Waziri Bashe: Hatujapokea taarifa rasmi kutoka Kenya kuhusu kuzuiwa mahindi yetu ila magari yetu yamezuiwa!

Waziri Bashe: Hatujapokea taarifa rasmi kutoka Kenya kuhusu kuzuiwa mahindi yetu ila magari yetu yamezuiwa!

Anadhani kuongoza nchi ni sawa na kuswaga ng'ombe

Watu wengine vichwani mmejaza funza. Madai ya Kenya kuzuia mahindi yamewekwa, ila wewe kwa akili ndogo zako unamhusisha JPM na kuongoza Nchi. Acheni ujuha
 
Watu wengine vichwani mmejaza funza. Madai ya Kenya kuzuia mahindi yamewekwa, ila wewe kwa akili ndogo zako unamhusisha JPM na kuongoza Nchi. Acheni ujuha
Ulitaka tukuhusishe wewe? Nani anakujua wewe nguchiro?
 
Aliyekupa amekupa tu hata mkitia kila aina ya figisu hamtaweza kwa sababu aliyetubariki ni Mungu mwenyewe
Tuna madini
Tuna ardhi nzuri na tunalima sana tu
Tuna vivutio vya utalii kama vyote
Mungu ametuweka kijiografia kwenye eneo nzuri kuwahudumia nchi zilizoko mbali na bahari
Yaani sijui niseme nini
RAISI MAKINI TUNAE
Hebu mtuheshimu tu hizi figisu hazisaidii jamani ni Mungu huyu ambaye ametupatia vitu vyote hivyo
Watanzania tumejengewa dhana zo hovyo sana,na hii kwasababu
hatuna exposure na hatupendi kusoma ,yani huwa tunadhani tulivyonavyo sisi wengine hawana na kama wanavyo basi vyakwetu ni bora na vingi zaidi ukilinganisha na kokote duniani.

Ukweli ni kwamba tuko kawaida Sana tusiji over rate.Madini kama dhahabu tulionayo huwezi linganisha hata kwa robo na dhahabu ya south Africa.

Gas hii tulionayo ifahamike Urusi ni miongoni mwa nchi zilizobarikiwa gas nyingi duniani.

Sasa unajigamba habari ya mahindi ambayo mmarekani ndio mkulima no moja wa mahindi duniani na huyalima kwaajili ya mifugo.

Tuache ubabe wakijinga kwani kwakufanya hivyo tunaumiza sana wakulima.
 
Nainu waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema serikali haijapokea taarifa rasmi kutoka Kenya juu ya kuxuiwa kwa mahindi ya Tanzania kuingia nchini humo.

Bashe amesema wakipewa taarifa watachukua hatua stahiki japo mkuu wa TRA Namanga amethibitisha mahindi ya Tanzania kuzuiwa kuingia Kenya kwa kuzuia magari yenye shehena.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

====

Arusha. Naibu Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe amewasili mkoani Arusha kutatua kile kinachodaiwa kuwa Mamlaka ya Mapato nchini Kenya (KRA) imezuia magari ya mizigo yenye shehena ya mahindi kuingia nchini humo.

Taarifa ya zuio hilo imesambaa katika mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa kuamkia leo Jumamosi Machi 6, 2021 ikieleza kuwa magari yamekwama katika mpaka wa Namanga.

baashe malory

Akiwa katika eneo hilo lililopo Wilaya ya Longido mkoani humo, Bashe ambaye ni mbunge wa Nzega Mjini (CCM) amesema Serikali ya Tanzania inachukulia kwa uzito unaostahili mazao yao kuzuiwa.

