Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
509
Reaction score
1,391
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
 
Kwani Bashe au serikali ndo wanao lima?! Sisi wakulima tuna haki ya kuuza mazao yetu popote, hujui mateso na hasara tunazo pata wakulima! Hatuilimii nchi, kila mtu apambane na hali yake, Kwani tukikosa mazao, mtatusaidia mahitaji yetu? Kwa mfano kama Wewe ni mwalimu, utakubali mtoto wangu asome bila Wewe kulipwa mshahara?
 
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia...
Lakini pia wakulima wana haki ya kuuza mazao yao kwa faida ! Kwa sababu Nchi nyingine wakulima huwa wanapewa ruzuku na serikali zao kama wakikumbwa na matatizo kwenye kilimo chao !! Je hapa huwa wanapewa ruzuku ??!! Mimi hapa kwetu huwa nasikia ruzuku wanapewa vyama vya siasa tu !!! Kama sio kweli naomba mnijuze wajuzi !!
 
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
Umeandika pumba.
 
Upo sahihi sana, lakini wanaokupinga humu ni walanguzi wa mazao ambao wanalenga faida kubwa huku wakisingizia wao ni wakulima. Kuna uzi nimesoma wanalalamika vibali havitoki wamebanana kwenye mpaka wa kenya, sasa unajiuliza kwa nini hawakukamilisha utaratibu wa vibali kabla ya kusafirisha mahindi kwenda kenya. Ila wanachofanya ni kutaka kuishinikiza serikali itoe vibali wakapige pesa ndefu, sasa serikali ikijisahau itakuta wamekausha nafaka yote nchini.​
 
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
Mtoa post barikiwa sana. Kwa sasa nchini mwetu bei ya chakula ipo juu Kila sehemu mfano mahindi na m chele nazani huwa anapita humu alifanyie kazi.
 
Lakini pia wakulima wana haki ya kuuza mazao yao kwa faida ! Kwa sababu Nchi nyingine wakulima huwa wanapewa ruzuku na serikali zao kama wakikumbwa na matatizo kwenye kilimo chao !! Je hapa huwa wanapewa ruzuku ??!! Mimi hapa kwetu huwa nasikia ruzuku wanapewa vyama vya siasa tu !!! Kama sio kweli naomba mnijuze wajuzi !!
Wapingaji wote hapa ni wafanya Biashara kwa [emoji817] % mkulima wetu Hana uwezo wa kulima na kupeleka mahindi nje. Niko ndan huku bariad wafanyabiashara wakubwa wameweka madalal kila kona wanawanunulia mahindi na kuyasafirisha Kenya. Kwa trend hii mwezi wa 12 mahindi yatauzwa debe kwa elfu 40. Now sehemu kubwa ni 20000. Sasa ikisika desemba ni njaa Kali sana. Na mwaka huu mavuno ya chakula hayakua mazuri

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Wapingaji wote hapa ni wafanya Biashara kwa [emoji817] % mkulima wetu Hana uwezo wa kulima na kupeleka mahindi nje. Niko ndan huku bariad wafanyabiashara wakubwa wameweka madalal kila kona wanawanunulia mahindi na kuyasafirisha Kenya. Kwa trend hii mwezi wa 12 mahindi yatauzwa debe kwa elfu 40. Now sehemu kubwa ni 20000. Sasa ikisika desemba ni njaa Kali sana. Na mwaka huu mavuno ya chakula hayakua mazuri

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa usemavyo lakini hapo sasa ndio ule msemo wetu wa miaka nenda rudi tangu nchi yetu ipate Uhuru kwamba KILIMO NDIO UTI WA MGONGO WA NCHI YETU inatakiwa ufanyiwe kazi kwa vitendo !! Pembejeo zikipanda kwenye soko la dunia Serikali lazima itoe ruzuku ili wakulima waipate mbolea kwa bei watakayoimudu na kadhalika na kadhalika !! Hapo ndio unakuwa na haki ya kuwaambia wapi wauze mazao yao na wapi wasiyapeleke !!
 
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
Bashe sasahivi analamba asali..kwesha ziba masikio.

Ila kiukweli soon tutaanza kusikia vilio vya njaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Lakini pia wakulima wana haki ya kuuza mazao yao kwa faida ! Kwa sababu Nchi nyingine wakulima huwa wanapewa ruzuku na serikali zao kama wakikumbwa na matatizo kwenye kilimo chao !! Je hapa huwa wanapewa ruzuku ??!! Mimi hapa kwetu huwa nasikia ruzuku wanapewa vyama vya siasa tu !!! Kama sio kweli naomba mnijuze wajuzi !!
Wakulima gani? Kuna mkulima anajua hata mpaka wa Namanga unafafanaje?
 
Wakulima gani? Kuna mkulima anajua hata mpaka wa Namanga unafafanaje?
Hakika itakuwa ni wafanya biashara ndio wanaoijua Namanga lakini wakulima wanakuwa wameshapewa pesa zao wanazozihitaji sana kwa matumizi yao na familia zao, je wapo mbadala wa kununua mazao yao ili wapate pesa kwa ajili ya matumizi yao ?!!
 
kama huku kahama viwanda vya kukoboa mchele na wauzaji wa karanga wanunuzi wengi ni waganda,wakenya,warwanda na wasudani yani wanakaba mpaka mzigo wa akiba
 
Mbolea iliuzwa kwa bei juu sana. Hiko ndio kinachangia mazao bei iwe juu sana.

Changamoto nyingine zipo kila mwaka kwa wakulima, sehemu moja unakuta wamepata sana, kwengine chenga, hadi sasa debe la mahindi linachezea 15k, December ni mwendo wa 30k.
 
Hilo ni wazo la kijinga kabisa la ujamaa wa kizamani
Ndo limefanya wakulima ambao ni zaidi 60% kuwa maskini,
kama demand ni kubwa ndo fursa yenyewe uwekwe mkakati wa kuongeza kilimo cha mazao ya chakula hata kwa njia ya umwagiliaji mwaka mzima
Unata wafungie ili Bei ishuke alafu hiyo hasara iende kwa mkulima
Hizi akili za kijamaa za kizamani tuachane nazo
Nchi ifunguliwe watu walime kwa wingi tuuze hata Sudan Somali nk
Kama unaona mjini hapakulipi
Toka mjini ukalime kama vipi
Na wasiwasi Kama ulishawahi kulima hata hekari moja
 
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
Hivi unajua bei ya mbolea?WAKATI wa kulima mkulima analua peke yake na hizo bei za mbolea akivuna mnataka aauze kwa bei elekezi.mkulima atajikomboa lini kwa bei hz za kumnyonya???Muacheni nae auze apate pesa asomeshe watt wake.afidie bei ya mbolea na madawa.
 
Back
Top Bottom