Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Ulinzi alionao Bashe ni Udini. Hapo ndo nalaani dini. Yaani mtu anaona mtu ni mwizi lakini anamkumbatia kwa kuwa tu ni mwislamu. Kwani hakuna waislamu wema? Kwani hatuna waislamu wa-TZ kuliko huyu msomali aliyejiandikisha kuwa m-TZ?
Unahakika URAIA WAKE WA KUJIANDIKISHA??
 
Hebu Acha kuongea ujinga wako. Hii nchi years and years imekuwa ikilishwa na wakulima WA kawaida na changamoto zao zinajulikana.

Hebu piga simu Kwa ndugu zako wakulima tanzania waulize bei ya mbolea sasa hivi ni how much ? Mnaongea ujinga WA kilimo cha PDF na iPad
Hufahamu kabisa changamoto za wakulima wa Tanzania , ungefahamu usingebeza juhudi na maamuzi yaliyofanywa na awamu ya sita, 1. Kuruhusu kuuza mazao nje ili bei iwe ya ushindani na mkulima afaidike sio kila mwaka yeye kujitolea damu na jasho watumia ipad mjini wanawapangia bei , Ifike mahali bei ya mazao ishuke kutokana na wingi wa uzalishaji sio kuwapangia bei , Bora watu washindwe kununua tu mbona bia na viroba wanaweza .
2. Uhakika wa maji ya kumwagilia ndo unaona awamu ya sita inashughulikia
3. Mbegu bora na za bei nafuu - Inashughulikiwa
4. Mbolea za bei poa - hatua ziimeshachukuliwa

Katika awamu zote toka ya pili hii ndo awamu pekee umeamua kuwekeza knye kilimo kwa njia sahihi

AWAMU YA TANO ILIFANYA VIZURI KNYE MIUNDO MBINU NA MADINI AFYA NA ELIMU, AWAMU YA NNE KNYE DEMOKRASIA NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
 
Nakubaliana na wewe katika hilo la kujenga barabara za lami vijijini ila sio haya ya kukusanya wakulima sehemu moja kutoka mjini na kuandaa mashamba ya Hekta 1 kwa milioni 17. Mbolea za ruzuku hata yeye Bashe amekiri imekuwa na matatizo.
Kuna vichekesho vya kushangaza sana, unatafuta wakulima wa kulipa wakati wakulima unao wa kutosha shambani.
 
Hufahamu kabisa changamoto za wakulima wa Tanzania , ungefahamu usingebeza juhudi na maamuzi yaliyofanywa na awamu ya sita, 1. Kuruhusu kuuza mazao nje ili bei iwe ya ushindani na mkulima afaidike sio kila mwaka yeye kujitolea damu na jasho watumia ipad mjini wanawapangia bei , Ifike mahali bei ya mazao ishuke kutokana na wingi wa uzalishaji sio kuwapangia bei , Bora watu washindwe kununua tu mbona bia na viroba wanaweza .
2. Uhakika wa maji ya kumwagilia ndo unaona awamu ya sita inashughulikia
3. Mbegu bora na za bei nafuu - Inashughulikiwa
4. Mbolea za bei poa - hatua ziimeshachukuliwa

Katika awamu zote toka ya pili hii ndo awamu pekee umeamua kuwekeza knye kilimo kwa njia sahihi

AWAMU YA TANO ILIFANYA VIZURI KNYE MIUNDO MBINU NA MADINI AFYA NA ELIMU, AWAMU YA NNE KNYE DEMOKRASIA NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Wajinga ni wengi na wengine wako wizarani. Naibu waziri anamsifu Bashe, kumbe wanapiga kwa pamoja. wewe tena nawe unaonesha ujinga tu! Unakusanya vijana toka Dar wakalime dodoma! Yeye anapiga 10% anajenga vituo vya mafuta kibaha hadi chalinze. Bashe ana shamba?

Wakulima wanauza mazao nje wapi? Au hayo makampuni ya mawaziri na wana CCM wahuni? Hao wakenya walioko vijijini ndo mtindo wa maisha? Eti kilimo cha umwagiliaji! Unamwagilia dodoma kwa maji gani?
 
Huwa natamani kabla ya 2025 iwe ishapatkana katiba kubadilisha huu utaratibu wa wabunge kuwa mawazir, mawazir wawe ni wataalamu maalumu
 
Peleka barabara za lami hadi vijijini, kila kijiji weka miundombinu ya upatikanaji wa maji na umeme uone kilimo kitakavyo stawi!

Hii nchi walio na mdaraka ndio wapumbavu.
 
