Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Uwekezaji wa nini sasa? Zungumzia kilimo cha TZ. Bragging za niko Canada won't sell an inch of ideas among the mentally able people. Most braggarts are looser.
Naona hatupo level moja ya kufikiria, nilishawekeza sana knye kilimo Tanzania kikanifilisi kwa sababu nilizozitaja huko nyuma, 1. soko, nilishavuna mahindi gunia 2600 mipaka ikafungwa tukauza kwa sh 12,000 gunia mwaka 2015 upumbavu mkubwa sana uliowahi kufanywa na serikali na ndo humu wengi wanataka bei ndogo ya mazao bila kumwangalia mzalishaji katumia gharama kiasi gani, ndo maana nafurahia sana sera za Bashe na serikali awamu ya sita, niliwekeza kwa kilimo cha kuomba mvua za mungu bahati nilifanikiwa kupata, lakini now wanahamia knye uhakika wa umwagiliaji which is extremely fantastic good, naweza nikarudi kuwekeza kwa sababu naona future na fursa japo kwa tahadhari sana . huku ni uhakika ukiwa na mtaji kupata faida sysytem ipo vizuri sana na very supportive
 
Naona hatupo level moja ya kufikiria, nilishawekeza sana knye kilimo Tanzania kikanifilisi kwa sababu nilizozitaja huko nyuma, 1. soko, nilishavuna mahindi gunia 2600 mipaka ikafungwa tukauza kwa sh 12,000 gunia mwaka 2015 upumbavu mkubwa sana uliowahi kufanywa na serikali na ndo humu wengi wanataka bei ndogo ya mazao bila kumwangalia mzalishaji katumia gharama kiasi gani, ndo maana nafurahia sana sera za Bashe na serikali awamu ya sita, niliwekeza kwa kilimo cha kuomba mvua za mungu bahati nilifanikiwa kupata, lakini now wanahamia knye uhakika wa umwagiliaji which is extremely fantastic good, naweza nikarudi kuwekeza kwa sababu naona future na fursa japo kwa tahadhari sana . huku ni uhakika ukiwa na mtaji kupata faida sysytem ipo vizuri sana na very supportive
Kwanza acha kusema sera ya Bashe na serikali ya awamu ya sita. Hakuna sera ya mtu ktk nchi hii. Kama maagizo unayaita ni sera, you are gone!

Yaonekana unahusudu theories! Hakuna 'fantastic' hapo! It is just another fallacy! Wewe ulipowekeza ulitegemea serikali ndo ikutengenezee miundo ya umwagiliaji? Halafu unajiita mwekezaji! Let's be responsible to our brain make. Unarudi ukiamini sasa utakuta umwagiliaji? That will be another failure of your own making.

Kabla ya kumsifu Bashe na hizio theories, jitahidi uelewe maana ya kilimo. Huyu anachokifanya ni kutafuta kila nafasi inayomruhusu kutumia pesa za serikali ili apate 10%, hilo tunalijua na anaachiwa tu kwa urafiki binfasi na aliyemteua. Ukisikia mtu anawaza kujenga mabwawa ya umwagiliaji dodoma bila hata kujua meteorology ya dodoma, huyo ni bonge ya bwege tu!

Yaani Bashe ajue kilimo kuliko waliokisomea, wanaojua udongo wa nchi hii ukoje, wanaojua vikwazo viko wapi, n.k. yeye elimu au uzoefu huo kapata wapi? Au huko kwenye internet? Mbona yeye anajenga vituo vya mafuta badala ya kilimo? Kama kweli unaishi Canada na vibarua vyako kwa miaka mingi na hadi sasa unawaza kwa mtindo huo ujue kuna tatizo kwako. Muhimu omba ushauri badala ya ubishi.
 
Kwanza acha kusema sera ya Bashe na serikali ya awamu ya sita. Hakuna sera ya mtu ktk nchi hii. Kama maagizo unayaita ni sera, you are gone!

Yaonekana unahusudu theories! Hakuna 'fantastic' hapo! It is just another fallacy! Wewe ulipowekeza ulitegemea serikali ndo ikutengenezee miundo ya umwagiliaji? Halafu unajiita mwekezaji! Let's be responsible to our brain make. Unarudi ukiamini sasa uitakuta umwagiliaji? That will be another failure of your own making.

