Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Kwa aina hii ya matumizi ya pesa za umma, tozo zitaendelea kuwaumiza wananchi maskini.
Mabilioni ya tozo hawa Freemasons wameshayateketeza ndani ya dakika chache hawa Freemasons tusipowadhibiti 2025 then tupo ka
 
Wanazalisha halafu wanategemea mazao hayo yakauzwe soko la nje yaani huko mataifa ya nje. Kwahyo soko likicheza tu huku nje huo mradi unakuwa kushney.

Ifike wakati tuanze tuwekeze katika kuzalisha mazao ambayo tunatumia wenyewe kama mazao ya Biashara ya chakula kama Mchele, maharage, ndizi, matunda, ufuta, Ngano, mahindi, viazi, na mifugo.

Huko tutaweza hata kuboresha uchumi wetu. Sasa unasikia uzalishaji wa mikonge, sijui chikichi, mara pamba, mara gold, mara mafuta, mara uranium, sisi hivyo vitu hatutuumii na hata tukijiweka huko miradi haigusi sehemu kubwa ya wanajamii.
Unadhani wakisema soko la nje ni nchi za ulaya basi. Ukitoa pamba na korosho ambazo zinaenda China na India sijui ni kitu gani tena tunauza nje ya mipaka ya Africa.

Mazao mengine mnunuzi mkubwa ni Kenya na yeye hiko hiko anachochukua Tanzania auze South Sudan, soko la ndani kwake, Ethiopia na Somalia. Wateja wengine directly kwetu hapo Burundi, Rwanda na Congo.

Sasa Congo, Somalia na South Sudan; kwenye chakula tatizo ni instability ya serikali zao zinazo sababisha kusua kwenye sector ya kilimo. Bila ya migogoro wala hawana shida na chakula hasa nafaka za Tanzania.

Kwa mfano kipindi hiki cha mapigano Sudan ndio kabisa demand ni muda itakuwa kubwa. Kwa ivyo ni wakutengeneza hela kwa wakulima uchwara ambao ni wananunua mashambani na kupeleka kwenye hayo masoko.

Lakini hizo nchi zikiwa stable hiyo demand wala isingekuwepo. Wateja wa asili kwa chakula cha Tanzania ni Kenya, Rwanda na Burundi. Hiyo export yenyewe ya mazao yote aifiki ata dollar billion mbili, we are not main players in food export kwenye bara letu.

Tunatatizo la yield per hector kwa wakulima wa africa; kulinganisha na nchi zilizoendelea. Badala ya ku focus kwenye kuongeza yield kwa ardhi ambayo inatumika tayari. Wao wanawaza miradi ya upigaji tu. Nchi kama South Africa na Egypt ambao sidhani ata asilimia 10 ya wananchi wakulima lakini atufikii ata asilimia 10 ya thamani ya food exports zao.
 
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe hakuzaliwa Tanzania. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
Natabiri Bashe kutumbuliwa hivi karibuni

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hapana alipendekeza kuwa ni bora kuwatumia vijana ambao tayari wanajishughulisha na kilimo wawezeshwe!!na walime mazao yanayotumia muda mfupi kukomaa (miezi 3-6) kwani itawafanya wapate pesa mapema.
white whizard nakubaliana kabisa na hii point , hata mimi nilishwahi kushauri wafanye juu chini kuwapata watu ambao tayari wapo knye industry kwa muda mrefu ila wanakwama mitaji, ardhi na mifumo mizuri . NADHANI WIZARA INAPITA HUMU ICHUKUE USHAURI
 
Unadhani wakisema soko la nje ni nchi za ulaya basi. Ukitoa pamba na korosho ambazo zinaenda China na India sijui ni kitu gani tena tunauza nje ya mipaka ya Africa.

Mazao mengine mnunuzi mkubwa ni Kenya na yeye hiko hiko anachochukua Tanzania auze South Sudan, soko la ndani kwake, Ethiopia na Somalia. Wateja wengine directly kwetu hapo Burundi, Rwanda na Congo.

Sasa Congo, Somalia na South Sudan; kwenye chakula tatizo ni instability ya serikali zao zinazo sababisha kusua kwenye sector ya kilimo. Bila ya migogoro wala hawana shida na chakula hasa nafaka za Tanzania.

Kwa mfano kipindi hiki cha mapigano Sudan ndio kabisa demand ni muda itakuwa kubwa. Kwa ivyo ni wakutengeneza hela kwa wakulima uchwara ambao ni wananunua mashambani na kupeleka kwenye hayo masoko.

