Waziri azuia majaribio ya mbegu za GMO

Waziri azuia majaribio ya mbegu za GMO

Ukitaka kupiga marufuku GMO maana yake upige marufuku ufugaji wa kuku wa kisasa, ng'ombe wa kisasa, mazao wanayosemwa yanastahimili ukame, yanayokuwa muda mfupi, miwa inayozaa sana nk.

Tukatae suala watu kupatent mbegu au tusitumie mbegu ambazo ziko patented lakini si kukataa na kupiga marufuku GMO, hii kitu hata kwenye nature inatokea.
Duuuu, yaaani unakuwa mjinga halafu unapopewa maarifa unashupaza shingo, hadi unatia aibu, khaaa!!!! Elewa, Hybridization hufanyika kwa viumbe vya species ile ile kupta fertile offspring, ila GMO wanachukua Vinasaba hata vya kingdom mbili tofauti za viumbe, mfano vinasaba vya wanyama wanaunga na vinasaba vya mimea, a very big difference!!!
 
Kulikua na mjadala sana kipindi cha nyuma wachache wakitetea sana hili suala ...ila sasa limepata suluhisho
 
Hybridization ni kama kuchukua mbwa aina ya german shepherd ukampandisha na mbwa aina ya bulldog, hapo ni umechanganya mbegu ambazo zipo tayari kwenye nature kama zilivyo kwenye viumbe ili kupata zao bora zaidi. Ila Genetic modification ni kung’oa vinasaba toka kwenye viumbe tofauti tofauti ambapo vingine hata sio vya species moja na kuunga unga kama tu anaetia viraka kwenye nguo, mfano kuna mchele wa GMO ambapo wamechukua vinasaba vya binadamu na kwenda kuviunganisha kwenye vinasaba vya mpunga ili kuikinga dhidi ya magonjwa flani flani, katika hali ya kawaida binadamu asingeweza kufanya mapenzi na mpunga ili kuzaa mtoto, lakini kwa GMO inafanyika, na hiyo ndio tofauti kubwa ya GMO na hybridization
Hybridization unaileta hapa ya nini? Kutengeneza GMO siyo mpaka genes zitoke kwenye kiumbe kingine. Zinaweza kutoka kwenye mnyama wa aina hiyo hiyo. Kama ni mbwa basi genes bora zinaweza kutoka kwa mbwa mwingine.

Binadamu wamefanya hili suala miaka na miaka. Na hadi leo wanafanya. Unafikiri mtu anapoenda kupandisha ng'ombe kwa kuchagua dume bora ni kitu gani anafanya?
 
Duuuu, yaaani unakuwa mjinga halafu unapopewa maarifa unashupaza shingo, hadi unatia aibu, khaaa!!!! Elewa, Hybridization hufanyika kwa viumbe vya species ile ile, ila GMO wanachukua Vinasaba hata vya kingdom mbili tofauti za viumbe, mfano vinasaba vya wanyama wanaunga na vinasaba vya mimea, a very big difference!!!
Kwahiyo GM haiwezi kufanyika kati ya wanyama wa specie moja? Kwanza haimaanishi kuhamisha tu genes, hata kutoa genes ni aina ya Genetic morification. Mtu anaweza kutolewa genes zinazosababisha sickle cell au magonjwa mengine ya kurithi, hiyo nayo ni GM. Siyo kuhamisha tu genes na wala si lazima zitoke specie nyingine.
 
Hybridization haihusishi genetic modification at all, ila ni unachanganya vinasaba ambavyo vipo tayari in nature kwenye viumbe aina ile ile ili kupata kiumbe kipya na bora. Hybridization ni kama kuchukua mbwa aina ya german shepherd ukampandisha na mbwa aina ya bulldog, hapo ni umechanganya mbegu ambazo zipo tayari kwenye nature kama zilivyo kwenye viumbe ili kupata zao bora zaidi. Ila Genetic modification ni kung’oa vinasaba toka kwenye viumbe tofauti tofauti ambapo vingine hata sio vya species moja na kuunga unga kama tu anaetia viraka kwenye nguo, mfano kuna mchele wa GMO ambapo wamechukua vinasaba vya binadamu na kwenda kuviunganisha kwenye vinasaba vya mpunga ili kuikinga dhidi ya magonjwa flani flani, katika hali ya kawaida binadamu asingeweza kufanya mapenzi na mpunga ili kuzaa mtoto, lakini kwa GMO inafanyika, na hiyo ndio tofauti kubwa ya GMO na hybridization.