Kabla ya kumsifu Bashe na hizio theories, jitahidi uelewe maana ya kilimo. Huyu anachokifanya ni kutafuta kila nafasi inayomruhusu kutumia pesa za serikali ili apate 10%, hilo tunalijua na anaachiwa tu kwa urafiki binfasi na aliyemteua. Ukisikia mtu anawaza kujenga mabwawa ya umwagiliaji dodoma bila hata kujua meteorology ya dodoma, huyo ni bonge ya bwege tu!

Yaani Bashe ajue kilimo kuliko waliokisomea, wanaojua udongo wa nchi hii ukoje, wanaojua vikwazo viko wapi, n.k. yeye elimu au uzoefu huo kapata wapi? Au huko kwenye internet? Mbona yeye anajenga vituo vya mafuta badala ya kilimo? Kama kweli umaishi Canada na vibarua vyako kwa miaka mingi na hadi sasa unawaza kwa mtindo huo ujue kuna tatizo kwako. Muhimu omba ushauri badala ya ubishi.
Kwanza kabisa naiita sera za bashe na awamu ya sita kwa sababu mawaziri wa kilimo wamepita wengi ila aliyekuja na suluhu ya kimatendo ni Bashe na bosi wake SSH kuridhia kumtengea hela ndp maana na SAMIA nampa credit kwenye hili la kilimo, bila uwekezaji mkubwa wa miundo mbinu ni mdomo mtupu.
1. Niliwekeza knye kilimo nikijua nitauza kokote kutokana na jiografia ya mahali nilipokuwa nalima, nimelima sana mahindi Songea na mpunga Katavi Usevya ( nililima kilimo kikubwa cha kutumia tractor 4 combine havester na planter 8 rows ) ninajua nichoongea sihadithiwi wala sitegemei vi theories vya knye tablets , i did field work with intensive capital kwa level ya kitanzania kikanipoteza kwa sababu hizo hizo ninazozielezea kilasiku humu.
Soko - TURUHUSU KUUUZA KOKOTE ZAMANI SERIKALI KILA MWAKA INAPANGA KIASI CHA KUUZA NJE WAKATI SISI WAKULIMA TULITAKA TUUZE TUNAKOTAKA KNYE SOKO ZURI, SUMMRI ALIPATA SOKO ZURI BUKAVU ALIKUWA NA GUNIA ZAIDI YA LAKI MOJA NA ALITUKUSANYA WAKULIMA WAKATI ZAIDI YA 50 WENYE GUNIA KUANZIA 1000 KUENDELEA HALAFU SERIKALI IKAFUNGA MIPAKA KAMA SIO KUFILISI WAKULIMA NI NINI KWA NINI NISIMUUNGE MKONO BASHE NA SSH?
2. WEWE NI BWEGE WA KIWANGO CHA MWISHO ULITAKA MKULIMA NDO ATENGENEZE SCHEME ZA UMWAGILIAJI? DUNIA NZIMA UMEWAHI KUKUTA MTU BINAFSI ANAJENGA SCHEME YA UMWAGILIAJI? NENDA SHULE KIDOGO KUPUNGUZA KUKARIRI , SCHEME YA DAKAWA MOROGORO AU CHITA umewahi kusikia watu wakilalamika hawavuni vizuri? tena ilitakiwa tu kuboresha wawe wanavuna mara mbili kwa mwaka .
3. Issue sio kama yeye ni mtaalamu wa kilimo au la shida je nani ana entreprenuer mindset? wapo wataalamu wengi majinga makubwa knye mawizara , narudia wapo wataalamu wengi majinga makubwa kabisa uwezo wao wa kufikiri ni mdogo wana elimu za kukarriri sio kuelewa na kuifanya elimu iwe ina provide solutions , mifano ipo mingi sana Nhemia chechu aliibadilisha NHC hana PHD kuliko yule Dr wa majengo alikaa pale kama bwege miaka 8 .
4. Mimi siwezi kuajiriwa nimekataa ajira miaka 13 iliyopita ninafanya biashara zangu duniani sio Canada Tu

