Waziri Bashe na wizara mnaandaa Watanzania kwa mipango ya upigaji

Waziri Bashe na wizara mnaandaa Watanzania kwa mipango ya upigaji

Patriot

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2008
Posts
5,705
Reaction score
4,703
Jana tarehe 20 March 2023, Rais alifungua mradi wa mashamba ya pamoja, Mradi wa Kilimo wa Vijana. Sijui kama Waziri ana lengo zuri au ni kulifanya jina lake lisikike kila wakati mbele ya Rais kwa kujitambulisha kama mchapakazi. Kama ni mpango wa Wizara, basi ni muendelezo wa udanganyifu ulioanzia mambo ya Kilimo kwanza.

Wakulima wa nchi hii, zaidi ya 70%, wako vijijini. Huu ni upigaji wa wazi kabisa kuwashawishi vijana kwa kuwapa mashamba kama kambi ya JKT, ili washawishi wengine kuhusu kilimo. Hii ni hasara kwa wakulima. Waziri alianza na pikipiki za maafisa ugani ambazo hazionekani zilikwenda wapi na bado hazijaulizwa! Sasa amekuja na hili ambalo halimo hata kwenye mpango mkakati wa pili wa kuendeleza kilimo wa Wizara, ASDP II.

Huu ni upigaji wa wazi kabisa!
 
Ni mwendo wa kuzindua tu, kabla hili halijafika popote wanafanya hafla ya kuzindua lingine, Ni hafla za uzinduzi kwa kwenda mbele. Ikitoka hafla inafata warsha inafata semina , afu tunarudi Tena kwenye hafla. Kukagua kwamba hili limefikia wapi hamna.
 
Hilo mkuu halitafanikiwa hata kidogo wewe subiria anguko lake. Vijana wa mjini kwanza si wachapakazi na kwa hulka hawapendi kilimo. Wao huwa wanafikiria fedha za haraka haraka bila ya kutoa jasho halafu mpeleke shamba! Tusubiri tuone.
 
Mie niliposikia eti katika kila eneo akitolea mfano wa shamba la hector 30000.

Vijana wanachukua labda hector 10000. Halafu mwekezaji mkubwa anapewa hector 20000.

Condition ya mwekezaji mkubwa ni lazima kununua mavuno yatakayopatikana kwenye hizo hekari 10000 za vijana.

Halafu maeneo mengine wamepanga kulima zabibu; sasa unless huyo mkulima mkubwa na yeye ana biashara nyingine ya kutengeneza juice ya zabibu au wine sioni mantiki ya yeye kutaka kununua zabibu zote hizo.

Kumbuka zabibu ni perishable good inayotakiwa kutumika haraka baada ya mavuno. Kwa ivyo zisipo nunuliwa in time zinaharibika.

Kawaida wenye uwezo huo huwa ni makampuni, mfano ‘Starbucks’ hiyo ni sehemu ya operation strategy yao duniani ata kama sio kwa jina lao directly wanaweza kuwa na wakala anaelima ‘Coffee Arabica’ na kuwa na uwezo wa kununua kiasi kikubwa kwa wakulima wadogo wa maeneo hayo. Huyo wakala anajukumu la kuwasaidia mbinu za kupata mavuno mazuri wakulima wadogo.

Kama ilivyo Mfindi kwa wakulima wa chai na Unilever, Babati na TBL kwa wakulima wa burley, Cadbury Chocolate na cocoa ya Ghana; etc. Mara nyingi ukiona hivyo elewa kuna conglomerates nyuma ya hiko kilimo.

Lakini mkulima ambae hana soko maalum kubwa kumtwika huo mzigo ni wazimu halafu mazao yenyewe sio nafaka ambayo watanzania wanahitaji.

Nimewahi kusikia mipango mingi ya ovyo Tanzania lakini huu, I am sorry to say kwa atakae kwazika nitakachoandika tuna watu wajinga mno serikalini how on earth watu walioenda shule waliweza pitisha mradi kama huu wenye kasoro zaidi ya 700 ambazo ata kuziongelea zinaleta uvivu ni waste of money aijwahi tokea Tanzania.

Huyo Bashe wamtoe hapo Kilimo na kumtafutia wizara nyingine.
 
Mie niliposikia eti katika kila eneo akitoa mfano wa shamba hector 30000.

Vijana wanachukua hector 10000
Halafu mwekezaji mkubwa anapewa hector 20000

Condition ya mwekezaji mkubwa ni lazima kununua mavuno yatakayopatikana kwenye hizo hekari 10000 za vijana.

