Waziri anapobishana na mwananchi wake mtandaoni. Yako wapi maadili ya viongozi?

Hata kabla sijafungua thread nilishajua tuu huyu ni NAPE, kama sio tabia ya kupenda kubebana huyu jamaa na Mwigulu hawakufaa kua mawaziri. Nape angebaki kwenye uenezi na mwigulu akawe kocha wa Singina Bull Shi.it (Singida BS).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…