"Serikali inafutilia kwa karibu zuio hili niwahakikishie wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla kuwa serikali itaendelea kulinda maslahi yake," amesema Bashe.
bashe usijitoe ufahamu,kenya wamezuia mahindi kutokaTANZANIA OFFICIAL,tuyarudishe tule mpaka tuvumbiwe.nasema mitano tena
 
Watu wengine vichwani mmejaza funza. Madai ya Kenya kuzuia mahindi yamewekwa, ila wewe kwa akili ndogo zako unamhusisha JPM na kuongoza Nchi. Acheni ujuha
Wewe ndiyo umefunzika kichwani huoni mbele tatizo la jpm wako ni hajui Mahusiano ubabe mpaka kwa jirani
 
Au wakenya wanahasira na tz kwa sababu ya kufurusha nzige wakarudi huko kwao, yawezekana ndio waliowatuma hao nzinge waharibu mahindi yetu.
 
Watu wengine vichwani mmejaza funza. Madai ya Kenya kuzuia mahindi yamewekwa, ila wewe kwa akili ndogo zako unamhusisha JPM na kuongoza Nchi. Acheni ujuha

Baba yako aliharibu shahawa zake kumkojolea aliyekuzaa, angejua utazaliwa wewe, angepiga punyeto
 
Tunamcheka bure jesca, lakini ukweli ni kwamba amerithi kila kitu kutoka kwa baba yake.
 
Prof. Adolf Mkenda, nenda kenya katie hili tatizo. Wewe kwenu Rombo ,na warombo na wakenya mnaelewana. Huyu Dogo hawezi hiyo kazi.
Wewe, nani kasema Prof. Adolf Mkenda ni wa Rombo? Huyu ni kanda ya ziwa! Si unajua lazima uwe kanda ya ziwa eti!
 
tatizo sio kuwa na vitu.. tatizo unavitumiaje kufika unapotaka?
katika dunia ya leo huwezi kufanikiwa bila kuwa na ushirikiano na mataifa mengine.
Upo sahihi lakini kuna baadhi yao ushirikiano wao hauna jema nasi na wengi wa mataifa hayo wanasumbuliwa na kijicho
 
Dona kantri bwana kila kitu inakanusha.

Korona hakuna
Mahindi hayana sumu
hakuna mtu aliebisha kua mahindi hayana sumu ila concern ya serikali ni kua kenya hawakufuata utaratibu katika kutoa tangazo lao, sasa ngoja JIWE litawafurahisha manina zao...
 
..anawajulisha watanzania nini?

..kwamba serikali ya Tanzania haijawasiliana na viongozi wa Kenya kulipatia ufumbuzi suala hili?

Je, hicho ndicho Watanzania wanachotaka kujulishwa?

Mie nilitegemea afanye immidiate action kwa kusema mahindi yoootee yaliyokwama mpakani yapelekwe kwenye maghala ya serikali na wafanyabiashara waliohusika watalipwa kwa sababu inchi hii ni tajiri sana

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kama kweli imedhibitika mahindi ya Tanzania yanao kiwango kikubwa cha aflotoxin basi afya ya Mtanzania mashakani. Aflotoxin husababisha kansa. Aflotoxin kwenye mahindi husababishwa na kuhifadhi kwenye ghala mahindi ambayo hayajakaushwa vizuri(moisture content must be below 13% dry basis for safe storage)
Maeneo ya watu haya. Sababu za hizo mambo ni nyingi kidogo. Kwahiyo hizo kansa zimeenea zaidi kwetu kuliko kwao siyo?
 
Mie nilitegemea afanye immidiate action kwa kusema mahindi yoootee yaliyokwama mpakani yapelekwe kwenye maghala ya serikali na wafanyabiashara waliohusika watalipwa kwa sababu inchi hii ni tajiri sana

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwenye hayo malori kuna uwezekano mkubwa asilimia ya kutosha ni ya wafanyabiashara wa ke.
 
Subirini mtapata ripoti nyie zenu ni kupiga domo motandaoni

..time is money. muda aliotumia kupiga blah-blah angeweza kuwasiliana na mamlaka za Kenya na kulipatia uvumbuzi suala hili.
 
Back
Top Bottom