Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
MsaidieKwahiyo angejibu vipi hapo...???
Unafaa sana kwenye utabiriHata kabla sijafungua thread nilishajua tuu huyu ni NAPE, kama sio tabia ya kupenda kubebana huyu jamaa na Mwigulu hawakufaa kua mawaziri. Nape angebaki kwenye uenezi na mwigulu akawe kocha wa Singina Bull Shi.it (Singida BS).
Hakuna waziri hapo kuna mpuuzi mmoja analelewa na mamlaka tuHii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
Eti hawa ndio washauri wa Samia! Ndio maana nchi inayumba kila uchaoHii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845
wao pia ni wanadamu, wanaudhika sometimes wakipigwa kwenye mshono.Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni.
Yako wapi maadili ya viongozi?
View attachment 2797845