Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwananchi ni mpumbavu sana na hana adabu, hapo ameandika nini. Unajibiwa kulingana na hoja yako, kuwa waziri siyo awe mnyonge.Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Huyo waziri ni mzigo haswaa.Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Hayo ndio mambo wanayapenda CCM, eti kwakua babaMzee wa Short cut na figisu figisu nyingi aka chukua cko mapema.
Baba mwenyewe alikua "mnenguaji" jeshini.Huyo waziri ni mzigo haswaa.
Kinachomlinda ni jina la baba
UmechemkaHuyo mwananchi ni mpumbavu sana na hana adabu, hapo ameandika nini. Unajibiwa kulingana na hoja yako, kuwa waziri siyo awe mnyonge.
Haya maradhi ya vijembe yalianzia kwa mkwereWatanzania ndio tunachokiweza.
Huyu dogo ni sawa na zwazwa Haji Manara na ndiyo maana Magufuli alimtema kwa sababu hana kitu kichwani.Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Liquor petr gasPoor brain
Waziri mjinga mjinga anayebeza kutafuta pesa na elimu kwa njia halali na kupenda kutumia mishe za kijambazi kupata pesa na madaraka,pumbavu zake.Huyo mwananchi ni mpumbavu sana na hana adabu, hapo ameandika nini. Unajibiwa kulingana na hoja yako, kuwa waziri siyo awe mnyonge.
Tatizo ni bibiHayo ndio mambo wanayapenda CCM, eti kwakua baba
alikua fulani basi na mtoto apewe kinafasi bila hata kuangalia uwezo.
Hebu angalia January, Nape na Ridhiwani walivyovurunda tangu huyu bibi arudi kuwakumbatia, yaani ni ujanja ujanja hakuna tija yoyote. Kama kuna la maana wamefanya tangu wamerudishwa tuambiwe hapa.
Nape kamaliza mafuta yatokanayo na kodi za wananchi anakwea chopa kila siku kwenye mradi wa anuani za makazi ila vibao vyenyewe ubora sufuri majina yalivyoandikwa ni vituko tu.
Huyu kweli anajua kwamba anayewatukana ndio wanamlipa ? Kweli mimi nateseka kwa Bei ya Bundle kutokana na Sera za Wizara anayosemamia na Serikali yake kuwa mbovu
Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Baada ya kumuingiza Chaka Komredi mwenzake?
Nini Hoja zako?Bado wewe
Nape Yupo safiii anakupa za USO.Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Waziri mjinga mjinga anayebeza kutafuta pesa na elimu kwa njia halali na kupenda kutumia mishe za kijambazi kupata pesa na madaraka,pumbavu zake.