Halafu maeneo mengine wamepanga kulima zabibu; sasa unless huyo mkulima mkubwa biashara ya kutengeneza juice ya zabibu au wine sioni mantiki ya yeye kutaka kununua zabibu zote hizo.

Kawaida wenye uwezo huo huwa ni makampuni, mfano ‘Starbucks’ ata kama sio kwa jina lao directly wanaweza kuwa na wakala anaelima ‘Coffee Arabica’ na kuwa na uwezo wa kununua kiasi kikubwa kwa wakulima wadogo wa maeneo hayo, kuwasaidia mbinu za kupata mavuno mazuri. Kama ilivyo Mfindi kwa wakulima wa chai na Unilever, Babati na TBL kwa wakulima wa burley; etc.

Lakini mkulima ambae hana soko maalum kubwa kumtwika huo mzigo ni wazimu halafu mazao yenyewe sio nafaka ambayo watanzania wanahitaji.

Nimewahi kusikia mipango mingi ya ovyo Tanzania lakini huu, I am sorry to say kwa atakae kwazika tuna watu wajinga mno serikalini how on earth watu walioenda shule waliweza pitisha mradi kama huu wenye kasoro zaidi ya 700.
Toa au shauri wa kwako unaofaa waufuate, sio kupinga mikono mitupu
 
Toa au shauri wa kwako unaofaa waufuate, sio kupinga mikono mitupu
Kilimo chenye tija kitaletwa na wakulima wakubwa, viwanda vyenye kuhitaji malighafi za shambani.

Kwenye kilimo kuna sera nzuri sana za uwekezaji mkubwa hasa kwenye capital allowances, hizo hela wangewapa serious farmers wenye huo uwezo kama mkopo wafanye wenyewe.

Serikali itumie sehemu nyingine ya hizo hela kuwekeza kwenye viwanda ambavyo vipo tayari kutumia malighafi za shambani na kutengeneza access za kufikia bidhaa za mashambani.

Ni wakati wa kufikiria industrialisation sasa kama mkombozi wa ajira sio kilimo miaka nenda miaka rudi. Kiwanda kikubwa kinaajiri manager, mhasibu, operation manager, HR, mechanical engineer, dereva wa ma lorry na vans, kinanunua mazao kwa mkulima, kina nunua vifungashio kutoka kwenye biashara nyingine, na kina ajiri production worker luluki.

From that wasomi na wasio wanapata ajira na kutengeneza value chain kubwa ya supporting industries ambazo na zenyewe zitatengeneza ajira; lakini kilimo cha community won’t work na inatosha sasa serikali kufikiria kilimo ni muda wa viwanda.
 
Mie niliposikia eti katika kila eneo akitolea mfano wa shamba la hector 30000.

Vijana wanachukua labda hector 10000. Halafu mwekezaji mkubwa anapewa hector 20000.

Condition ya mwekezaji mkubwa ni lazima kununua mavuno yatakayopatikana kwenye hizo hekari 10000 za vijana.

Halafu maeneo mengine wamepanga kulima zabibu; sasa unless huyo mkulima mkubwa biashara ana ya kutengeneza juice ya zabibu au wine sioni mantiki ya yeye kutaka kununua zabibu zote hizo.

Kumbuka zabibu ni perishable good inayotakiwa kutumika haraka baada ya mavuno. Kwa ivyo zisipo nunuliwa in time zinaharibika.

Kawaida wenye uwezo huo huwa ni makampuni, mfano ‘Starbucks’ hiyo ni sehemu ya operation strategy yao duniani ata kama sio kwa jina lao directly wanaweza kuwa na wakala anaelima ‘Coffee Arabica’ na kuwa na uwezo wa kununua kiasi kikubwa kwa wakulima wadogo wa maeneo hayo. Nayeye anajukumu la kuwasaidia mbinu za kupata mavuno mazuri wakulima wadogo.

Kama ilivyo Mfindi kwa wakulima wa chai na Unilever, Babati na TBL kwa wakulima wa burley; etc.

Lakini mkulima ambae hana soko maalum kubwa kumtwika huo mzigo ni wazimu halafu mazao yenyewe sio nafaka ambayo watanzania wanahitaji.

Nimewahi kusikia mipango mingi ya ovyo Tanzania lakini huu, I am sorry to say kwa atakae kwazika nitakachoandika tuna watu wajinga mno serikalini how on earth watu walioenda shule waliweza pitisha mradi kama huu wenye kasoro zaidi ya 700 ambazo ata kuziongelea zinaleta uvivu ni waste of money aijwahi tokea Tanzania.