Lakini hizo nchi zikiwa stable hiyo demand wala isingekuwepo. Wateja wa asili kwa chakula cha Tanzania ni Kenya, Rwanda na Burundi. Hiyo export yenyewe ya mazao yote aifiki ata dollar billion mbili, we are not main players in food export kwenye bara letu.

Tunatatizo la yield per hector kwa wakulima wa africa; kulinganisha na nchi zilizoendelea. Badala ya ku focus kwenye kuongeza yield kwa ardhi ambayo inatumika tayari. Wao wanawaza miradi ya upigaji tu. Nchi kama South Africa na Egypt ambao sidhani ata asilimia 10 ya wananchi wakulima lakini atufikii ata asilimia 10 ya thamani ya food exports zao.
NDUGU naomba uwe na data kidogo usiwadnganye watanzania, tunauza nje kahawa, chai, tumbaku, mkonge, ufuta, dengu bado tuna matunda na maua sasa , Tuna potential kubwa sana ya kuwa food basket of Africa kwa sababu populations inakua kwa nchi zote zinazotuzunguka na matatio hayataisha na matumizi mbadala ya mazao bado yapo
 
Siku mtakayo stuka itakuwa too late

I told you two years ago kwa Bashe hamna kitu hapo zaidi ya upigaji na mipango ya hovyo ya kuchezea hela za walipa kodi.

Huwa anaongea vitu ambavyo havina maana 90% of the times. Mfano anakiri 75% ya nchi ikiwa na wakulima hiyo ni nchi maskini. Sasa kutoka huko kunahitaji sera imara za kuvutia uwekezaji wa viwandani au kuongeza wakulima.

Pili pamoja na huo upotevu wa hela unaofanywa huko mashambani mbele baada ya miaka 3-4 tutarudi hapa baadhi ya mashamba kutekelezwa serikali mara tu serikali itakapoacha kuwasaidia hao vijana na kuwataka kujitegemea. Wengi watashindwa kuendeleza na kusimamia hayo maeneo.

Community farming wazungu washafanya miaka 200 iliyopita it didn’t work kwa sababu nilizotaja. Ndio maana kuna wakulima wachache wenye maeneo makubwa; halafu farming ni lifestyle ili uwe mkulima mzuri na uipende hiyo kazi inabidi uwe tayari na kuishi hayo maisha.

The guy is just useless, tutarudi hapa madhara yatakapokuwa wazi. Kwa sasa wafanye wanavyotaka, sisi walalahoi tunataka kuona price stability kwenye chakula. Huko kwenye ufisadi kila mtu anafanya kama wenye mamlaka ya kuwateua na kuwamakata inaona na zipo kimya sisi hakina nani tulalamike.

Eti dunia ije kujifunza Tanzania block farming ‘someone tell this minister, to google feudalism in agrarian society’ aone wazungu huo upuuzi waliachana nao lini na kwanini upande wa kilimo.
Point hii nimeielewa sana
 
Kuna mbunge mmoja jana amemwambia "unachukua vijana wenye viduku mjini unawapa mashamba hawataweza,halafu unampa zao hadi kuvuna ni miaka 4,watayakimbia tu?kilimo sio kazi rahisi hivyo.
Hili nimeshaangaa pia, kwa muda huo wa miaka minne atawezaje kujitegemea? Au ataendelea kuhudumiwa na serikali?
 
NDUGU naomba uwe na data kidogo usiwadnganye watanzania, tunauza nje kahawa, chai, tumbaku, mkonge, ufuta, dengu bado tuna matunda na maua sasa , Tuna potential kubwa sana ya kuwa food basket of Africa kwa sababu populations inakua kwa nchi zote zinazotuzunguka na matatio hayataisha na matumizi mbadala ya mazao bado yapo
Kwa hivyo unadhani nilipotaja atufikii ata 10% ya food export ya South Africa na Egypt ni mambo niliyoyatoa kichwani tu sio kwamba hizo takwimu zipo.

Na kukusaidia tu kwenye exports za kila kitu (total export) ndio kabisa atafukii ata 10% ya nchi inayo shika nafasi ya kumi kwa Africa ndio maana ata sikutaka kulinganisha huko.

Tanzania inaweza kuwa in export kila kitu ulichotaja hapo, ila individual sums zake zipo on 10’s of millions au 100s of million. The latter ni hizo bidhaa chache nilizotaja nje ya africa korosho, kahawa na cotton. Sasa angalia global export value ya kila hapo utakuta ni over $10 mpaka $30 billion. Wewe mwenye mauzo ambayo yapo in 10’s of million unadhani kwenye global demand za dunia ata usipo export unaweza influence prices kweli.


