Waziri Bashe amjibu Tundu Lissu kuhusu Wabunge kufanya biashara ya pamba, amwambia 'Mbona Mwenyekiti wake alikuwa Mfanyabiashara na Mbunge'

Waziri Bashe amjibu Tundu Lissu kuhusu Wabunge kufanya biashara ya pamba, amwambia 'Mbona Mwenyekiti wake alikuwa Mfanyabiashara na Mbunge'

Nakubaliana na wewe Jo. Unakuwa na Waziri Zuzu hawezi kujua maana ya conflict of interest? Yaani Mbunge anayetakiwa kuwatetea Wananchi dhidi ya walanguzi wa pamba ndiye mlanguzi wa pamba? Na bado Waziri anaona mfano mzuri ni Mbowe kufanya Biashara? Ni Biashara gani ya Mbowe ilikuwa inaingiliana na interest za wapiga Kura? Hotel au Club Bilicanas? Au Ile Green house?
[emoji23]
 
Nakubaliana na wewe Jo. Unakuwa na Waziri Zuzu hawezi kujua maana ya conflict of interest? Yaani Mbunge anayetakiwa kuwatetea Wananchi dhidi ya walanguzi wa pamba ndiye mlanguzi wa pamba? Na bado Waziri anaona mfano mzuri ni Mbowe kufanya Biashara? Ni Biashara gani ya Mbowe ilikuwa inaingiliana na interest za wapiga Kura? Hotel au Club Bilicanas? Au Ile Green house?
Good umeandika vizuri kabisa, asante
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Hawa watu cjui wana shida gan 🤔 kwel Wazir unakuja jibu hoja in different ways? Na hii yote ni kuwasililiza uvccm mitandaon na kuja kutoa majibu. Bila kujua uvccm mitandaon ni hopeless, dormant, na wasio na akili ya kujenga hoja!!! Issue ya LISSU ililenga kutokea conflict of interest kati ya viongoz na wakulima!!! Hii Nchi hii....!!
 
Hawa watu cjui wana shida gan [emoji848] kwel Wazir unakuja jibu hoja in different ways? Na hii yote ni kuwasililiza uvccm mitandaon na kuja kutoa majibu. Bila kujua uvccm mitandaon ni hopeless, dormant, na wasio na akili ya kujenga hoja!!! Issue ya LISSU ililenga kutokea conflict of interest kati ya viongoz na wakulima!!! Hii Nchi hii....!!
Kama Una Mawaziri àmbao wakisikia kuna mabadiliko ya Baraza la mawaziri wanaongeza speed ya AC ya gari Kwa hofu unategemea nini? Wao wenyewe wanajijua ni hopeless ndo maana wanachukua maoni ya wapuuzi wa uvccm mitandaoni ambayo hata Mtoto wa darasa la 4C anayachallenge.
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Mbowe anafanya biashara ya hoteli hakuwa mnunuzi, Bashe unasababisha wakulima waibiwe, wewe ni mnunizi.
 
Uko kwenye Bodi ya Korosho na ni Mfanya biashara mkubwa wa Korosho. Bado huoni tatizo. Akili Matope hii
Alafu anasema eti Mbowe pia alikua Mfanyabiashara... yaani the Guy can not connect... yaani ata kama Mbowe alikua businessman huyu bwege hajui jinsi business yake imekua affected kwa yeye kuwa Chairman wa Chama cha upinzani na Mbunge.

Takataka kama hizi zinatudhalilisha wote kama Raia namba moja hadi wa mwisho kabisa.
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Hivi huyu Bashe anatambua chochote kuhusu suala la kiongozi kuwa na mgongano wa maslahi? Pia anatambua kuhusu kiongozi kutakiwa ku "declare conflict of interest" kabla ya kufanyika maamuzi yeyote yenye kuathiri utekelezaji wa mambo yenye maslahi binafsi kifaida katika biashara ama uchumi?

*Analysis" nyingine zina mantiki na maudhui kuntu. Kuliko kukimbilia kuzijibu kirahisi tu na kisiasa, mtu anapaswa kwanza kuzielewa kwa kina.
 
Kama Una Mawaziri àmbao wakisikia kuna mabadiliko ya Baraza la mawaziri wanaongeza speed ya AC ya gari Kwa hofu unategemea nini? Wao wenyewe wanajijua ni hopeless ndo maana wanachukua maoni ya wapuuzi wa uvccm mitandaoni ambayo hata Mtoto wa darasa la 4C anayachallenge.
U hv done it all ✔️
 