Huyo Bashe wamtoe hapo Kilimo na kumtafutia wizara nyingine.
Nilimsikia kuwa watawekeza kujenga kiwanda kikubwa cha kusindika zabibu na watamkodishia mwekezaji.

Binafsi naona huu mradi umekufa kabla ya kuanza

Serikali ingegawa mbegu na mbolea bure au kwa kukopesha watu, kuliko kupeleka watu wakalime mazao ambayo serikali inayataka.

Pale wengi wameenda ili baadae wauze hizo Eka 10 walizopewa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nilimsikia kuwa watawekeza kujenga kiwanda kikubwa cha kusindika zabibu na watamkodishia mwekezaji.

Binafsi naona huu mradi umekufa kabla ya kuanza

Serikali ingegawa mbegu na mbolea bure au kwa kukopesha watu, kuliko kupeleka watu wakalime mazao ambayo serikali inayataka.

Pale wengi wameenda ili baadae wauze hizo Eka 10 walizopewa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ndio Shida ya Bashe anaona vitu sehemu without understanding the nitty gritty operation za wenzake.

Duniani asilimia kubwa ya watengeneza wines ni mashamba ya zabibu na ni seasonal operational ata kwa famous brands, wana masoko yao na nchi nyingi wanapata ruzuku za serikali kwa sababu a lot of farmers zabibu zao uishia kwenda kwenye animal feeds; baada ya kutumia kutengeneza mvinyo.

Kama ni kiwanda cha juice then inabidi uwe na mkakati wa operation strategy ya kupata zabibu ya aina unayotumia from places ambazo zinapishana harvest. Hizi ndio sababu utakuta Starbucks ina mawakala all over the equator regions duniani ambapo Coffee Arabica inaweza limwa na kuvunwa kwa nyakati tofauti kuhakikisha wana inventory mwaka mzima.

I don’t want to sound like the ‘prophet of doom’ but this BBT wasn’t thoroughly planned and such approaches its results are obvious from the start; it’s waste of taxpayers money.
 
Toa au shauri wa kwako unaofaa waufuate, sio kupinga mikono mitupu
1. Waimarishe upatikanaji wa pembejeo za bei nafuu siyo hii hadaa ya Ruzuku mkulima anafuata mbolea km 200 anaenda kulala huko week akisubiria mifuko mitatu.

2. Waboreshe barabara za vijiji na miji midogo ili kurahisisha upatikanaji wa pembejeo na usafirshaji wa mazao.

3. Tuanze mikakati wa kutumia maji ya ziwa Victoria na Tanganyika( kama hayana Chumvi) kwenye kilimo cha umwagiliaji hasa kwa kanda ya ziwa ambayo inaathirika na ukame muda mrefu.

4. Uanzishwe mkakati madhubuti wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ili kudhibiti hali ya ukame.

5. NIC ianzishe mfuko wa bima ya mazao ili kudhibiti majanga kwa wakulima tunaweza kuanza na mazao ya biashara.

6. Tanzania inaweza kuwa hub ya matunda duniani tuelekeze mikakati kwenye kilimo cha matunda na kutafuta soko la nje.

8. Tuimarishe masoko ya mazao ya biashara ambayo ni kama yote sasa yameyumba.

9. Tuondoe kodi kwenye zana za kilimo pamoja na viuatilifu ili kuvutia uwekezaji.

10. Tuanze mkakati wa kuzalisha mbolea na mbegu bora nchini zitakazoweza kujitosheleza kwa wakulima.


11. Tuendelee kuweka mazingira bora yatakayovutia uwekezaji kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo.

12. Wakulima wengi wanashindwa kuendelea kwa sababu kilimo chao hakijaunganishwa na soko hivyo kilimo kuunganishwa na soko utakuwa mwarobaini wake.

13. Taasisi za kifedha hazikioni kilimo kama collateral hivyo tuboreshe sera za kifedha kuweza kufanya kilimo kuvutia uwekezaji kutoka taasisi za kifedha, mathalani mazao ya kilimo tiriri kutumika kama collateral, biashara ya mazao ya kilimo kufanyika kupitia taasisi za kibenki hapa tutakuwa tumeingiza kundi kubwa sana kwenye taasisi za kifedha.

14. Tufufue mazao ya biashara ambayo yalikuwa yanaingiza fedha nyingi kwa wakulima kuliko mazao ya chakula.

15. Ataongezea EMT.

NB: kilimo chetu hakiwezi kuwa cha tija kwa kusanya vijana kwenda kambi dodoma. Otherwise BBT ni mradi wa kuibia nchi na kupotezeana muda.
 
