Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nashukuru kwa kusaidia kuuliza swali zuri sana maana maelezo yangu hayakueleweka!!Unafikri wakulima wadogo wakiondoka kwenye mfumo wa uzalishaji kundi kubwa kiasi gani la maskini litakuwa limetengenezwa?
Kwani kilimo hakiwezi kuwa mechanized bila kuua wakulima wadogo ?Naomba ungeelewa maana ya fact na supposition. Supposition ya kilimo kinachotakiwa ni kile kisichohusisha jembe la mkono wala kuomba dua za mvua. Ni mechanized agriculture. Ofkoz, kwa nchi yetu itachukua muda kuwaondoa wakulima hao, lakini for sure lazima waondoke (phased out not kicked out) as time goes. Hili neno la wakulima wa vijijini tumelitengeneza tu lakini kiuhalisia yapasa neno wakulima wa vijijini na mjini lisiwepo. Just wakulima tu.
Hao wakulima wa vijijini watakaposhindwa kuingia kwenye mfumo rasmi Wana hiyari mbili. Kuingia contract ya kuzalisha kwa kiwango cha wakulima rasmi na kuwauzia au kuwa vibarua/wafanyakazi wa kilimo watimize mahitaji yao . Simply hivyo.
😢😥😭Loo! Hata mahindi usipowaona madalali pale soko la Tandale utarudi nayo.
Kama vision ya BBT ni kuondoa wakulima wadogo kwenye mfumo wa uzalishaji basi mpango huu utakuwa ni mpango wa kishetani.Nashukuru kwa kusaidia kuuliza swali zuri sana maana maelezo yangu hayakueleweka!!
Hii ilishafeli huko nyuma. Walikopeshwaga wakaishia kufungwa na kujinyonga na kutoroka.Bashe is doing for the sake of doing to impress, hii game alishindwa zamani sana..
Hizo hela za block farming angezipeleka kuanzisha na kuendeleza cooperative unions Wakulima wakope pembejeo huko... na serikali idai cooperative unions... sasa hizi blabla ni outdated and we will never go anywhere.
Pengine vision ya mradi siyo kuboresha kilimo ila ni kupanua goli ili wafunge hata kama wamefumba macho hii nchi haishiwi maajabu.Mpango wa block farm ungefanikiwa kana ungehusisha wakulima wazoefu,bila ubaguzi wa umri!
Wakulima wenye uzoefu na mapenzi na kilimo ndio wanaweza kuvumilia suluba za kilimo!
Hawa wakulina wa kuchonga watamuangusha mno mh Bashe! Nia ya mh Bashe ni nzuri,lakini njia anayotumia ni mbaya!
Nimeuliza kule juu kwamba inakuwaje siyo wakulima asilia ndiyo wawechukuliwa badala yake wamechukuliwa wapya kabisa!!Kama vision ya BBT ni kuondoa wakulima wadogo kwenye mfumo wa uzalishaji basi mpango huu utakuwa ni mpango wa kishetani.
Na hautakiwi kuungwa mkono.
Serikali walipanua goli wenyewe vyama vya ushirika vikaingia kwenye mtego huo.Hii ilishafeli huko nyuma. Walikopeshwaga wakaishia kufungwa na kujinyonga na kutoroka.
Lengo la BBT siyo kuinua wakulima ni kumwinua Bashe.Nimeuliza kule juu kwamba inakuwaje siyo wakulima asilia ndiyo wawechukuliwa badala yake wamechukuliwa wapya kabisa!!
Unadhani hii ni skimu ya kwanza? Makosa yaliyofanywa sikju za nyuma ndiyo yamefanywa tena kwenye skimu hii!!Hii ilishafeli huko nyuma. Walikopeshwaga wakaishia kufungwa na kujinyonga na kutoroka.
Kila kitu kina mwanzo wake, hao walioanza waacheni waendelee. Isingewezekana kuwa deploy vijana wote wa Tanzania kwa resources chache tulizonazo.Vijana wametolewa mjini, wengine. Ni uvccm wamejazwa , yako matrekta , wataystumia wapi.
Bashe alikuwa anwazo zuri sana Lakini limekuwa na upendeleo wa itikadi kama chama ,siasa ,ukanda,
Na kuachia wahusika wakikosa nafasi.
Mfano apo wanafundishwa kulima zabibu lakini Kuna vijana waMEtolewa Dar, SS sijui wakirudi wataenda kulima jagwan
TuWaTakie heriKila kitu kina mwanzo wake, hao walioanza waacheni waendelee. Isingewezekana kuwa deploy vijana wote wa Tanzania kwa resources chache tulizonazo.
Believe in the process
Halafu wala sio kitu complex. Ni portal tu kwa ajili ya wanunuzi na wakulima. Bei wanapanga wakulima wenyewe kila mtu na bei yake. Mwenye bei competitive anauza. Wateja wanaingia kwenye hio portal wanafanya contact na wauzaji.Serikali inapaswa ije na mfumo ambao automatically utawatoa madalali kwenye mfumo. Hii itakuwa ahuen kwa mkulima
Uvccm oyeeee🤣🤣Lengo la BBT siyo kuinua wakulima ni kumwinua Bashe.
Sizungumzii vijana wote wa participate Kwa pamoja, mfano Hilo shamba darasa linalenga hasa zao la zabibu, Sasa kuchukuwa vijana ambao wanatoka maeneo ambayo haya zilishi Hilo zao Kwa wingi ama kabisa hawazalishi,Kila kitu kina mwanzo wake, hao walioanza waacheni waendelee. Isingewezekana kuwa deploy vijana wote wa Tanzania kwa resources chache tulizonazo.
Believe in the process
Kivip Sasa hiyoBashe is doing for the sake of doing to impress, hii game alishindwa zamani sana..
Hizo hela za block farming angezipeleka kuanzisha na kuendeleza cooperative unions Wakulima wakope pembejeo huko... na serikali idai cooperative unions... sasa hizi blabla ni outdated and we will never go anywhere.
Mkuu si wamesema wanawapa hayo masamba kwa kuwamilikisha labda mim ndio sijaelewa hiyo concept ya ile misheniSizungumzii vijana wote wa participate Kwa pamoja, mfano Hilo shamba darasa linalenga hasa zao la zabibu, Sasa kuchukuwa vijana ambao wanatoka maeneo ambayo haya zilishi Hilo zao Kwa wingi ama kabisa hawazalishi,
Sasa hapo tija itatoka wapi ndugu