Waziri Bashe amjibu Tundu Lissu kuhusu Wabunge kufanya biashara ya pamba, amwambia 'Mbona Mwenyekiti wake alikuwa Mfanyabiashara na Mbunge'

Atuambie huyo bashe ni lini mwengekiti alipewa Ginnery za victoria Nyanza za pamba kama akina nyongo na Gachuma.
 
Kajibu shallow sana.
Nilishasema huyu jamaa ni Bure kabisa na tafadhali wale walioko karibu Naye..mwambieni aachane kabisa na lugha ya kiingereza anapokua anaongea publicly...hiyo lugha haimtaki kabisa na mbaya zaidi anaitumia kuongea vitu vya hovyo kabisa kwa mtu wa nafasi hiyo kubwa sana.

Waganga nchi hii mnatuumiza sana...how can you enable a person of this calibre to hold such a high and crucial office!?
 
Bashe acha hadaa, wewe unaongea kwenye viyoyozi kuwafurahisha hao kina Gachuma, TL yupo field huko mwandoya, mwakalubha, mwanhuzi, malampaka n.k watu wa huko wameelewa hoja yake. Sasa na wewe nenda field ukajibu hilo jibu lako uone kama hujapopolewa mawe.
 
upuuzi
 
Majibu mepesi na ya kipumbavu.
Anajua zao la pamba linavyowatia watu wa kanda ya ziwa hasara?.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uko kwenye Bodi ya Korosho na ni Mfanya biashara mkubwa wa Korosho. Bado huoni tatizo. Akili Matope hii
Kwamba hakuna miongozo kwenye bodi ya korosho!?..au una uhakika hawezi kuwa mwadifu!?..ukiwa mfanyabiashara ya korosho basi unakua na muhuri wa laana kwamba huwezi kuwa kwenye bodi ya korosho!?
 
Ni mfanya biashara mpk kesho ila Issue hata sio hyo , Ukimsikiliza Lissu Issue ni yake ilikuwa conflict of interest ambayo Bashe hajazungumzia kabisa. mfno wake ni Irrelevant.
Ukiwa mfanyabiashara mkubwa haifai kuwa kiongozi wa nchi hata Kama una sifa?
 
Bashe achana na kupoteza muda kuwajibu, hayo ya marufuku yaliishia kwenye azimio la Zanziber walipoondoa miikoya uongozi. hili si tatizo lako. ni tatizo la kuikanyaga katiba yetu ya Chama
 
kwaiyo wanasutana nani anafanya biashara nani hafanyi? na sisi wenyenchi tuliowaweka mnadhani tunalidhika na mnayofanya?
haijalishi ni upinzani au utawala,acheni kumwaibisha mwarabu tunamwamin sna
 
Mbona bashe Bado ni waziri Bora?
 
Issue si kufanya biashara, issue ni kuwanyonya wakulima kwa bei ndogo za kihuni
Pamba inanunuliwa na kuuzwa Kutokana na bei ya Soko la Dunia, Mwaka jana imeuzwa 1500 moja ya bei kubwa kupata Kutokea, Bei imeshuka Soko la Dunia na in ashuka huku kwetu.

 
Nakubaliana na wewe Jo. Unakuwa na Waziri Zuzu hawezi kujua maana ya conflict of interest? Yaani Mbunge anayetakiwa kuwatetea Wananchi dhidi ya walanguzi wa pamba ndiye mlanguzi wa pamba? Na bado Waziri anaona mfano mzuri ni Mbowe kufanya Biashara? Ni Biashara gani ya Mbowe ilikuwa inaingiliana na interest za wapiga Kura? Hotel au Club Bilicanas? Au Ile Green house?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…