Ndugu umetembea nchi gani ukaona hiyo mifano? hapa Canada wakulima wote wamewezeshwa sana kuanzia barabara za lami mpka kufikia kila shamba , wanapewa ruzuku za mbolea na startups grants sisi watanzania tulivyo mbumbumbu tunataka mkulima ajitese mwenywe na tumpangie na bei ya kuuzia ndo maana kama nchi tumejaza wchuuzi na wauza genge kila mahali na bodaboda tu . BASHE NA SAMIA WANAJARIBU SANA KUMKOMBOA MTANZANIA SHIDA NI NYIE MABWEGE
Sio magenge na boda boda tu, ongeza na haya;

1.Saloon kila kona.
2.Vi-pub kila kona.
3.Grocery kila kona.
4.Kubani cd kila kona.
5.Baa kila mtaa.
6.Vijiwe vya umbea kila mtaa
7.Maduka ya nguo special kila uchochoro.
8.Maduka ya vipodozi kila uchochoro.
9.Kuuza mbususu kila kona
10.Ubaa medi kila uchochoro.
11. Minyanduano kila uchochoro.

Nguvu kazi tuliyonayo ikijikita katika uzalishaji kama ubunifu uliofanywa na Serikali (BBT), baada ya miaka michache taifa litakuwa mbali sana.

TUNAPENDA UCHUUZI NA KAZI LAINI LAINI.

Tusilaumu na kubakia na utitiri wa import ready made products kila uchochoro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe hakuzaliwa Tanzania. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
Hiyo ndiyo shida yetu unamshambulia MTU binafsi na kuonesha ubaguzi uliokithili .
Mawazo ya MTU mbaguzi huwa hayakomei karibu.
Hapa unawabagua wakulima kuwa hawana haki ya kutumia pato la nchi .
Kwa taarifa yako hakuna nchi iliyo endelea iliyodharau kilimo .
Anglia nchi zilizo endelea jinsi zinavyo kijali kilimo USA china India Brazil England Germany Russia Japan south Africa Kenya Nigeria Egypt nk
1 mahitaji makuu ya binadamu yanatoka sekta ya kilimo.
2 kilimo ndiyo sekta inayo ajiri watu wengi .
3 Pato letu kubwa linatoka idara ya kilimo.
Tawala zilizo pita zilipuuzia kilimo matokeo yake kundi kubwa la vijana kukosa kazi.
Bashe anafanyia kazi nzuri ukweli usemwe
 
Ndugu umetembea nchi gani ukaona hiyo mifano? hapa Canada wakulima wote wamewezeshwa sana kuanzia barabara za lami mpka kufikia kila shamba , wanapewa ruzuku za mbolea na startups grants sisi watanzania tulivyo mbumbumbu tunataka mkulima ajitese mwenywe na tumpangie na bei ya kuuzia ndo maana kama nchi tumejaza wchuuzi na wauza genge kila mahali na bodaboda tu . BASHE NA SAMIA WANAJARIBU SANA KUMKOMBOA MTANZANIA SHIDA NI NYIE MABWEGE
Wengi wanajifanya wajuaji kumbe hamna kitu ni kundi lililotufikisha hapa.
Umasikini usiokua na sababu .
Raisi wetu na waziri wako pigeni kazi
 
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe hakuzaliwa Tanzania. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
Hatari kubwa! Nakubaliana nawe.

Kuna msemo unasema hivi:

"The corruption of the best (top) is the WORST".

Sadly, Msemo huu ni halisi kwetu.
 
Hiyo ndiyo shida yetu unamshambulia MTU binafsi na kuonesha ubaguzi uliokithili .
Mawazo ya MTU mbaguzi huwa hayakomei karibu.
Hapa unawabagua wakulima kuwa hawana haki ya kutumia pato la nchi .
Kwa taarifa yako hakuna nchi iliyo endelea iliyodharau kilimo .
Anglia nchi zilizo endelea jinsi zinavyo kijali kilimo USA china India Brazil England Germany Russia Japan south Africa Kenya Nigeria Egypt nk
1 mahitaji makuu ya binadamu yanatoka sekta ya kilimo.
2 kilimo ndiyo sekta inayo ajiri watu wengi .
3 Pato letu kubwa linatoka idara ya kilimo.
Tawala zilizo pita zilipuuzia kilimo matokeo yake kundi kubwa la vijana kukosa kazi.
Bashe anafanyia kazi nzuri ukweli usemwe
Bashe anafanya vizuri kwenye nini?
 
Siku mtakayo stuka itakuwa too late

I told you two years ago kwa Bashe hamna kitu hapo zaidi ya upigaji na mipango ya hovyo ya kuchezea hela za walipa kodi.