Tujadili hoja za kilimo sio mtu
 
Kwanza kabisa naiita sera za bashe na awamu ya sita kwa sababu mawaziri wa kilimo wamepita wengi ila aliyekuja na suluhu ya kimatendo ni Bashe na bosi wake SSH kuridhia kumtengea hela ndp maana na SAMIA nampa credit kwenye hili la kilimo, bila uwekezaji mkubwa wa miundo mbinu ni mdomo mtupu.
1. Niliwekeza knye kilimo nikijua nitauza kokote kutokana na jiografia ya mahali nilipokuwa nalima, nimelima sana mahindi Songea na mpunga Katavi Usevya ( nililima kilimo kikubwa cha kutumia tractor 4 combine havester na planter 8 rows ) ninajua nichoongea sihadithiwi wala sitegemei vi theories vya knye tablets , i did field work with intensive capital kwa level ya kitanzania kikanipoteza kwa sababu hizo hizo ninazozielezea kilasiku humu.
Soko - TURUHUSU KUUUZA KOKOTE ZAMANI SERIKALI KILA MWAKA INAPANGA KIASI CHA KUUZA NJE WAKATI SISI WAKULIMA TULITAKA TUUZE TUNAKOTAKA KNYE SOKO ZURI, SUMMRI ALIPATA SOKO ZURI BUKAVU ALIKUWA NA GUNIA ZAIDI YA LAKI MOJA NA ALITUKUSANYA WAKULIMA WAKATI ZAIDI YA 50 WENYE GUNIA KUANZIA 1000 KUENDELEA HALAFU SERIKALI IKAFUNGA MIPAKA KAMA SIO KUFILISI WAKULIMA NI NINI KWA NINI NISIMUUNGE MKONO BASHE NA SSH?
2. WEWE NI BWEGE WA KIWANGO CHA MWISHO ULITAKA MKULIMA NDO ATENGENEZE SCHEME ZA UMWAGILIAJI? DUNIA NZIMA UMEWAHI KUKUTA MTU BINAFSI ANAJENGA SCHEME YA UMWAGILIAJI? NENDA SHULE KIDOGO KUPUNGUZA KUKARIRI , SCHEME YA DAKAWA MOROGORO AU CHITA umewahi kusikia watu wakilalamika hawavuni vizuri? tena ilitakiwa tu kuboresha wawe wanavuna mara mbili kwa mwaka .
3. Issue sio kama yeye ni mtaalamu wa kilimo au la shida je nani ana entreprenuer mindset? wapo wataalamu wengi majinga makubwa knye mawizara , narudia wapo wataalamu wengi majinga makubwa kabisa uwezo wao wa kufikiri ni mdogo wana elimu za kukarriri sio kuelewa na kuifanya elimu iwe ina provide solutions , mifano ipo mingi sana Nhemia chechu aliibadilisha NHC hana PHD kuliko yule Dr wa majengo alikaa pale kama bwege miaka 8 .
4. Mimi siwezi kuajiriwa nimekataa ajira miaka 13 iliyopita ninafanya biashara zangu duniani sio Canada Tu

Tujadili hoja za kilimo sio mtu
Nimesoma unavyojitetea, inasikitisha! tatizo hujui maana ya agriculture ktk nchi. unataka nchi iendeshe agriculture kama familia? Kama kweli uko Canada, basi bado uko bize na show-up za mjini na waya masikioni. Ongeza ufahamu wa dunia badala ya kusema unaishi canada.

Hapo Canada ulipo uliza kama zao la chakula linalimwa na kuuzwa kibiashara. Mkulima hupewa bei ya ruzuku ili aendelee kulima. Kwenye soko (market) zao lolote kuu la chakula kwa nchi yoyote duniani haliwezi kuuzwa kwa mwananchi kibiashara. Usipoyajua hayo utaishia kutaja magunia ya mahindi na mpunga na bei na kutaka uuze nje, sijui wapi. Usichokijua pamoja na Bashe wako ni mambo ya food security na maana yake ktk nchi zote duniani.

