo kwa miezi hiyo 24 hadi kufikia Disemba, 2024 awe amejenga na kuanza uendeshaji wa biashara hiyo ya entertainment katika eneo la Kawe, kiwanja namba 711/1 kama ulivyouliza. Siyo 71 ni 711/1.

“Sasa kwa mujibu wa makubaliano tuliyofanya na huyu mwekezaji (anataja jina tofauti) ambaye ndiye tumempangisha eneo hilo, ameelekezwa kwa mujibu wa makubaliano tuliyowekeana naye mkataba ni kwamba ameambiwa ajenge majengo ambayo si ya kudumu.Yaani ajenge structure ambazo si za kudumu ili kuliruhusu shirika kufanya uendelezaji pale itakapohitajika.

“Na kwamba kuanzia Januari, 2025 shirika litaanza kuchukua kodi ya pango katika eneo hilo, takribani Shilingi milioni sita kwa mwezi.

“Kwa hiyo kimsingi ni kwamba baada ya kulipa amana ya pango ya miezi mitatu, ambayo inafikia Shilingi milioni 21.2 ndiyo shirika likamruhusu sasa kuanza ujenzi huo… kwa hiyo hali ndiyo iko hivyo,” alisema Saguya.

Alipoulizwa kuhusu madai ya wakazi wa eneo hilo ambao ni wapangaji wa NHC kulipwa mamilioni ya fedha na waziri ili kupisha ujenzi wa hoteli yake ya kitalii, Saguya alisema huo ni uvumi uliokuwa unaenezwa tu na kwamba alituma watu wake wa NHC Mkoa wa Kinondoni kwenda kuangalia kinachosemwa, na wao wakamrudishia taarifa aliyoitoa kwa Tanzania PANORAMA Blog.

TANZANIA PANORAMA BLOG ITARIPOTI KWA KINA SAKATA HILI IKIWA NI PAMOJA NA UNDANI WA MADAI YA WAPANGAJI WA ENEO HILO KUSHINIKIZWA NA WAZIRI KWA FEDHA NA MABAVU KUONDOKA, HISTORIA YA ENEO HILO LA UFUKWE WA KAWE KABLA YA KUPEWA NHC NA MABADILIKO YA MATUMIZI YALIYOFANYWA.
Hii ni JF where people dare to speak openly sijui peno hasegawa unaogopa nini kutaja majina? Inapunguza hata quality ya ulichokiandika, kinaonekana ni uzushi
 
Naunga mkono hoja..hili andiko ni sawa na shairi la taarabu naona mods waliifute
Kweli mkuu, hili andiko halikutakiwa kuwepo mpaka sasa hivi.
Kama lingeandikwa na sisi tusiokuwa na hakimiliki hapa JF basi andiko hili lingekuwa lishafutwa au kuunganishwa na uzi mungine ambao mleta mada hauujui.
 
Tusipoangalia inawezakana tunapokaa makazi yetu yalishapigwa mnada siku nyingi bila sisi kujua!
 
Dunia imejaa uonevu, pale ilipojengwa nyumba ya mstaafu JK zilibomolewa nyumba za msajili ikiwemo ya hayati Mbughuni, aliteswa sana yule mzee na JPM mpaka akafa kwa mawazo mengi wakati ni muanzilishi wa magazeti binafsi nchini.
Huyo Mbughuni alikuwa nani?

Alikuwa na tishio gani nchini mpaka ikapelekea Magufuli kumtesa?
 
Wasiibinafsishe na beach sasa wakata ufuta tutakosa pa kwenda kupunguza stress.
 
Back
Top Bottom