Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kila kitu tumebarikiwa kasoro tumenyimwa akili.Aliyekupa amekupa tu hata mkitia kila aina ya figisu hamtaweza kwa sababu aliyetubariki ni Mungu mwenyewe
Tuna madini
Tuna ardhi nzuri na tunalima sana tu
Tuna vivutio vya utalii kama vyote
Mungu ametuweka kijiografia kwenye eneo nzuri kuwahudumia nchi zilizoko mbali na bahari
Yaani sijui niseme nini
RAISI MAKINI TUNAE
Hebu mtuheshimu tu hizi figisu hazisaidii jamani ni Mungu huyu ambaye ametupatia vitu vyote hivyo
Wewe unadhani wapi hakuna corona?
Kumbe unasema "raisi"? Nilidhani unasemea "rais" ningeshangaa sana.Aliyekupa amekupa tu hata mkitia kila aina ya figisu hamtaweza kwa sababu aliyetubariki ni Mungu mwenyewe
Tuna madini
Tuna ardhi nzuri na tunalima sana tu
Tuna vivutio vya utalii kama vyote
Mungu ametuweka kijiografia kwenye eneo nzuri kuwahudumia nchi zilizoko mbali na bahari
Yaani sijui niseme nini
RAISI MAKINI TUNAE
Hebu mtuheshimu tu hizi figisu hazisaidii jamani ni Mungu huyu ambaye ametupatia vitu vyote hivyo
Una lako jambo mi simoKumbe unasema "raisi"? Nilidhani unasemea "rais" ningeshangaa sana.
Ulitaka tuuze tsh ngapi? Fanya kama unatupangia bei ya kuuzaMkuu taabu wanayopata wakulimu ni kubwa mno, mahindi yamewadodea gunia 1= Tsh 38,000
Wewe sijui unaleta mzaha wa nini?
Kujiridhisha angewasiliana na balozi yetu Kenya.Ameenda kujiridhisha kwanza!
Kwa miguuBashe wiki yote hii yuko Arusha akisimamia zoezi la kuwafurusha nzige!
Unahangaika sana dogo! LISU hatakaa awe rais, bora ukijikite kukitafutia kipato kuliko kusubiri Lisu awe raisAnadhani kuongoza nchi ni sawa na kuswaga ng'ombe
Achana na hako kapumbavuMkuu taabu wanayopata wakulimu ni kubwa mno, mahindi yamewadodea gunia 1= Tsh 38,000
Wewe sijui unaleta mzaha wa nini?
Subiri Kenya atajibiwa ipasavyo..badala ya kuwasiliana na waziri mwenzake kwa upande wa Kenya anatuletea habari hizi.
..sasa anaposema hawajapokea taarifa rasmi inatusaidia nini sisi Watanzania?
..Nia yetu ni kuuza mahindi Kenya na Waziri hatakiwi kuzubaa-zubaa ktk kulipatia ufumbuzi suala hili.
Yani akawapigie magoti wakenya?Prof. Adolf Mkenda, nenda kenya katie hili tatizo. Wewe kwenu Rombo ,na warombo na wakenya mnaelewana. Huyu Dogo hawezi hiyo kazi .
Subirini mtapata ripoti nyie zenu ni kupiga domo motandaoni..dogo[bashe] anaenda kutembelea mpaka wa namanga, badala ya kuwasiliana na viongozi wenzake kwa upande wa kenya.
tatizo sio kuwa na vitu.. tatizo unavitumiaje kufika unapotaka?Aliyekupa amekupa tu hata mkitia kila aina ya figisu hamtaweza kwa sababu aliyetubariki ni Mungu mwenyewe
Tuna madini
Tuna ardhi nzuri na tunalima sana tu
Tuna vivutio vya utalii kama vyote
Mungu ametuweka kijiografia kwenye eneo nzuri kuwahudumia nchi zilizoko mbali na bahari
Yaani sijui niseme nini
RAISI MAKINI TUNAE
Hebu mtuheshimu tu hizi figisu hazisaidii jamani ni Mungu huyu ambaye ametupatia vitu vyote hivyo
Ni wewe pekee ndio huna akili mkuuNi kweli kitu tumebarikiwa kasoro tumenyimwa akili.
Ndio inalipizwa? Subiri majibu atayapata soonTaarifa ya kuchoma vifaranga vya Kenya kinyama aliipata ?
Nchi haina rais tangu 2015. Kuna mshirikina analiangamiza taifa.Unahangaika sana dogo! LISU hatakaa awe rais, bora ukijikite kukitafutia kipato kuliko kusubiri Lisu awe rais