Kwenye GMO vinasaba vya konokono vinaweza kuunganishwa na vinasaba vya michungwa, kwenye hybridization kitu kama hicho hakiwezekani. Umenielewa?
Uko sahihi kwa upande mmoja, na upande mwingine hauko sahihi.

Ni kweli hybridization inahusisha organisms of close related species or genus. Kama ng'ombe na nyati au mzungu na mwafrika kama ulivyosema kwenye post ya awali uliyoniquote.

Ila sio sahihi kusema hybridization haihusishi genetic modifications at all. Ukifanya crossbreeding ya mzungu na mwafrika, tayari umefanya genetic modifications. Na hii genetic modification ndio inayosababisha mtoto anaezaliwa awe na sifa fulani zinazoshabihiana na pande zote mbili (original breeds).

Tofauti kubwa kuhusu GMO na hybridization ni Genetic engineering. Hybridization mara nyingi inafanyika naturally, kama kumpandisha ng'ombe mmoja na ng'ombe mwingine ili upate ng'ombe mwenye umbo kubwa zaidi au anaetoa maziwa mengi zaidi. Wakati GMO yenyewe inahusisha genetic engineering. Yani process nzima ya kumodify genes za viumbe husika inafanyika maabara na sio naturally kama hybridization.

Kwahiyo mwisho wa siku, hybridization na GMO zote zinahusisha genetic modification. Ila moja inafanyika naturally kwa viumbe wenye sifa za kufanana (close related species), wakati nyingine inafanyika maabara (genetic engineering) na inaweza kuhusisha viumbe ambavyo havina sifa za kufanana.
 
Uko sahihi kwa upande mmoja, na upande mwingine hauko sahihi.

Ni kweli hybridization inahusisha organisms of close related species or genus. Kama ng'ombe na nyati au mzungu na mwafrika kama ulivyosema kwenye post ya awali uliyoniquote.

Ila sio sahihi kusema hybridization haihusishi genetic modifications at all. Ukifanya crossbreeding ya mzungu na mwafrika, tayari umefanya genetic modifications. Na hii genetic modification ndio inayosababisha mtoto anaezaliwa awe na sifa fulani zinazoshabihiana na pande zote mbili (original breeds).

Tofauti kubwa kuhusu GMO na hybridization ni Genetic engineering. Hybridization mara nyingi inafanyika naturally, kama kumpandisha ng'ombe mmoja na ng'ombe mwingine ili upate ng'ombe mwenye umbo kubwa zaidi au anaetoa maziwa mengi zaidi. Wakati GMO yenyewe inahusisha genetic engineering. Yani process nzima ya kumodify genes za viumbe husika inafanyika maabara na sio naturally kama hybridization.

Kwahiyo mwisho wa siku, hybridization na GMO zote zinahusisha genetic modification. Ila moja inafanyika naturally kwa viumbe wenye sifa za kufanana (close related species), wakati nyingine inafanyika maabara (genetic engineering) na inaweza kuhusisha viumbe ambavyo havina sifa za kufanana.
Yaani umepotosha mno! Tena sana.
1.) Unapoitaje ‘Genetic Modification’ ni lazima ujue context inayohusika, unaposema ‘Cross breeding’ inayofanyika katika ‘Hybridization’ ni sawa na ‘Genetic Modification’, nami nitakuuliza, baba yako na mama yako walipounganisha mbegu zao na kukuzaa wewe, ni ‘Genetic Modification’? Kama sio kwanini? Au wewe ni exactly identical na baba yako? Au wewe ni exactly identical na mama yako? Ofcourse not, lakini hiyo haifanyi ile reproduction process waliyoifanya iitwe ‘Genetic modification’ although genes zako ni tofauti na zao, bado hatuwezi kuichukua out of context na kuita ‘Genetic Modification’, never. Nimefafanua vizuri maana ya ‘Genetic Modification’, sina haja ya kurudia.

