KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Omba basi wakuteue utende miujizaKilimo kikianza kutoa hela kuliko betting watu watakimbilia tu.
Uhovyo wa kilimo chetu ni ile unpredictability of production wakati huo hakuna measures za kumnasua mkulima na majanga.
Maana yake uwekezaji wake ni kama kwenda kuvua samaki kwa mikono kwenye dimbwi lenye samaki na vyura, it is either uibuke na samaki au Chura.
Hatuwezi kutoka kwenye kilimo kwa namna anayoifikiria Bashe never.
Ni waziri ambaye ameua kilimo kabisa kazi yake ni kupiga kelele tuJana tarehe 20 March 2023, Rais alifungua mradi wa mashamba ya pamoja, Mradi wa Kilimo wa Vijana. Sijui kama Waziri ana lengo zuri au ni kulifanya jina lake lisikike kila wakati mbele ya Rais kwa kujitambulisha kama mchapakazi. Kama ni mpango wa Wizara, basi ni muendelezo wa udanganyifu ulioanzia mambo ya Kilimo kwanza.
Wakulima wa nchi hii, zaidi ya 70%, wako vijijini. Huu ni upigaji wa wazi kabisa kuwashawishi vijana kwa kuwapa mashamba kama kambi ya JKT, ili washawishi wengine kuhusu kilimo. Hii ni hasara kwa wakulima. Waziri alianza na pikipiki za maafisa ugani ambazo hazionekani zilikwenda wapi na bado hazijaulizwa! Sasa amekuja na hili ambalo halimo hata kwenye mpango mkakati wa pili wa kuendeleza kilimo wa Wizara, ASDP II.
Huu ni upigaji wa wazi kabisa!
Umesahau kusema kote umo pesa zinatafunwa sio kwamba bure bure ni pesa za Kodi zinatumikaNi mwendo wa kuzindua tu, kabla hili halijafika popote wanafanya hafla ya kuzindua lingine, Ni hafla za uzinduzi kwa kwenda mbele. Ikitoka hafla inafata warsha inafata semina , afu tunarudi Tena kwenye hafla. Kukagua kwamba hili limefikia wapi hamna.
Kuna mbunge alimpinga bungeni huwezi ukaenda kumchukua kijana amesomea udaktari unamwambia eti kwa kua haujapata kuajiriwa Basi akalime au kijana kasoma Tehama unamwambia kwa kua haujapata kuajiriwa twende ukalime ingawa KILIMO kinalipaNi waziri ambaye ameua kilimo kabisa kazi yake ni kupiga kelele tu
Mkuu vipi na huko Norway, kuna upuzi na utopolo kama huu?Nguvu kubwa imewekwa nje ya kilimo chenyewe. Bahati mbaya raisi sio mjuzi sana na wala hana tatizo na Hilo
Wizara imenunua Land cruiser za kutosha kwa ajili ya block farming, inashangaza sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] "It is very danger".Yule jamaa msanii sana!Bashe maneno mengi nimekuja kumgundua kwenye deliverance yuko nyuma mno, anaweka viterm vyake vya uongo na kweli unaweza kusema ni akili kubwa kumbe kichwani hamna kitu
Eti Kilimo kibadilishwe na kundi la vijana mia nane tu ambao hawana hata background ya kilimo.Inanibidi kujiuliza sana na hizi hatua wanazochukua hawa viongozi hii tabia ya kujiuza kama bidhaa huko nje. Bidhaa bora, ambayo kwa kila kigezo Tanzania ni bidhaa bora kabisa kati ya mataifa mengi duniani; kwa nini ijifanye kuwa bidhaa hafifu kiasi hiki cha kujitembeza kama malaya kila sehemu.
Hawa viongozi kama siyo kuwadharau na kuwaona wanachi wao kuwa chini ya viwango vya watu wengine duniani, kwa nini hawana imani na uwezo wa hawa waTanzania kuleta maendeleo ndani ya nchi hii?
Mpango huu wa mashamba, kwa mfano, kuna nchi yoyote duniani iliyowahi kuutumia kama model ya kuleta maendeleo, au ni mpango tu umebuniwa na kufanyiwa majaribio kwa Tanzania?
Ni nchi gani duniani ilileta mageuzi makubwa kwa kutegemea wawekezaji toka huko nje, huku wananchi wake wakiambulia makombo na hisani za hao wanaoitwa wawekezaji?
Mwigulu na wenzake wote, na hasa huyo mama anapashwa kutumia muda wake mwingi kufanya kazi na waTanzania, hapa hapa, na hasa huko vijijini kuliko kwenda kujitembeza kama malaya huko nje.
Wananchi wetu ndio wanaohitaji mazingira mazuri ya kuwezesha juhudi zao kuzaa matunda, siyo kwenda kutafuta watu watakaotuletea matatizo zaidi na kututawala nyumbani kwetu wenyewe. Mazingira ya kuwavutia hao wawekezaji ni mabadiliko yatakayoletwa na juhudi za waTanzania kwa kazi zao wanzozifanya.
Wachina hawakusubiri au kwenda kujitembeza kutafuta wawekezaji. Wawekezaji walipigana vikumbo wenyewe kwenda China walikuoona kuna kazi na na mazingira mazuri yaliyowahusu wananchi wa huko.
Hawa viongozi wana tabia za kitwana sana, na wanaifanya nchi hii iwe kama ya watwana.
Ulishaona uteuzi unafanyika kwa maombi ? Au nyege zimekujaa kichwani ?Omba basi wakuteue utende miujiza
Si unaona kazi rahisiUlishaona uteuzi unafanyika kwa maombi ? Au nyege zimekujaa kichwani ?