NCHI hii viongozi wengi ni wapumbavu inasikitisha sana
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Ni mazoea mabaya tu. Mbunge au wanabodi ya pamba wanakua kwenye biashara ambazo wana maslahi nazo? Bashe anatetea maana wote wanakiuka good governance, ndio imekua desturi.
Ccm waliposema wanajenga ujamaa kutumia sekta binafsi ilikua kwamba serikali yao itawadhibiti sekta binafsi ili matunda kiuchumi yawafikie umma. Sasa kama vigogo wabinafsi kwenye chama na serikali ndio private sector nani atadhibiti sekta binafsi kuhakikisha kuna ujamaa. Mauongo tu sasa ndio yamebakia wapigaji tu ndio wanaongoza nchi.
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Hakuna ubaya kufsnya biashara, Ila, kama kuna mgongano wa, maslahi, hapo shida,
Fikiria mkurugenzi, wa ewura awe na kampuni ya, kuagiza mafuta,kwanza ewura ndio inayopnga bei na kutoa vibari vya kuagiza mafuta, yeye atakuwa na taarifa nyingi kuliko wafanyabishara wengine,
Mbowe hayupo serikalini,
Wabunge wa CCM ndio hupanga bei ya, pamba, na wao, ndio hununua, hapa hawawezi, kumpigania mkulima apate bei nzuri, maana na wao wananufaika,
Sasa, kama bashe haoni, tatizo hapa, basi CCM wote wamelogwa na wana fikiria kwa, kutumia makamasi, badala ya, bongo
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Too low
 
Nadhani baada ya yeye kuropoka
Na kusoma maoni ya wadau
Na kujisikiliza alichokiongea
Atakuwa anajitathmini namna alivyojibu kama kilaza,amejifedhehesha.
Muda mwingine heri kukaa kimya.
 

Bashe amesema sio dhambi kwa viongozi wa bodi ya pamba kufanya biashara ya pamba, na wala hakuna tatizo kwa wabunge kufanya biashara hiyo ya pamba.

Jana tar 2/9/2023 Lissu aliongelea jambo hili akiwataja viongozi wa CCM ambao akiwepo Mwenyekiti wa Bodi ya Pamba kutawala biashara hivyo na hivyo kuwaminya wakulima linapokuja suala la kupanga bei.

Bashe ameyasema haya katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais na Waandishi wa habari leo 3/9/2023

Bashe kajibu kisiasa na kutoongelea mgongano wa maslahi kwa viongozji hao wa CCM kujiingiza kwenye biashara hiyo huku wakiwa kwenye uongozi wa bodi hizo.
Ni utetezi wa kijinga na kipumbavu toka Kwa waziri!!

Anawezaje kuhalalisha makosa yake Kwa utetezi wa mbona fulani naye alifanya hivyo?

Kwa ukiri huu, ni wazi sasa kuwa, kumbe Tundu Lissu yuko damn right na kamwe hajawasingizia wote aliowataja akiwemo yeye Hussein Bashe kumiliki kampuni ya ununuzi wa tumbaku na akiwakopa wakulima huko Tabora...

==============================================

Pia kumbe ni kweli, Mwenyekiti wa bodi ya pamba ni ndugu Christopher Gachuma mjumbe wa halmashairi kuu ya CCM taifa ambaye pia ni;

1. Nidiye mnunuzi mkuu wa pamba Tanzania..

2. Ni mmoja wa wamiliki wa vinu vya kuchambulia pamba (ginneries)

3. Ni Mwenyekiti wa bodi ya pamba, bodi inayopanga bei ya pamba ya wakulima na wakati huohuo huyu Gachuma na bodi yake ndiyo isimamie maslahi ya wakulima wa pamba..

=====hapa pana mgongano wa maslahi na ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma=====
================================================
Kumbe naye huyu Hussein Bashe ni mmoja wa wamiliki wa kampuni za ununuzi wa tumbaku huko Tabora na anawakopa wakulima badala ya nipe nikupe..

Halafu wakati huo huo Hussein Bashe ndiye waziri mwenye dhamana ya kilimo na kusimamia maslahi ya wakulima wakiwemo hao wa tumbaku huko Tabora..

====Katika mazingira haya, tusemeje? Je, sio kwamba huu ni mgongano wa maslahi ya umma na ukiukwaji wa sheria na kanuni za maadili ya viongozi wa umma====?

Je, ni halali na inaingia akilini kwa waziri kujitetea kwa kusema mbona fulani naye alifanya kosa kama hilo?
 
Kumbe Bashe naye ni mpumbavu tu!! Hajajibu hoja, badala yake ananyooshea vidole kuwa na yule alikuwa anafanya hivi.

Bodi ya pamba ipo kwa ajili ya kuwalinda wakulima wa pamba. Viongozi wake wakianza kufanya biashara ya uchuuzi wa pamba hapo kunakuwa na mgongano wa maslahi. Anayeumia ni mkulima.

Pumbavu kabisa. Sijui SSH anawaza nini kwa hawa ng'ombe anaowateua.
Kama Mwenyewe anamoto Abduli awe tajiri nnchi itaendaje!!
 
Back
Top Bottom