Huyu mama katoa mawaziri wote wakiristo lakini wote waliokuwa waslam hajatumbua hata mmoja!
Bejamini Netanyahu said:Bashe kinachomsaidia ni udini na mfumo ovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bejamini Netanyahu said:Bashe kinachomsaidia ni udini na mfumo ovu
Tatizo mnasoma vichwa vya habari na kuja kumimbilia kujibu ujinga,soma kifungu baada ya kichwa cha habari....kazungumzia Wakulima kindaki ndaki wapo vijijini huo mpango ni wa kupigia picha tu.Ulitaka afanyaje hebu tupe mfano mwingine
Watu wanafata historia,historia yako ndo inaonyesha kwamba Miradi unayotaka kuifanya nyuma kuna ambayo ilishafanikiwa au lah!!!!,Piki piki zilipelekwa ila hakuna kinachozalishwa huko, wanatumia kupakia na tu kwenda sehemu za starehe mana wanaiba na mbolea pia wanapiga hela.Kwa hiyo bloangu pikipiki za maafisa ugani zimekuuma sana hadi umezitaja kwenye uzi wako sio?
Kwa hiyo maafisa ugani wote ni walevi,wanakwenda sehemu za starehe na ni wezi wa mbolea?Watu wanafata historia,historia yako ndo inaonyesha kwamba Miradi unayotaka kuifanya nyuma kuna ambayo ilishafanikiwa au lah!!!!,Piki piki zilipelekwa ila hakuna kinachozalishwa huko, wanatumia kupakia na tu kwenda sehemu za starehe mana wanaiba na mbolea pia wanapiga hela.
Kilimo hakitafanikiwa mana tangu achukue atamu mvua hakuna.Kwa hiyo maafisa ugani wote ni walevi,wanakwenda sehemu za starehe na ni wezi wa mbolea?
Punguzeni makasiriko majobless,changamkieni fursa hzo zilizoletwa na Serikali mkalime muinuke kiuchumi.
Mkiwa vizuri mifukoni mtapunguza chuki na husda za ukosefu wa ajira.
Hii nchi ilivyo ya ajabu usikute mwenye shamba ndiyo Bashe mwenyewe hao vijana ni vibarua tu.
Bashe full interview, kuhusu BBT
Nilikuwa naangalia sana, kati ya zile kampuni kweli Amna ya kisomali pale na ya waarabu pale na wachina ?Jana tarehe 20 March 2023, Rais alifungua mradi wa mashamba ya pamoja, Mradi wa Kilimo wa Vijana. Sijui kama Waziri ana lengo zuri au ni kulifanya jina lake lisikike kila wakati mbele ya Rais kwa kujitambulisha kama mchapakazi. Kama ni mpango wa Wizara, basi ni muendelezo wa udanganyifu ulioanzia mambo ya Kilimo kwanza.
Wakulima wa nchi hii, zaidi ya 70%, wako vijijini. Huu ni upigaji wa wazi kabisa kuwashawishi vijana kwa kuwapa mashamba kama kambi ya JKT, ili washawishi wengine kuhusu kilimo. Hii ni hasara kwa wakulima. Waziri alianza na pikipiki za maafisa ugani ambazo hazionekani zilikwenda wapi na bado hazijaulizwa! Sasa amekuja na hili ambalo halimo hata kwenye mpango mkakati wa pili wa kuendeleza kilimo wa Wizara, ASDP II.
Huu ni upigaji wa wazi kabisa!
Sasa kwa upungufu huu wa mvua unawalaumu vp maafisa ugani ambapo miongoni mwao wachapakazi pia wapo?Kilimo hakitafanikiwa mana tangu achukue atamu mvua hakuna.
Mie niliposikia eti katika kila eneo akitolea mfano wa shamba la hector 30000.
Vijana wanachukua labda hector 10000. Halafu mwekezaji mkubwa anapewa hector 20000.
Condition ya mwekezaji mkubwa ni lazima kununua mavuno yatakayopatikana kwenye hizo hekari 10000 za vijana.
Halafu maeneo mengine wamepanga kulima zabibu; sasa unless huyo mkulima mkubwa na yeye ana biashara nyingine ya kutengeneza juice ya zabibu au wine sioni mantiki ya yeye kutaka kununua zabibu zote hizo.
Kumbuka zabibu ni perishable good inayotakiwa kutumika haraka baada ya mavuno. Kwa ivyo zisipo nunuliwa in time zinaharibika.
Kawaida wenye uwezo huo huwa ni makampuni, mfano ‘Starbucks’ hiyo ni sehemu ya operation strategy yao duniani ata kama sio kwa jina lao directly wanaweza kuwa na wakala anaelima ‘Coffee Arabica’ na kuwa na uwezo wa kununua kiasi kikubwa kwa wakulima wadogo wa maeneo hayo. Huyo wakala anajukumu la kuwasaidia mbinu za kupata mavuno mazuri wakulima wadogo.