2.)Kusema tofauti ya ‘Hybridization’ na ‘GM’ ni kwamba moja inafanyika naturally na nyingine inafanyika kwenye maabara si kweli, umepotosha. Mtu anaweza akachuku shahawa za muafrika na akachanganya na yai la mchina kwenye test tube ndani ya maabara na mtoto akapandikizwa kwa Surrogate mother na akazaliwa chotara wa kiafrika na mchina, je , hiyo utaita ni ‘Genetic Modification’ kisa imefanyika kwenye maabara??! Ofcourse not, sasa hata sikui kwanini umeamua kunichosha kuandika risala ndefu hivi.
 
Hatua ya kupongezwa sana hii.

Tena kwa kuongezea tu kuna hizi mbegu za mahindi ya njano maarufu kwa jina la CP hizi mbegu nahisi ndio moja ya hizo genetically modified maana punje yake ya mbegu huwa ni ndogo lakini ukipanda unavuna mahindi makubwa (zile grains zinakua kubwa tu kawaida) lakini pia ukizirudia kupanda basi jua mavuno huwa ni hafifu mno

Kama issue ni uhitaji wa mahindi ya njano, tuna mbegu zetu za asili za mahindi ya njano na zinazaa vizuri sana tu.

Hizi mbegu za asili zikiondoka kabisa kwenye mzunguko ndio tutajua rangi halisi ya mabeberu.
Hayo mahindi ya njano natafuta sana mkuu..naweza kupata gunia ngapi?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hybridization unaileta hapa ya nini? Kutengeneza GMO siyo mpaka genes zitoke kwenye kiumbe kingine. Zinaweza kutoka kwenye mnyama wa aina hiyo hiyo. Kama ni mbwa basi genes bora zinaweza kutoka kwa mbwa mwingine.

Binadamu wamefanya hili suala miaka na miaka. Na hadi leo wanafanya. Unafikiri mtu anapoenda kupandisha ng'ombe kwa kuchagua dume bora ni kitu gani anafanya?
1.) Nimeileta hapa hybridization kwa sababu kwenye post yako namba 36 umesema kwamba tukitaka tuzuie GMO basi tuzuie na namna nyingine tofauti tofauti, ambazo in principle sio GMO bali ni Hybridization, ndio maana nikata ujue kutofautishe GMO zinazozuiwa na Hybrids ambazo zimeruhusiwa

2.) Ndio GMO sio lazima genes zitoke kwenye kiumbe kingine, lakini kwa GMO hiyo inawezekena kuchukua genes toka kwa species au Kingdom nyingine kabisa lakini kwa Hybridization ni lazima wawe species moja ili kupata fertile offspring, na hii ni moja ya tofauti kubwa, na ndio maana nikaitaja.

3.) Mtu anapoenda kupandisha ng’ombe kwa kuchagua aina ya mbegu bora ya dume hapo anafanya Hybridization.

Sasa sijui kwanini unakaza ubongo namba hii, Why??
 
Kwahiyo GM haiwezi kufanyika kati ya wanyama wa specie moja? Kwanza haimaanishi kuhamisha tu genes, hata kutoa genes ni aina ya Genetic morification. Mtu anaweza kutolewa genes zinazosababisha sickle cell au magonjwa mengine ya kurithi, hiyo nayo ni GM. Siyo kuhamisha tu genes na wala si lazima zitoke specie nyingine.
GM inaweza kufanyika kwa wanyama wa species moja, lakini haifanyiki kwa natural fertilization ambayo ni either hao viumbe wawili wapandishwe, au mbegu zao zichukuliwe zichanganywe katika maabara; badala yake huwa wanafanya kitu kinaitwa ‘gene splicing’, ambapo ni kama fundi nguo anapokata vitambaa vya rangi tofauti tofauti na kuviunga, in this case wanaweza wakakata kinasaba cha aina flani kwenye ng’ombe wa aina flani halafu wakarnda kukishona at a genetic level kwenye genome ya ng’ombe wa iana nyingine, hiyo ndio tofauti kubwa. Kwahiyo tofauti kubwa ipo katika namna ya uunganishaji wa hizo genes.
Tofauti kuu ni hii:-
Hybridization hutumia ‘Fertilization’ na haihusishi ‘GENE SPLICING’ bali GM huusisha ‘GENE SPLICING’ na ‘GENE STITCHING’, then fertilization ndio hufuata baadae