Kisiasa ataweza kutumia pesa za serikali kuonesha kwamba kulima mahindi ni biashara, lakini atakwama tu hiyo huwa haikubaliki kokote. Ndo maana nchi haikupi nafasi ya kujiamulia wapi uuze. Bei ya ndani ikiwa kubwa, serikali itaagiza nje kuzuia ongezeko hilo.

Food security ensures that all people have access to safe, nutritious, and sufficient food to meet their dietary needs and preferences for an active and healthy life.

Kama haya hayajakuingia kichwani, endelea kulima mikoa yote na hutaisha kulalama.
 
Nimesoma unavyojitetea, inasikitisha! tatizo hujui maana ya agriculture ktk nchi. unataka nchi iendeshe agriculture kama familia? Kama kweli uko Canada, basi bado uko bize na show-up za mjini na waya masikioni. Ongeza ufahamu wa dunia badala ya kusema unaishi canada.

Hapo Canada ulipo uliza kama zao la chakula linalimwa na kuuzwa kibiashara. Mkulima hupewa bei ya ruzuku ili aendelee kulima. Kwenye soko (market) zao lolote kuu la chakula kwa nchi yoyote duniani haliwezi kuuzwa kwa mwananchi kibiashara. Usipoyajua hayo utaishia kutaja magunia ya mahindi na mpunga na bei na kutaka uuze nje, sijui wapi. Usichokijua pamoja na Bashe wako ni mambo ya food security na maana yake ktk nchi zote duniani.

Kisiasa ataweza kutumia pesa za serikali kuonesha kwamba kulima mahindi ni biashara, lakini atakwama tu hiyo huwa haikubaliki kokote. Ndo maana nchi haikupi nafasi ya kujiamulia wapi uuze. Bei ya ndani ikiwa kubwa, serikali itaagiza nje kuzuia ongezeko hilo.

Food security ensures that all people have access to safe, nutritious, and sufficient food to meet their dietary needs and preferences for an active and healthy life.

Kama haya hayajakuingia kichwani, endelea kulima mikoa yote na hutaisha kulalama.
Pole Sana kua na hasira na kilimo.
Jeuri ya watu hutokana na kilimo.
Atakula nini.
Atavaa nini.
Ayala VIpi.
Atajitibu VP.
Kubeza juhudi za kuendeleza kilimo si rahisi kueleweka.
Naahidi shida imetokana na mitaala ya elimu.
Tumefundishwa kusoma Sana/kusema Sana kuliko kutenda..
Pia tumekua na utamaduni wa kubashiri kushindwa kila wakati .
Ni wachovu kusubiri matokeo
 
Bashe shikilia hapo hapo. Mkulima yuko pamoja na ww.
Wapiga kelele wengi c wakulima.
Wizara yao ni michezo,utamaduni na KUBETI. Waende uko.
Asante
 
Pole Sana kua na hasira na kilimo.
Jeuri ya watu hutokana na kilimo.
Atakula nini.
Atavaa nini.
Ayala VIpi.
Atajitibu VP.
Kubeza juhudi za kuendeleza kilimo si rahisi kueleweka.
Naahidi shida imetokana na mitaala ya elimu.
Tumefundishwa kusoma Sana/kusema Sana kuliko kutenda..
Pia tumekua na utamaduni wa kubashiri kushindwa kila wakati .
Ni wachovu kusubiri matokeo
Halafu kuna watu wanaamini tukifundishwa kwa kiswahili, kiwango cha elimu kitapanda. Hapana!
Wewe umesoma maelezo yangu kwa kiswahili, isipokuwa english ndogo mwishoni. Kwa maelezo haya, yaonekana hakuna ulichoelewa.
 
