Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Waziri Bashe tafakari uwezo wako kabla hujaharibu kabisa sekta ya Kilimo

Kwenye mbolea wala usimzungumzie yeye mwenyewe kasema Kuna tatizo kubwa. Alafu kaficha ukweli wa hilo tatizo

Hebu angalia hapo mkoa kama katavi wenye wakulima wengi waliopata mbolea ni 10,000 tu

Mimi ni mmoja wa watu niliorudi na mtaji baada ya kumsikiliza sana nikaamua niingie kwenye kilimo nione, nimezunguka maeneo mengi kukusanya taarifa ili nianze sababu ya maneno yake. Mwisho wa siku nilijuta kupoteza muda wangu. Mbolea unapanga foleni duka 1, unasubiri kusajiliwa wiki nzima na bado mbolea huipati. Alafu wanatokea watu wanakuambia kuna mbolea za diliView attachment 2617925
Umeeleweka ulikwenda kujalibu kilimo ukakuta changamoto zake ukaludi ni sawa kabisa.
Shughuri ya kilimo ina wenyewe wewe sio shughuri yako ulitaka kujalibu ukashindwa .
Huwezi kutoa uthibitisho kama hukufanya jaribio
 
Umeeleweka ulikwenda kujalibu kilimo ukakuta changamoto zake ukaludi ni sawa kabisa.
Shughuri ya kilimo ina wenyewe wewe sio shughuri yako ulitaka kujalibu ukashindwa .
Huwezi kutoa uthibitisho kama hukufanya jaribio
Kujaribu? Kwani kabla ya mwekezaji yoyote kuwekeza si lazima afanye feasibility? Hata nchi huwa mara kadhaa wanakuja hapa wawekezaji wanafanya utafiti kama italipa au la, wakiona ni ngumu huwa wanaondoka.

Sio kilimo tu biashara yoyote lazima kwanza ufanye tafiti kabla ya kuanza, ukiona mambo hayapo vizuri unaachana nayo.
 
Niliona ile doc inasema 17 per hekta yaani 2.5 acres hiyo ni total cost ya barabara, kusafisha, kuchimba mabwawa ya kuhifadhia maji , kujenga canals za umwagiliaji, kupima afya ya udongo, kutandaza barabara, kusambaza umeme, kumpimia na kutoa hati kila plot
Asante mkuu.

Sasa kwa nini wasiongeze nguvu na kurekebisha au kuboresha mashamba yaliyoko sasa? Mengi tayari yana:-

1. Yamesafishwa na yanatumika

2. Yana barabara - pretty logical

3. Kutandaza barabara (is it road-networking?) - kama ndiyo; si kuna Wizara husika na mafungu ya bajeti?
Mfano tu; je nani atazihudumia hizo barabara 'za Bashe' huko mbeleni - je ni Wizara ya Kilimo au ya Ujenzi kupitia TARURA au TANROADS? Very suspicious.

4. Umeme - kama hiyo #3 hapo juu.

5. Hati - kama hiyo #4. - hili na la #4 hapo juu; kwa upande mwingine vinaaunganisha doti za "mtandao wa kifisadi" kwenye hii kitu. We cannot miss.

Fikiria tu Wahusika wa #4, 5 na Mwenye mkoba + Bashe.
 
Asante mkuu.

Sasa kwa nini wasiongeze nguvu na kurekebisha au kuboresha mashamba yaliyoko sasa? Mengi tayari yana:-

1. Yamesafishwa na yanatumika

2. Yana barabara - pretty logical

3. Kutandaza barabara (is it road-networking?) - kama ndiyo; si kuna Wizara husika na mafungu ya bajeti?
Mfano tu; je nani atazihudumia hizo barabara 'za Bashe' huko mbeleni - je ni Wizara ya Kilimo au ya Ujenzi kupitia TARURA au TANROADS? Very suspicious.

4. Umeme - kama hiyo #3 hapo juu.

5. Hati - kama hiyo #4. - hili na la #4 hapo juu; kwa upande mwingine vinaaunganisha doti za "mtandao wa kifisadi" kwenye hii kitu. We cannot miss.

Fikiria tu Wahusika wa #4, 5 na Mwenye mkoba + Bashe.
Mashamba yenyewe hayana hati za umiliki. Bashe anachokifanya kitakuja kubackfire vibaya sana.
 
Kujaribu? Kwani kabla ya mwekezaji yoyote kuwekeza si lazima afanye feasibility? Hata nchi huwa mara kadhaa wanakuja hapa wawekezaji wanafanya utafiti kama italipa au la, wakiona ni ngumu huwa wanaondoka.

Sio kilimo tu biashara yoyote lazima kwanza ufanye tafiti kabla ya kuanza, ukiona mambo hayapo vizuri unaachana nayo.
kama wewe umeona hailipi.
Kuna wanaoona inalipa na kuifurahia
Inapotengewa mafungu
Katika serikali hii ndipo budget ya kilimo imeongeZwa Sana watanzania wadau wa sekta hio wanufaike
 
kama wewe umeona hailipi.
Kuna wanaoona inalipa na kuifurahia
Inapotengewa mafungu
Katika serikali hii ndipo budget ya kilimo imeongeZwa Sana watanzania wadau wa sekta hio wanufaike
Nilichokujibu na ulichojibu hapa mbona ni tofauti?

