Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe ni m-Tanzania wa kujiandikisha. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.

Bashe ana mipango mingi sana ambayo anataka avifanye kwa pamoja kitu ambacho kitamuangusha vibaya,huku alizeti,huku vijana, huku ngano,huku ku control soko,huku umwagiliaji vyote hivi wengi hawakuvipata kwa miaka michache walianza kimoja kimoja. Wakulima wa kweli sio sisi wa mitandaoni hawa vijana wanaomaliza SUA wangekuwa wanawezeshwa kwa kuwekwa pamoja na wakulima wakongwe basi wangesaidia sana then wajenge mabwawa mengi kwa ajili ya umwagiliaji then waone mambo yanaendaje kwa miaka miwili. Hii ya kuwafindisha vijana ukulima ambao wengi wameenda kwasababu ya kukosa ajira tu sio passion yao.b
 
Bashe ana mipango mingi sana ambayo anataka avifanye kwa pamoja kitu ambacho kitamuangusha vibaya,huku alizeti,huku vijana, huku ngano,huku ku control soko,huku umwagiliaji vyote hivi wengi hawakuvipata kwa miaka michache walianza kimoja kimoja. Wakulima wa kweli sio sisi wa mitandaoni hawa vijana wanaomaliza SUA wangekuwa wanawezeshwa kwa kuwekwa pamoja na wakulima wakongwe basi wangesaidia sana then wajenge mabwawa mengi kwa ajili ya umwagiliaji then waone mambo yanaendaje kwa miaka miwili. Hii ya kuwafindisha vijana ukulima ambao wengi wameenda kwasababu ya kukosa ajira tu sio passion yao.b
Kwani unadhani ana mipango? Huyo mpigaji tu! Angalia vituko vyote anavyofanya, vinahusisha pesa nyingi. Aliamua kununua pikipiki kwa maafisa nchi nzima. Tangu lini pikipiki ikaleta mapinduzi ya kilimo? Kwa nini asingewapa matrekta wakulima?

Pikipiki zilishakuwepo miaka mingi iliyopita na zingine bado wanazo maofisini; Trail 90 na 110. Je, zilisaidia kilimo?

Naamini huyu Bashe na rais, lao moja. Waziri anatengeneza pesa zinatumika kwa mambo yao binafsi. Hakuna rais anayeweza kukubali ujinga kama huu unaoendelea ktk kilimo. Waziri anaacha mpango mkakati wa wizara, uliopitishwa na serikali, anafanya ya kwake na rais anashiriki kumshangilia, eti wanaoneshana pikipiki inavyozuiliwa kwa mtandao isiwake nje ya eneo la mfanyakazi. Hicho ndo kilimo?
 
Back
Top Bottom