Halafu kuna watu wanaamini tukifundishwa kwa kiswahili, kiwango cha elimu kitapanda. Hapana!
Wewe umesoma maelezo yangu kwa kiswahili, isipokuwa english ndogo mwishoni. Kwa maelezo haya, yaonekana hakuna ulichoelewa.
Aliye elimika huwa halalamiki
MTU asiye elimika hudhani ameelimika kumbe amekalili na Kwa bahati mbaya hufikiri lugha za kigeni ni kipimo cha maarifa.
Hiyo lugha unayo fikiri ni ya taaluma .
Wenye lugha hiyo walikataa ulimbukeni wa lugha ya warumi waliowalazimisha kujifunza Kwa lugha ya kirumi.
Wakawa majasiri Kwa lugha ambayo ya kingereza ambayo ilionekana lugha duni.
Ni malize Kwa kusema wizara ya kilimo na mikakati yake ni sahihi
 
Aliye elimika huwa halalamiki
MTU asiye elimika hudhani ameelimika kumbe amekalili na Kwa bahati mbaya hufikiri lugha za kigeni ni kipimo cha maarifa.
Hiyo lugha unayo fikiri ni ya taaluma .
Wenye lugha hiyo walikataa ulimbukeni wa lugha ya warumi waliowalazimisha kujifunza Kwa lugha ya kirumi.
Wakawa majasiri Kwa lugha ambayo ya kingereza ambayo ilionekana lugha duni.
Ni malize Kwa kusema wizara ya kilimo na mikakati yake ni sahihi
NO! It is stupid! Nasikia hata Himaya ya Wapumbav ina mfalme.
 
Hii hoja yako ni wapi Bashe anatoka ni utumbo mtupu na naona unaiamini sana kiasi cha kuirudia kama vile ina mantiki.

Tukianza kuifuatilia asili ya kila mtu tutagundua kuwa hayupo mtanzania wa asili, wote ni wahamiaji wa miaka mingi.
You must be stupid! Suala siyo asili, Ni M-TZ wa kujiandikisha, FINITO. Babu yake yuko somalia.
 
Bashe ni kiongozi nzuri akiongozwa vizuri, sio kujiongoza. Kuruhusu kuuza mazao nje ni faida kwa mkulima, nguvu kubwa ingewekezwa kwenye scheme za umwagiliaji, huko ndio kuna shida
Ni kweli, lakini ukiangalia tabia za mawaziri wote, hata wasio na elimu ya kutosha, sasa hivi wanaamini wanajua kuliko m-TZ yeyote. Tatizo hawa wote ni mawaziri siyo kwa sababu wanafaa, bali kuna mtu anataka wawe mawaziri na wao wanafahamu. Hivyo wanadeka!
 
You must be stupid! Suala siyo asili, Ni M-TZ wa kujiandikisha, FINITO. Babu yake yuko somalia.
Mpuuzi wewe unayemtazama mtu kwa asili badala ya uwezo halisi alionao. Mataifa makubwa yanapiga hatua kwa kuheshimu kipaji cha mtu na sio kuja na hoja za ubaguzi zilizofilisika.
 
Mpuuzi wewe unayemtazama mtu kwa asili badala ya uwezo halisi alionao. Mataifa makubwa yanapiga hatua kwa kuheshimu kipaji cha mtu na sio kuja na hoja za ubaguzi zilizofilisika.
Usitake kujilazimisha kuonekana mwema kwa kuruhusu kila mtu kuwa yeyote ktk nchi yako. Ni utaraabu wa kishenzi tu!
Lazima uwe mbaguzi! Kwa nini US imechukua miaka zaidi ya 100 kuwa na rais mweusi? Na bado pamoja na utendaji wake mzuri, mweusi bado urais ni mlima! Wasomali nchini bado wanajibagua. Angalia mfumo wetu ulivyo wa hovyo na nguvu ya wansiasa. Unampa madaraka mtu anaishia kuua tembo kwa mawasiliano na kwao somalia!

Kama hujitambui soma haya;
Mohammed Hussein Ali Alikuwa Kamishna wa Polisi akaishia kushirikiana na wasomali wa TZ kuiba ng'ombe kupitia Kenya hadi Somalia! Fool!

Hassan Diria msomali M-Zenj aliishia kudhalilisha nchi tu!

Mtoto wa Farah Idid alikuwa raia wa US na askari wa cheo kizuri, bado akatoroka kurudi somalia kupigana. Tusiendekeze ubwege kuonekana siyo wabaguzi. kwa watu tunaowafahamu.
 