Huwa anaongea vitu ambavyo havina maana 90% of the times. Mfano anakiri 75% ya nchi ikiwa na wakulima hiyo ni nchi maskini. Sasa kutoka huko kunahitaji sera imara za kuvutia uwekezaji wa viwandani au kuongeza wakulima.

Pili pamoja na huo upotevu wa hela unaofanywa huko mashambani mbele baada ya miaka 3-4 tutarudi hapa baadhi ya mashamba kutekelezwa serikali mara tu serikali itakapoacha kuwasaidia hao vijana na kuwataka kujitegemea. Wengi watashindwa kuendeleza na kusimamia hayo maeneo.

Community farming wazungu washafanya miaka 200 iliyopita it didn’t work kwa sababu nilizotaja. Ndio maana kuna wakulima wachache wenye maeneo makubwa; halafu farming ni lifestyle ili uwe mkulima mzuri na uipende hiyo kazi inabidi uwe tayari na kuishi hayo maisha.

The guy is just useless, tutarudi hapa madhara yatakapokuwa wazi. Kwa sasa wafanye wanavyotaka, sisi walalahoi tunataka kuona price stability kwenye chakula. Huko kwenye ufisadi kila mtu anafanya kama wenye mamlaka ya kuwateua na kuwamakata inaona na zipo kimya sisi hakina nani tulalamike.

Eti dunia ije kujifunza Tanzania block farming ‘someone tell this minister, to google feudalism in agrarian society’ aone wazungu huo upuuzi waliachana nao lini na kwanini upande wa kilimo.
Community farming wazungu washafanya miaka 200 iliyopita it didn’t work kwa sababu nilizotaja. Ndio maana kuna wakulima wachache wenye maeneo makubwa; halafu farming ni lifestyle ili uwe mkulima mzuri na uipende hiyo kazi inabidi uwe tayari na kuishi hayo maisha.
==========.
Sijaona sababu ulizozitaja, umezitaja wapi?
Wanaomshambulia au kumkosoa Bashe, wao mbadala wao ni upi??
 
Sio magenge na boda boda tu, ongeza na haya;

1.Saloon kila kona.
2.Vi-pub kila kona.
3.Grocery kila kona.
4.Kubani cd kila kona.
5.Baa kila mtaa.
6.Vijiwe vya umbea kila mtaa
7.Maduka ya nguo special kila uchochoro.
8.Maduka ya vipodozi kila uchochoro.
9.Kuuza mbususu kila kona
10.Ubaa medi kila uchochoro.
11. Minyanduano kila uchochoro.

Nguvu kazi tuliyonayo ikijikita katika uzalishaji kama ubunifu uliofanywa na Serikali (BBT), baada ya miaka michache taifa litakuwa mbali sana.

TUNAPENDA UCHUUZI NA KAZI LAINI LAINI.

Tusilaumu na kubakia na utitiri wa import ready made products kila uchochoro.

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa ndugu watanzania tuna ugonjwa wa kupinga kila kitu , Huu mradi baada ya miaka mitatu utawakomboa vijana wengi sana na kizazi kijacho watu watakimbilia mashambani
 
Hatari kubwa! Nakubaliana nawe.

Kuna msemo unasema hivi:

"The corruption of the best (top) is the WORST".

Sadly, Msemo huu ni halisi kwetu.
Niliona ile doc inasema 17 per hekta yaani 2.5 acres hiyo ni total cost ya barabara, kusafisha, kuchimba mabwawa ya kuhifadhia maji , kujenga canals za umwagiliaji, kupima afya ya udongo, kutandaza barabara, kusambaza umeme, kumpimia na kutoa hati kila plot
 
Kama hupendi kilimo kila juhudi inayofanyika kuhusu kilimo hutaona.
Wadau wa kilimo wanaona nini kinafanyika ruzuku ya mbolea mbegu madawa mpango wa BBT .
Wapenda kilimo wanaona
Kwenye mbolea wala usimzungumzie yeye mwenyewe kasema Kuna tatizo kubwa. Alafu kaficha ukweli wa hilo tatizo

Hebu angalia hapo mkoa kama katavi wenye wakulima wengi waliopata mbolea ni 10,000 tu

Mimi ni mmoja wa watu niliorudi na mtaji baada ya kumsikiliza sana nikaamua niingie kwenye kilimo nione, nimezunguka maeneo mengi kukusanya taarifa ili nianze sababu ya maneno yake. Mwisho wa siku nilijuta kupoteza muda wangu. Mbolea unapanga foleni duka 1, unasubiri kusajiliwa wiki nzima na bado mbolea huipati. Alafu wanatokea watu wanakuambia kuna mbolea za dili
20230510_121252.jpg
 
Back
Top Bottom