Google ‘value of food exports from Africa’ halafu uone kama tumo kwenye top ten, ata Somalia na Kenya atuwazidi kwenye food export alone. Ukitafuta data za total export za kila kitu za Africa ndio kabisa Tanzania sio big player. .
 
Siku mtakayo stuka itakuwa too late

I told you two years ago kwa Bashe hamna kitu hapo zaidi ya upigaji na mipango ya hovyo ya kuchezea hela za walipa kodi.

Huwa anaongea vitu ambavyo havina maana 90% of the times. Mfano anakiri 75% ya nchi ikiwa na wakulima hiyo ni nchi maskini. Sasa kutoka huko kunahitaji sera imara za kuvutia uwekezaji wa viwandani au kuongeza wakulima.

Pili pamoja na huo upotevu wa hela unaofanywa huko mashambani mbele baada ya miaka 3-4 tutarudi hapa baadhi ya mashamba kutekelezwa serikali mara tu serikali itakapoacha kuwasaidia hao vijana na kuwataka kujitegemea. Wengi watashindwa kuendeleza na kusimamia hayo maeneo.

Community farming wazungu washafanya miaka 200 iliyopita it didn’t work kwa sababu nilizotaja. Ndio maana kuna wakulima wachache wenye maeneo makubwa; halafu farming ni lifestyle ili uwe mkulima mzuri na uipende hiyo kazi inabidi uwe tayari na kuishi hayo maisha.

The guy is just useless, tutarudi hapa madhara yatakapokuwa wazi. Kwa sasa wafanye wanavyotaka, sisi walalahoi tunataka kuona price stability kwenye chakula. Huko kwenye ufisadi kila mtu anafanya kama wenye mamlaka ya kuwateua na kuwamakata inaona na zipo kimya sisi hakina nani tulalamike.

Eti dunia ije kujifunza Tanzania block farming ‘someone tell this minister, to google feudalism in agrarian society’ aone wazungu huo upuuzi waliachana nao lini na kwanini upande wa kilimo.
Madai yake eti ana-dream big..
The dude is dreaming backward.
Utadhan ni mwalimu na vijiji Vyake vya ujamaa.., ambavyo mpaka Karne hii unawasikia wabunge wakiviombea umeme,maji,shule,vituo vya afya , barabara, mawasiliano.... literally ni kama walirundikwa tuu kama wanyama...

Sasa huyu Waziri wenu anajifanya Waziri wa Ardhi,anawagawia vijana plots na kuwawekea Mabomba ya maji yasiyo na uhakika, analazimisha fani kwa vijana wa chips mayai..He will fail miserably.

Hiyo pesa anayoenda kuichezea angeiwekeza kwenye Bank ya kilimo na yeye Kazi yake ingekuwa kuwahamasisha Watanzania wenye Nia ya kujishughulisha na kilimo wachukue mikopo yenye masharti nafuu.

Waswahili wanasema unaweza kumpereka mbuzi mtoni ,but huwezi kumlazimisha anywe maji, Bashe anawapereka Mbuzi Mtoni.
 
Hao wakulima wadogo bila ya ruzuku na utaratibu wa kangomba awaendi na wamezaliwa vijijini na kuishi maisha ya kilimo.

Seuse hawa anaowaokota kwa sasa mambo yana onekana ni rosy kwa sababu serikali ina fund kila kitu; ngoja siku itakapo waacha wajitegemee ndio itaelewa.

Ni mpango ambao aujafanyiwa tathmini ya kina kwenye sustainability. Tanzania ni hadithi ya abunuasi kukata tawi upande aliokalia; mpaka baada ya madhara ndio uona walipokosea. Too late by then.
Kwanini serikali/wizara isiwaongezee uwezo hao wanaoitwa wakulima wadogo wadogo ili wawe na tija na kuinfluence jamii kujiunga na kilimo, Waziri anafikiri watu hawataki kulima kwa sababu ya Ardhi tuu!?...Hao vijana anaowakusanya ukichunguza ,wengi wao wameacha mashamba makubwa vijijini kwao na kukimbilia mijini.

Vijana hao wangekua wanarudi vijijini kusalimia ndugu zao wakulima, wakakuta kuna godowns na fuso zinapakia mazao, yard kuna Tractors na land cruiser pick ups, maji bombani, na umeme solar or Tanesco, sebuleni watoto wanaangalia DStv, Fridge inaunguruma, wallah Waziri asingeona vijana wanatoka SUA wanaenda Dar au DOM wakati wa vikao vya Bunge Kudanga...wote wangerudi vijijini/mashambani kwenda kulima na kufuga, mjini wangekua wanakuja kwenda Embassy kuchukua visa na kufanya shopping ya VSOPs na kurudi zao Farms.
 
