Waziri Aweso: Ndani ya miaka 3 ya Rais Samia huduma ya maji safi na salama imeimarika vijijini na mijini

Waziri Aweso: Ndani ya miaka 3 ya Rais Samia huduma ya maji safi na salama imeimarika vijijini na mijini

 
Walio pewa nafasi nchi hii ni wababaishaji.
Ni muda sasa nafasi hizo watu wenye uwezo waombe kwa kuandika barua, ili akishindwa aombe mtu mwingine.
Hizi nafasi za kusifiana ni hovyo kabisa.
 
Morogoro Kuna mradi mkubwa wa mabilioni unaendelea ukikamilika maji bwerere.

Hivi inakuaje sisi wa mbali tunajua kinachoendelea jikoni kwenu then nyie wa hapo hapo hakuna mnachojua? Mbona sielewi hii? 😄😄
Huo mradi mkubwa mbona haukamiliki miaka kenda. Unaweza ukawepo jikoni ila kilichobandikwa ni mawe subiri sufuria iungue ndio ushtuke😃😃
 
Huo mradi mkubwa mbona haukamiliki miaka kenda. Unaweza ukawepo jikoni ila kilichobandikwa ni mawe subiri sufuria iungue ndio ushtuke😃😃
Mradi wa Maji wa mabilioni sio madarasa hayo,Kuna miaka 3 na zaidi
 
Back
Top Bottom