1. Waimarishe upatikanaji wa pembejeo za bei nafuu siyo hii hadaa ya Ruzuku mkulima anafuata mbolea km 200 anaenda kulala huko week akisubiria mifuko mitatu.

2. Waboreshe barabara za vijiji na miji midogo ili kurahisisha upatikanaji wa pembejeo na usafirshaji wa mazao.

3. Tuanze mikakati wa kutumia maji ya ziwa Victoria na Tanganyika( kama hayana Chumvi) kwenye kilimo cha umwagiliaji hasa kwa kanda ya ziwa ambayo inaathirika na ukame muda mrefu.

4. Uanzishwe mkakati madhubuti wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ili kudhibiti hali ya ukame.

5. NIC ianzishe mfuko wa bima ya mazao ili kudhibiti majanga kwa wakulima tunaweza kuanza na mazao ya biashara.

6. Tanzania inaweza kuwa hub ya matunda duniani tuelekeze mikakati kwenye kilimo cha matunda na kutafuta soko la nje.

8. Tuimarishe masoko ya mazao ya biashara ambayo ni kama yote sasa yameyumba.

9. Tuondoe kodi kwenye zana za kilimo pamoja na viuatilifu ili kuvutia uwekezaji.

10. Tuanze mkakati wa kuzalisha mbolea na mbegu bora nchini zitakazoweza kujitosheleza kwa wakulima.


11. Tuendelee kuweka mazingira bora yatakayovutia uwekezaji kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo.

12. Wakulima wengi wanashindwa kuendelea kwa sababu kilimo chao hakijaunganishwa na soko hivyo kilimo kuunganishwa na soko utakuwa mwarobaini wake.

13. Taasisi za kifedha hazikioni kilimo kama collateral hivyo tuboreshe sera za kifedha kuweza kufanya kilimo kuvutia uwekezaji kutoka taasisi za kifedha, mathalani mazao ya kilimo tiriri kutumika kama collateral, biashara ya mazao ya kilimo kufanyika kupitia taasisi za kibenki hapa tutakuwa tumeingiza kundi kubwa sana kwenye taasisi za kifedha.

14. Tufufue mazao ya biashara ambayo yalikuwa yanaingiza fedha nyingi kwa wakulima kuliko mazao ya chakula.

15. Ataongezea EMT.

NB: kilimo chetu hakiwezi kuwa cha tija kwa kusanya vijana kwenda kambi dodoma. Otherwise BBT ni mradi wa kuibia nchi na kupotezeana muda.
15 (a) Kuweka mbinu za kimkakati zitakazofanya vijana wapende na wakimbilie kulima badala ya kukimbilia mjini kutafuya ajira.

(b)pia uwepo mkakati wa kufanya kilimo iwe sekta inayokimbiliwa kama ubunge. Yaani ubunge iwe kazi ya wito kama walimu, watu wapigane kukimbilia kilimo, ardhi Tz ipo ya kutosha.
 
Bashe ni mtu wa maneno, nilirudi bongo kuwekeza hasa kwenye kilimo, mbolea imekua shida pamoja na uzibduzi wote ile waliofanya mwaka jana akiwa na raisi kule mbeya

Bashe maneno mengi nimekuja kumgundua kwenye deliverance yuko nyuma mno, anaweka viterm vyake vya uongo na kweli unaweza kusema ni akili kubwa kumbe kichwani hamna kitu
 
15 (a) Kuweka mbinu za kimkakati zitakazofanya vijana wapende na wakimbilie kulima badala ya kukimbilia mjini kutafuya ajira.

(b)pia uwepo mkakati wa kufanya kilimo iwe sekta inayokimbiliwa kama ubunge. Yaani ubunge iwe kazi ya wito kama walimu, watu wapigane kukimbilia kilimo, ardhi Tz ipo ya kutosha.
Kilimo kikianza kutoa hela kuliko betting watu watakimbilia tu.

Uhovyo wa kilimo chetu ni ile unpredictability of production wakati huo hakuna measures za kumnasua mkulima na majanga.

Maana yake uwekezaji wake ni kama kwenda kuvua samaki kwa mikono kwenye dimbwi lenye samaki na vyura, it is either uibuke na samaki au Chura.

Hatuwezi kutoka kwenye kilimo kwa namna anayoifikiria Bashe never.
 
Back
Top Bottom