UMEELEWA??
 
1.) Nimeileta hapa hybridization kwa sababu kwenye post yako namba 36 umesema kwamba tukitaka tuzuie GMO basi tuzuie na namna nyingine tofauti tofauti, ambazo in principle sio GMO bali ni Hybridization, ndio maana nikata ujue kutofautishe GMO zinazozuiwa na Hybrids ambazo zimeruhusiwa

2.) Ndio GMO sio lazima genes zitoke kwenye kiumbe kingine, lakini kwa GMO hiyo inawezekena kuchukua genes toka kwa species au Kingdom nyingine kabisa lakini kwa Hybridization ni lazima wawe species moja ili kupata fertile offspring, na hii ni moja ya tofauti kubwa, na ndio maana nikaitaja.

3.) Mtu anapoenda kupandisha ng’ombe kwa kuchagua aina ya mbegu bora ya dume hapo anafanya Hybridization.

Sasa sijui kwanini unakaza ubongo namba hii, Why??
Hiyo hybridization iliyoikomalia sana hata between species inafanyika. Hivi
1.) Nimeileta hapa hybridization kwa sababu kwenye post yako namba 36 umesema kwamba tukitaka tuzuie GMO basi tuzuie na namna nyingine tofauti tofauti, ambazo in principle sio GMO bali ni Hybridization, ndio maana nikata ujue kutofautishe GMO zinazozuiwa na Hybrids ambazo zimeruhusiwa

2.) Ndio GMO sio lazima genes zitoke kwenye kiumbe kingine, lakini kwa GMO hiyo inawezekena kuchukua genes toka kwa species au Kingdom nyingine kabisa lakini kwa Hybridization ni lazima wawe species moja ili kupata fertile offspring, na hii ni moja ya tofauti kubwa, na ndio maana nikaitaja.

3.) Mtu anapoenda kupandisha ng’ombe kwa kuchagua aina ya mbegu bora ya dume hapo anafanya Hybridization.

Sasa sijui kwanini unakaza ubongo namba hii, Why??
Unataka kuturudisha form I na hii hybridisation yako. Mule ni hybrid lakini ametokana kati ya punda na farasi, Species tofauti sasa we unasemaje hybridisation inatokea ndani ya specie moja?
 
GM inaweza kufanyika kwa wanyama wa species moja, lakini haifanyiki kwa natural fertilization ambayo ni either hao viumbe wawili wapandishwe, au mbegu zao zichukuliwe zichanganywe katika maabara; badala yake huwa wanafanya kitu kinaitwa ‘gene splicing’, ambapo ni kama fundi nguo anapokata vitambaa vya rangi tofauti tofauti na kuviunga, in this case wanaweza wakakata kinasaba cha aina flani kwenye ng’ombe wa aina flani halafu wakarnda kukishona at a genetic level kwenye genome ya ng’ombe wa iana nyingine, hiyo ndio tofauti kubwa. Kwahiyo tofauti kubwa ipo katika namna ya uunganishaji wa hizo genes.
Tofauti kuu ni hii:-
Hybridization hutumia ‘Fertilization’ na haihusishi ‘GENE SPLICING’ bali GM huusisha ‘GENE SPLICING’ na ‘GENE STITCHING’, then fertilization ndio hufuata baadae

UMEELEWA??
Kwahiyo shida yako ni kwamba njia moja inahamisha genes kwa fertilization na nyingine inahamisha kwa kutumia technology?
 
