Waziri anapobishana na mwananchi wake mtandaoni. Yako wapi maadili ya viongozi?

Waziri anapobishana na mwananchi wake mtandaoni. Yako wapi maadili ya viongozi?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.

Yako wapi maadili ya viongozi?

IMG_8578.jpeg
 
Back
Top Bottom