Usitake kujilazimisha kuonekana mwema kwa kuruhusu kila mtu kuwa yeyote ktk nchi yako. Ni utaraabu wa kishenzi tu!
Lazima uwe mbaguzi! Kwa nini US imechukua miaka zaidi ya 100 kuwa na rais mweusi? Na bado pamoja na utendaji wake mzuri, mweusi bado urais ni mlima! Wasomali nchini bado wanajibagua. Angalia mfumo wetu ulivyo wa hovyo na nguvu ya wansiasa. Unampa madaraka mtu anaishia kuua tembo kwa mawasiliano na kwao somalia!

Kama hujitambui soma haya;
Mohammed Hussein Ali Alikuwa Kamishna wa Polisi akaishia kushirikiana na wasomali wa TZ kuiba ng'ombe kupitia Kenya hadi Somalia! Fool!

Hassan Diria msomali M-Zenj aliishia kudhalilisha nchi tu!

Mtoto wa Farah Idid alikuwa raia wa US na askari wa cheo kizuri, bado akatoroka kurudi somalia kupigana. Tusiendekeze ubwege kuonekana siyo wabaguzi. kwa watu tunaowafahamu.
Hujaongelea maelfu ya wazalendo waliozaliwa humu humu wenye passport za kitanzania wanaofilisi taasisi, mashirika na wizara zetu kila mwaka.

Sio kila mgenini mbaya hizi ni mentality zinazopitwa na wakati kwa kasi sana. Wezi wote wanaotajwa na CAG ni wazalendo kwa maana halisi.

Vipi kuhusu Bob Marley mtoto wa Baba mzungu na mama wa kijamaica?, alikuwa mzalendo kuliko wasomi wengi waliozaliwa katika mikoa ya Tanzania.
 
Cha kupiga vita ni uzembe wetu sisi wenyewe ni ugonjwa wetu wa uvivu wa akilini na kuridhika upesi, hayo mengine yote ni mazungumzo baada ya habari.
Kama umeshindwa kupiga vita wizi wa Bashe tangu jinsi alivyopata uraia na jinsi alivyoshinda Ubunge, Anavyopewa support na mtu kama Rostam Aziz, kwa nini una maoni ya kupiga vita uvivu? Better live na mvivu kuliko mwizi. Hakuna jinsi Bashe atakuwa mwema wakati maisha yake anasaidiwa na wezi.
 
Kama umeshindwa kupiga vita wizi wa Bashe tangu jinsi alivyopata uraia na jinsi alivyoshinda Ubunge, Anavyopewa support na mtu kama Rostam Aziz, kwa nini una maoni ya kupiga vita uvivu? Better live na mvivu kuliko mwizi. Hakuna jinsi Bashe atakuwa mwema wakati maisha yake anasaidiwa na wezi.
Kuna kile kitu kinaitwa SIRI kila nikiangalia bashe na samia na Rostam , na ubunge na muona EDGA wa ile story kuna siku bashe atakuja kuwa raisi soon
 
Kama umeshindwa kupiga vita wizi wa Bashe tangu jinsi alivyopata uraia na jinsi alivyoshinda Ubunge, Anavyopewa support na mtu kama Rostam Aziz, kwa nini una maoni ya kupiga vita uvivu? Better live na mvivu kuliko mwizi. Hakuna jinsi Bashe atakuwa mwema wakati maisha yake anasaidiwa na wezi.
Kila mtu anao upande mzuri. Naamini huyo Bashe anayo mema yake mazuri tu.

Wabongo huwa tunazipenda sana hizi siasa za Team Kiba na Team Diamond mpaka kwenye siasa akili ni hizi hizi za kuwa wafuasi kwa maana ya members wa Teams binafsi za mastaa.
 
Kila mtu anao upande mzuri. Naamini huyo Bashe anayo mema yake mazuri tu.

Wabongo huwa tunazipenda sana hizi siasa za Team Kiba na Team Diamond mpaka kwenye siasa akili ni hizi hizi za kuwa wafuasi kwa maana ya members wa Teams binafsi za mastaa.
Who is Kiba? Who is Diamond?
 
Back
Top Bottom