Kwanini serikali/wizara isiwaongezee uwezo hao wanaoitwa wakulima wadogo wadogo ili wawe na tija na kuinfluence jamii kujiunga na kilimo, Waziri anafikiri watu hawataki kulima kwa sababu ya Ardhi tuu!?...Hao vijana anaowakusanya ukichunguza ,wengi wao wameacha mashamba makubwa vijijini kwao na kukimbilia mijini.

Vijana hao wangekua wanarudi vijijini kusalimia ndugu zao wakulima, wakakuta kuna godowns na fuso zinapakia mazao, yard kuna Tractors na land cruiser pick ups, maji bombani, na umeme solar or Tanesco, sebuleni watoto wanaangalia DStv, Fridge inaunguruma, wallah Waziri asingeona vijana wanatoka SUA wanaenda Dar au DOM wakati wa vikao vya Bunge Kudanga...wote wangerudi vijijini/mashambani kwenda kulima na kufuga, mjini wangekua wanakuja kwenda Embassy kuchukua visa na kufanya shopping ya VSOPs na kurudi zao Farms.
Post zako #71 & 72 ingelikuwa huko bungeni anaulizwa hayo maswali ayatolee ufafanuzi na justification ya hatua zake, tusingefika tulipo.

Ni kuchezea hela za walipa kodi.
 
Siku mtakayo stuka itakuwa too late

I told you two years ago kwa Bashe hamna kitu hapo zaidi ya upigaji na mipango ya hovyo ya kuchezea hela za walipa kodi.

Huwa anaongea vitu ambavyo havina maana 90% of the times. Mfano anakiri 75% ya nchi ikiwa na wakulima hiyo ni nchi maskini. Sasa kutoka huko kunahitaji sera imara za kuvutia uwekezaji wa viwandani au kuongeza wakulima.

Pili pamoja na huo upotevu wa hela unaofanywa huko mashambani mbele baada ya miaka 3-4 tutarudi hapa baadhi ya mashamba kutekelezwa serikali mara tu serikali itakapoacha kuwasaidia hao vijana na kuwataka kujitegemea. Wengi watashindwa kuendeleza na kusimamia hayo maeneo.

Community farming wazungu washafanya miaka 200 iliyopita it didn’t work kwa sababu nilizotaja. Ndio maana kuna wakulima wachache wenye maeneo makubwa; halafu farming ni lifestyle ili uwe mkulima mzuri na uipende hiyo kazi inabidi uwe tayari na kuishi hayo maisha.

The guy is just useless, tutarudi hapa madhara yatakapokuwa wazi. Kwa sasa wafanye wanavyotaka, sisi walalahoi tunataka kuona price stability kwenye chakula. Huko kwenye ufisadi kila mtu anafanya kama wenye mamlaka ya kuwateua na kuwamakata inaona na zipo kimya sisi hakina nani tulalamike.

Eti dunia ije kujifunza Tanzania block farming ‘someone tell this minister, to google feudalism in agrarian society’ aone wazungu huo upuuzi waliachana nao lini na kwanini upande wa kilimo.
I second you. Community farming ni uzezeta.
 
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe hakuzaliwa Tanzania. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
Ndio maana nawaambiga kwamba Tanzania tuna wanasiasa wanafiki wanaishi kutegemeana na anayewaongoza wameshamuona mama yeye si wa field ndio maana wanamdanganya Kwa hesabu ambazo ata kichaa hawezi kukubali.
 
Kwanza ni kweli nchi hazinanani sawa. Je wapi pa kuanzia? hawakuokota watu mpaka leo kuna immigrant program ya kupush immigrant mashambani wapewe ardhi na mitaji bure ipo google, pili Hao wakulima knye majimbo makubwa ndo waliwezesha wakulima wapya knye majimbo madogo na progra ilianza hivi hivi kwa anayetaka , kuna waliopenda kuna waliokataa kuna waliofeli baadae wakapatikana waliokaza na wakawa matajiri, HATA bbt ITAZALISHA AINA ZOTE ZA MATOKEO, HASI , CHANYA lakini matumaini chanya watakuwa wengina watachochea watu wengi waingie knye kilimo sasa kama biashara badala ya kufungua baa na groceriies kila mahali. Kuhusu kuwezeshwa lazima tuchukue pesa za watu wengine wote tuwekeze kwenye miundombinu ya kilimo na umwagiliaji matekeo yake hela itarudi mara 35 kwaa sababu ya multiplier effect yake knye economy
Hebu Acha kuongea ujinga wako. Hii nchi years and years imekuwa ikilishwa na wakulima WA kawaida na changamoto zao zinajulikana.