Kama ilivyo Mfindi kwa wakulima wa chai na Unilever, Babati na TBL kwa wakulima wa burley, Cadbury Chocolate na cocoa ya Ghana; etc. Mara nyingi ukiona hivyo elewa kuna conglomerates nyuma ya hiko kilimo.
Lakini mkulima ambae hana soko maalum kubwa kumtwika huo mzigo ni wazimu halafu mazao yenyewe sio nafaka ambayo watanzania wanahitaji.
Nimewahi kusikia mipango mingi ya ovyo Tanzania lakini huu, I am sorry to say kwa atakae kwazika nitakachoandika tuna watu wajinga mno serikalini how on earth watu walioenda shule waliweza pitisha mradi kama huu wenye kasoro zaidi ya 700 ambazo ata kuziongelea zinaleta uvivu ni waste of money aijwahi tokea Tanzania.
Huyo Bashe wamtoe hapo Kilimo na kumtafutia wizara nyingine.
Wafanye upesi Sana kumtoa kabla hasara yake ijaonekana Ni mjinga hate kwa kumuangalia jins anavyo ongea unapata waswasi kuwa Ni tapeli mnoMie niliposikia eti katika kila eneo akitolea mfano wa shamba la hector 30000.
Vijana wanachukua labda hector 10000. Halafu mwekezaji mkubwa anapewa hector 20000.
Condition ya mwekezaji mkubwa ni lazima kununua mavuno yatakayopatikana kwenye hizo hekari 10000 za vijana.
Halafu maeneo mengine wamepanga kulima zabibu; sasa unless huyo mkulima mkubwa na yeye ana biashara nyingine ya kutengeneza juice ya zabibu au wine sioni mantiki ya yeye kutaka kununua zabibu zote hizo.
Kumbuka zabibu ni perishable good inayotakiwa kutumika haraka baada ya mavuno. Kwa ivyo zisipo nunuliwa in time zinaharibika.
Kawaida wenye uwezo huo huwa ni makampuni, mfano ‘Starbucks’ hiyo ni sehemu ya operation strategy yao duniani ata kama sio kwa jina lao directly wanaweza kuwa na wakala anaelima ‘Coffee Arabica’ na kuwa na uwezo wa kununua kiasi kikubwa kwa wakulima wadogo wa maeneo hayo. Huyo wakala anajukumu la kuwasaidia mbinu za kupata mavuno mazuri wakulima wadogo.
Kama ilivyo Mfindi kwa wakulima wa chai na Unilever, Babati na TBL kwa wakulima wa burley, Cadbury Chocolate na cocoa ya Ghana; etc. Mara nyingi ukiona hivyo elewa kuna conglomerates nyuma ya hiko kilimo.
Lakini mkulima ambae hana soko maalum kubwa kumtwika huo mzigo ni wazimu halafu mazao yenyewe sio nafaka ambayo watanzania wanahitaji.
Nimewahi kusikia mipango mingi ya ovyo Tanzania lakini huu, I am sorry to say kwa atakae kwazika nitakachoandika tuna watu wajinga mno serikalini how on earth watu walioenda shule waliweza pitisha mradi kama huu wenye kasoro zaidi ya 700 ambazo ata kuziongelea zinaleta uvivu ni waste of money aijwahi tokea Tanzania.
Huyo Bashe wamtoe hapo Kilimo na kumtafutia wizara nyingine.
Mzee tunazungumzia miradi hii hewa ya hao maofisa wenu wanayopigia hela.Sasa kwa upungufu huu wa mvua unawalaumu vp maafisa ugani ambapo miongoni mwao wachapakazi pia wapo?
Tafuta hela uje nunua hayo mashamba maana watayauzaAkili zao zinawatosha wenyewe huo mzabibu wenyewe hadi kuota na kuanza kutoa matunda ni kati ya miaka 3-5 sasa sijui muda huo hao vijana wanakula nini au ndio wanakopea mi zabibu (kangomba) that’s high risk lending kutokana na soko la zabibu na mkulima hana crop nyingine ambayo ina demand kubwa.
Maintenance ya shamba lenyewe la zabibu sidhani kama ni shughuli ya mtu mmoja, miti yake tu huwa sio stable inahitaji support, kuna swala la weed; huyo kijana lazima ata hitaji vibarua kusaidia upkeep ya shamba la hector 10.
Baada ya kuangaika kwa miaka 3-5, halafu soko sio guarantee.
Only in Tanzania.
Anyway huo ulioanza jana nadhani pilot scheme, labda kuna mikakati zaidi ambayo atuelewi so tuwape muda.
Kama unawajua si uwaweke wazi kuliko kubwabwaja humu kwa makasiriko yasiyo na msingi?Mzee tunazungumzia miradi hii hewa ya hao maofisa wenu wanayopigia hela.
Mwambie Serikali imenunua na kugawa magari ya Usimamizi Kwa wahandisi wapya wa umwagiliaji apart from kuwaajiri..Kwa hiyo bloangu pikipiki za maafisa ugani zimekuuma sana hadi umezitaja kwenye uzi wako sio?