pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Nape tatizo lake ni uwezo wa kutenda na kufikiri,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kumuingiza Chaka Komredi mwenzake?Kuomba msamaha pale unapokosea ni kipimo cha hekima
Duh! Kazi kweli kweli!!Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Wanajifunza kwa Dr Kumbuka.Aisee,siku hizi wanaume ndio wanachambana zaidi kuliko Wanawake,refer Mwijaku na Baba levo.
Mawaziri kwani si binadam, sioni umuhim wa hoja hii,Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Poor brainKwahiyo angejibu vipi hapo...???
Doroth akili kubwa wewe usimfananishe na hawa ambao hata hawajulikani walisoma nini na wapiWamuige Mh Dorothy Gwajima alivyo mitandaoni. Mama yuko vizuri sana. Huyu Nape huwa ana mambo ya hovyo. Maturity zero. Au kapagawa na ujio wa Makonda!
Nguvu inayotumiwa kupiga vijembe ingetumika kufikiria mambo mapya tungefika mbali sanaNchi ina Vijembe sana hii..
Umesema kweli 100%Hata kabla sijafungua thread nilishajua tuu huyu ni NAPE, kama sio tabia ya kupenda kubebana huyu jamaa na Mwigulu hawakufaa kua mawaziri. Nape angebaki kwenye uenezi na mwigulu akawe kocha wa Singina Bull Shi.it (Singida BS).
Ili upate ulaji????Kuomba msamaha pale unapokosea ni kipimo cha hekima
Mwanaume ambaye umeoa halafu unaenda kuishi kwa baba mkwe,huyo hawezi kuwa na akili timamu wala mwanaume rijali.Nape hana akili nzuri kwa kweli.....ijulikane hivyo
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Watanzania ndio tunachokiweza.Nguvu inayotumiwa kupiga vijembe ingetumika kufikiria mambo mapya tungefika mbali sana
Mzee wa Short cut na figisu figisu nyingi aka chukua cko mapema.Huyo waziri alichokiandika ndio uwezo wake na ndio anayoyaweza kufanya pengine anafanya lobbying sasa iundwe wizara ya mipasho.