Sikia wataalamu wa Bashe kwenye kuandaa BBT project!Jana tarehe 20 March 2023, Rais alifungua mradi wa mashamba ya pamoja, Mradi wa Kilimo wa Vijana. Sijui kama Waziri ana lengo zuri au ni kulifanya jina lake lisikike kila wakati mbele ya Rais kwa kujitambulisha kama mchapakazi. Kama ni mpango wa Wizara, basi ni muendelezo wa udanganyifu ulioanzia mambo ya Kilimo kwanza.
Wakulima wa nchi hii, zaidi ya 70%, wako vijijini. Huu ni upigaji wa wazi kabisa kuwashawishi vijana kwa kuwapa mashamba kama kambi ya JKT, ili washawishi wengine kuhusu kilimo. Hii ni hasara kwa wakulima. Waziri alianza na pikipiki za maafisa ugani ambazo hazionekani zilikwenda wapi na bado hazijaulizwa! Sasa amekuja na hili ambalo halimo hata kwenye mpango mkakati wa pili wa kuendeleza kilimo wa Wizara, ASDP II.
Huu ni upigaji wa wazi kabisa!
Sikia wataalamu wa Bashe kwenye kuandaa BBT project!View attachment 2563647
Hawa ndio vijana wakulima tutakaowategemea Tanzania?Sikia wataalamu wa Bashe kwenye kuandaa BBT project!View attachment 2563647
'Mayor', unaweza kuua bila kukusudia. Nimecheka sana hadi machozi yakanitoka.View attachment 2563662
Mwangalie huyo dada mwenye t-shirt ya njano, wapembeni yake mwenye kilemba na dada mwingine nae kavaa kilemba cha njano upande wa pili na miwani.
Kwa muonekano wao tu hao ni watu wakulima shamba la hector 10 peke yao. Sampuli hiyo imejaa kibao, yupo mmoja nimemuona kwenye video wakati wanawasili kwenye mafunzo ata kuburuza begi lake mwenyewe aliloenda nalo kasheshe ndio akalime heka 10.
Kwa uhakika kabisa naamini Rais anajua uchizi anaofanya Bashe, tatizo tunaendesha nchi kwa ushirika na urafiki. Huwezi kuruhusu Bashe aendeshe Wizara kwa ubinifu ambao haujapitishwa kitaifa, halafu unaancha taarifa rasmi ya kitaifa inayoeleza jinsi ya kuinua kilimo nchini. Halafu anatum,ia pesa kununua pikipiki na magari bila hata faida ya maana.Bajeti ya wizara ya kilimo alisema imeongezwa Mara 3 ya mwanzo hadi kufikia bil 750, hebu sema nini kimebadilika hadi sasa?
Hilo pekee lingeleta transformation kubwa sana kwenye kilimo.Serikali iache blah blah ,kwanini wasiandae mashamba + mfumo wa kuwajengea kilimo cha umwagiliaji(irrigation schemes)kwa kila vijiji
Na huko wawepo mabwana shamba
Ova
Nchi zetu hizi viongozi hawapangi mambo kwa manufaa ya taifa au wananchi. Kila waziri anahakikisha anafaidika na wizara aliyopo, hata kama akiondolewa anakua amefaidika yeye binafsi. Ni wengi wa aina ya Bashe. Hata ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato waziri anaendesha biashara zake za kokoto.Mie niliposikia eti katika kila eneo akitolea mfano wa shamba la hector 30000.
Vijana wanachukua labda hector 10000. Halafu mwekezaji mkubwa anapewa hector 20000.
Condition ya mwekezaji mkubwa ni lazima kununua mavuno yatakayopatikana kwenye hizo hekari 10000 za vijana.
Halafu maeneo mengine wamepanga kulima zabibu; sasa unless huyo mkulima mkubwa na yeye ana biashara nyingine ya kutengeneza juice ya zabibu au wine sioni mantiki ya yeye kutaka kununua zabibu zote hizo.
Kumbuka zabibu ni perishable good inayotakiwa kutumika haraka baada ya mavuno. Kwa ivyo zisipo nunuliwa in time zinaharibika.
Kawaida wenye uwezo huo huwa ni makampuni, mfano ‘Starbucks’ hiyo ni sehemu ya operation strategy yao duniani ata kama sio kwa jina lao directly wanaweza kuwa na wakala anaelima ‘Coffee Arabica’ na kuwa na uwezo wa kununua kiasi kikubwa kwa wakulima wadogo wa maeneo hayo. Huyo wakala anajukumu la kuwasaidia mbinu za kupata mavuno mazuri wakulima wadogo.
Kama ilivyo Mfindi kwa wakulima wa chai na Unilever, Babati na TBL kwa wakulima wa burley, Cadbury Chocolate na cocoa ya Ghana; etc. Mara nyingi ukiona hivyo elewa kuna conglomerates nyuma ya hiko kilimo.
Lakini mkulima ambae hana soko maalum kubwa kumtwika huo mzigo ni wazimu halafu mazao yenyewe sio nafaka ambayo watanzania wanahitaji.
Nimewahi kusikia mipango mingi ya ovyo Tanzania lakini huu, I am sorry to say kwa atakae kwazika nitakachoandika tuna watu wajinga mno serikalini how on earth watu walioenda shule waliweza pitisha mradi kama huu wenye kasoro zaidi ya 700 ambazo ata kuziongelea zinaleta uvivu ni waste of money aijwahi tokea Tanzania.
Huyo Bashe wamtoe hapo Kilimo na kumtafutia wizara nyingine.