Safi sana waziri mkenda
Nimeyamiss sana yale matikiti yetu ya zamani sababu ya hizi vitu wanaziita za kisasa
 
Hapo naipa dole serikali; tena wakazie sheria nzito kwa taasisi itayojaribu kwenda kinyume.
 
Katika hili serikali imefanya jambo jema sana japo mabeberu wataongeza nguvu kuhakikisha mbegu asili zinaondoka mikononi mwetu

Pia ningefurahi kama watachukuliwa hatua walioruhusu hili jambo
 
Yaani umepotosha mno! Tena sana.
1.) Unapoitaje ‘Genetic Modification’ ni lazima ujue context inayohusika, unaposema ‘Cross breeding’ inayofanyika katika ‘Hybridization’ ni sawa na ‘Genetic Modification’, nami nitakuuliza, baba yako na mama yako walipounganisha mbegu zao na kukuzaa wewe, ni ‘Genetic Modification’? Kama sio kwanini? Au wewe ni exactly identical na baba yako? Au wewe ni exactly identical na mama yako? Ofcourse not, lakini hiyo haifanyi ile reproduction process waliyoifanya iitwe ‘Genetic modification’ although genes zako ni tofauti na zao, bado hatuwezi kuichukua out of context na kuita ‘Genetic Modification’, never. Nimefafanua vizuri maana ya ‘Genetic Modification’, sina haja ya kurudia.

2.)Kusema tofauti ya ‘Hybridization’ na ‘GM’ ni kwamba moja inafanyika naturally na nyingine inafanyika kwenye maabara si kweli, umepotosha. Mtu anaweza akachuku shahawa za muafrika na akachanganya na yai la mchina kwenye test tube ndani ya maabara na mtoto akapandikizwa kwa Surrogate mother na akazaliwa chotara wa kiafrika na mchina, je , hiyo utaita ni ‘Genetic Modification’ kisa imefanyika kwenye maabara??! Ofcourse not, sasa hata sikui kwanini umeamua kunichosha kuandika risala ndefu hivi.

1. Mfano wako hauna uhalisia. Baba yangu na mama yangu wote ni waafrika, wabantu tena kabila moja (same specie, same genus). Kwahiyo hapo hakuna crossbreeding, hakuna genetic modification sababu wana sifa za kufanana. Nilikupa mfano wa mzungu na muafrika, wakizaa mtoto atakua chotara mwenye genes za kizungu na kiafrika. Huyu chotara anakua na baadhi ya sifa tofauti na wazazi wake sababu yeye amebeba genetic mixture ya mzungu na mwafrika. Tayari hii ni genetic modification, na huyo mtoto chotara ndio hybrid yenyewe.

Mzungu na mwafrika wote tuko specie moja, ila tuna baadhi ya sifa tofauti. Ndio maana nilisema hybridization ni kwa viumbe wenye baadhi ya sifa za kufanana (close related species or genus), na sio viumbe wanaofanana moja kwa moja (identical).

Kwahiyo mfano wako kuhusu wazazi wangu hauna mantiki!


2. Sijaelewa ni kipi unapinga na kipi unakubali. Yani mtu achukue shahawa za muafrika, arutubishe yai la mchina kwenye test tube ndani ya maabara alafu apandikize kwa surrogate mother, kwako hii sio genetic modification?

Mkuu, ovum (yai la kike) ina central nucleus ambayo ndiyo inabeba genetic material ya mwanamke. Hizi genetic materials za mwanamke zinapoungana na genetic materials za mwanaume zilizoko kwenye sperm, ndio zinaamua inherited characteristics of the offspring!

Sasa kama original parents, mmoja ni mchina na mwingine muafrika, na mtoto anaezaliwa ni chotara, maana yake ni kwamba amebeba genetic mixture ya mchina na muafrika. Hii ndio genetic modification yenyewe!