Hebu piga simu Kwa ndugu zako wakulima tanzania waulize bei ya mbolea sasa hivi ni how much ? Mnaongea ujinga WA kilimo cha PDF na iPad
 
Post zako #71 & 72 ingelikuwa huko bungeni anaulizwa hayo maswali ayatolee ufafanuzi na justification ya hatua zake, tusingefika tulipo.

Ni kuchezea hela za walipa kodi.
Yeye Kazi yake ni kuwajibu wabunge kwa kejeli... yaani sometimes I wonder how do these people get there!?....kama kweli waganga wapo basi nadhan kama nchi tuwageukie Hawa waganga waache kuwasaidia hawa mediocre. Kwasababu mimi sitaki kuamini huyu jamaa ndio the Best we can have kwenye hiyo Docket...Na I just pray to God hayo mawazo asije akawa kayatoa kwa wataalam wa wizara, am really hoping ni mawazo yake binafsi, na kama ni mawazo ya Think Tank ya Wizara basi ninaelewa ni kwanini Tanzania tunaitwa maskini.
Post zako #71 & 72 ingelikuwa huko bungeni anaulizwa hayo maswali ayatolee ufafanuzi na justification ya hatua zake, tusingefika tulipo.

Ni kuchezea hela za walipa kodi.
 
Hebu Acha kuongea ujinga wako. Hii nchi years and years imekuwa ikilishwa na wakulima WA kawaida na changamoto zao zinajulikana.

Hebu piga simu Kwa ndugu zako wakulima tanzania waulize bei ya mbolea sasa hivi ni how much ? Mnaongea ujinga WA kilimo cha PDF na iPad
kwa hiyo mkulima azalishe kwa ghrama za juu akuuzie kwa bei ya chini kisa nini? mbona hamwapangii wazalishaji wa cement au soda? Ujinga wa kiwango cha juu sana ndo maana watu walikikimbia kilimo, kama unaona vitu ghali zalisha vyako au badilisha mlo tu kula mtama na muhogo
 
Bashe anawaambia vijana wakalime, yeye anajenga vituo vya mafuta njia nzima ya kibaha. Sijui katoa wapi mtaji huo! Ni hizo milioni 16 kwa ekari. Yaani kazi ya milioni 5 yeye anatumia milioni 16!

Hebu tuongelee tabia na maelezo ambayo aliyatoa juu ya kilimo. Huu ni uchafu tu! Yaani waziri kaachana na mpango mkakati wa kilimo (ASDP II) ambao haukupata pesa za kuuendeleza. Sasa anapewa pesa za Kilimo, kijana anazipiga kupitia mpango wake wa mfukoni. Ubunifu binafsi. Kwa miaka yake miwili hakuna manufaa kwa mkulima wa kijijini, Bashe anahangaika na show za mjini.

Ni kwa nini rais amenyamaza wakati kinachotekelezwa siyo mpango wa serikali? Je, ndo mbinu ya mkuu wetu kujinufaisha kupitia kwa mawaziri na tenda za ujenzi wa mashamba na mabarabara? Tunadhani ni Bashe kumbe ni makusudi tu, pesa ipondwe. Pikipiki pekee zilinunuliwa kwa mabilioni, bila hata sababu. Hatujaona manufaa yake sasa kuna mpango wa Bashe kwa vijana.

Alichosema Mdee yuko sahihi! Ni vibaya sana kutumia pesa za serikali kunufaisha wachache kwa jina eti vijana ktk kilimo. Yaonekana hata waziri hana ramani ya mikoa ya kilimo ktk nchi hii ndo maana anafungua mashamba Dodoma. Badala ya kujibu maswali bungeni kijana wa kisomali kaja na takwimu za mitandaoni na kujidai English ambayo imemkataa siku zote.

Hii imeniuma na nimekumbuka kwamba Bashe hakuzaliwa Tanzania. Amejiandikisha ili awe m-Tanzania, tena kwa mbinu nyingi na urafiki wa wanasiasa wetu. Kuna haja kubwa ya kuangalia nani anastahili kupewa nafasi za uwaziri kama ilivyo kwa nafasi ya rais.
Bashe ni akili kubwa nyie ngumbaru hamuwezi kumuelewa bakieni kujadili mambo madogo na matukio ya siasa..

Kwa taarifa Yako Bashe atakuwepo hapo Hadi ajenda 10/30 .

Mwisho mh.Rais tafuta Waziri mwenye akili kama Bashe kule Mifugo na Uvuvi Kuna hela ila hakuna watu wenye akili Wala maono walau awekwe hata Gwajima au Pro.Muhongo.
 
Back
Top Bottom