Ingekua kwamba mchina na muafrika wanazaa mtoto either mchina pure kama mama yake, au muafrika pure kama baba yake badala ya mtoto chotara, basi hapo kusingekua na genetic modification. Sababu outcome (mtoto) haina tofauti na moja kati ya original breeds (wazazi).

In short, ukiweza kufanya chochote kile kwenye genes za original breeds, then ukapata another breed mwenye genes tofauti na zile za original breeds, tayari unakua umefanya genetic modification. Haijalishi umeifanya naturally, au maabara!
 
Ukitaka kupiga marufuku GMO maana yake upige marufuku ufugaji wa kuku wa kisasa, ng'ombe wa kisasa, mazao wanayosemwa yanastahimili ukame, yanayokuwa muda mfupi, miwa inayozaa sana nk.

Tukatae suala watu kupatent mbegu au tusitumie mbegu ambazo ziko patented lakini si kukataa na kupiga marufuku GMO, hii kitu hata kwenye nature inatokea.
Mkuu unaonekana unaujuzi na uwelewa vizuri na mambo ya kilimo..hapa utapata tabu sana kwasababu wengi wanaongelea vitu wasivyokuwa na ujuzi navyo.
kila kitu kina faida zake na hasara zake.hatuwezi kuishi kwa nyakati za zamani hali zimebadilika.
Wanachofanya wao kuboresha vitu kutokana na future tunapo elekea.
watakuja kuelewa baadae kama sio wao basi wajuukuu zao.
Cha msingi tuangalie faida na hasara zake kishatutoe maamuzi.wale manguli wetu wa kilimo na mifugo muda wao huu kwa ajili ya vizazi vijavyo.
 
Hiyo hybridization iliyoikomalia sana hata between species inafanyika. Hivi
Unataka kuturudisha form I na hii hybridisation yako. Mule ni hybrid lakini ametokana kati ya punda na farasi, Species tofauti sasa we unasemaje hybridisation inatokea ndani ya specie moja?
Nimeongelea hybridisation inayoleta fertile offspring, sasa ‘mule’ ambae ni mchanganyiko wa farasi na punda anakuwa fertile?, kwamba anaweza kuzaa au kuzalishwa na ‘mule’ mwenzake?
 
Kwahiyo shida yako ni kwamba njia moja inahamisha genes kwa fertilization na nyingine inahamisha kwa kutumia technology?
GMO huwa haina sababu ya kutumika endapo desirable traits zinazohitajika zipo kwa species ya aina moja ile ile, ambapo kwa species ya aina moja njia rahisi inayotumika ni cross breeding (hybridization); GMO in principle huwa inahitajika na ndio hasa hutumika endapo desirable traits zinazohitajika zipo mbali mbali zipo mbali mbali baina ya species. Mfano kuna mchele ambao ni zao la mchanganyiko wa genes za mpunga (kingdoma Plantae) na binadamu (Kingdom Animalia), ambavyo viko mbali sana kati classification ya viumbe, hivyo kwa mfano labda mpunga ulikuwa unashambuliwa na fungus ambao binadamu ana genes za kupambana nayo, wanakata ile gene toka kwa binadamu na kuipandikiza kwenye genome ya mpunga ili ule mpunga uweze kuwa na kinga ya kupambana na hiyo fungus. Sasa imagine unakula mchele wenye DNA ya binadamu. Madhara ya kiafya ni makubwa sana sana sana sana sana yanayoweza kutokana na huu mchezo mchafu, shida ndio ipo hapa kuhusu GMO. Pia makampuni kama Mosanto hufanya gentic changes ili kila mwaka ukanunue mbegu kwao, maana wanachezea ile genetic sequence ili mzao wa pili wa hizo mbegu usiweze kuzaa tena, na pale mbegu za asili zikishapotea zote basi ndio tunaingia utumwani wa kununu mbegu toka kwao, tukiwaudhi tu, mfano tukagomea uxhoga basi wanatunyima mbegu tufe njaa.

Umeelewa au unahitaji maelezo ya ziada, maana najua hata darasani vichwa ngumu hamkosekani 😂😂
 
Back
Top Bottom