Pia hiyo bajeti umesema ni kubwa, je imesaidia wapi na imesaidia nini? Nimekutolea mfano tu wa mbolea jinsi ilivyofeli
Hebu sasa niambie hiyo bajeti kubwa imefanikiwa kwenye nini?
 
Mashamba yenyewe hayana hati za umiliki. Bashe anachokifanya kitakuja kubackfire vibaya sana.
Hiyo Team Bashe, Januari, Mwigulu + Riziwani....... ni .hatari sana kwa mustakabali wa saasa wa nchi yetu na maendeleo ya vizazi vyetu. Halafu ina ma sub balaa wako pembeni nao wanasubiri 'zamu yao'.
 
kweli kabisa ndugu watanzania tuna ugonjwa wa kupinga kila kitu , Huu mradi baada ya miaka mitatu utawakomboa vijana wengi sana na kizazi kijacho watu watakimbilia mashambani
Sawa ndugu. Hata kama hautawakomboa kikubwa walau Serikali imejaribu kuwaza nje ya box. Kujaribu na kuanguka ndio njia ya kufanikiwa mbeleni.

Unajua watu wengine kila kitu ni kupinga tuuuuuuuu hata kama kuna mwanga mbeleni.
 
Ndugu umetembea nchi gani ukaona hiyo mifano? hapa Canada wakulima wote wamewezeshwa sana kuanzia barabara za lami mpka kufikia kila shamba , wanapewa ruzuku za mbolea na startups grants sisi watanzania tulivyo mbumbumbu tunataka mkulima ajitese mwenywe na tumpangie na bei ya kuuzia ndo maana kama nchi tumejaza wchuuzi na wauza genge kila mahali na bodaboda tu . BASHE NA SAMIA WANAJARIBU SANA KUMKOMBOA MTANZANIA SHIDA NI NYIE MABWEGE
Canada ya Nyoko hiyo! Mi pia niko Canada lakini yaonekana hujui kinachojadiliwa hapa! Hayo unayoyasema yangefanyika huko vijijini. Bashe wenu anafyeka mapori na kulima na kuwagawia vijana anaowakusanya toka Dar. Hiyo ndo Canada yako inavyofanya?
 
Umeeleweka ulikwenda kujalibu kilimo ukakuta changamoto zake ukaludi ni sawa kabisa.
Shughuri ya kilimo ina wenyewe wewe sio shughuri yako ulitaka kujalibu ukashindwa .
Huwezi kutoa uthibitisho kama hukufanya jaribio
Kwa hiyo anaowakusanya Bashe ni wakulima au wanafunzi wanaofundishwa kilimo?
 
kweli kabisa ndugu watanzania tuna ugonjwa wa kupinga kila kitu , Huu mradi baada ya miaka mitatu utawakomboa vijana wengi sana na kizazi kijacho watu watakimbilia mashambani
Kwa akili hii nawe unasubili ukombozi wa kilimo kweli? Lazima una tatizo kichwani. Bashe alibebwa na akina rostam na hapo anadeka huku akiiba. Yeye kishafungua mashamba mangapi?
 
Kwa hiyo anaowakusanya Bashe ni wakulima au wanafunzi wanaofundishwa kilimo?
Ni watoto wa wakulima ndiyo maana wako huko .wanafundishwa mbingu Bora za kilimo
watoto wa ma missiontown hawependi kilimo wanasubiri waivishe walulima wawapunje bei
Ikipanda walalamike waziri wa kilimo hafai
 
Canada ya Nyoko hiyo! Mi pia niko Canada lakini yaonekana hujui kinachojadiliwa hapa! Hayo unayoyasema yangefanyika huko vijijini. Bashe wenu anafyeka mapori na kulima na kuwagawia vijana anaowakusanya toka Dar. Hiyo ndo Canada yako inavyofanya?
Upo Canada ipi labda mbeba box jane and wilson au mitaa ya steels ambayo wote ni vibarua wa viwandani mimi nipo mitaa ya King city tunakaaa wafanyabiashara tunaojua kupata taarifa za uwekezaji
 
Upo Canada ipi labda mbeba box jane and wilson au mitaa ya steels ambayo wote ni vibarua wa viwandani mimi nipo mitaa ya King city tunakaaa wafanyabiashara tunaojua kupata taarifa za uwekezaji
Uwekezaji wa nini sasa? Zungumzia kilimo cha TZ. Bragging za niko Canada won't sell an inch of ideas among the mentally able people. Most braggarts are looser.
 
Kama anaiba na kuwekeza hapa hapa nchini haina shida.Huku ni kubadili tu matumizi au ni wizi mtakatifu.
 
Kuruani inashawishi mwislamu kumsaidia mwislamu mwenzako, siyo kafir! Sasa inaweza kuwa ni sifa kubwa aliyonayo bashe maana Bashe amekuwa ni raia wa kujiandikisha na wizi alifundishwa na akina Rostam Aziz na ndo walimsaidia kuwa raia. Leo hii eti anafaa hata kuwa waziri!

Lakini ktk kuruani 5:2 inashawishi kusaidia kwa njia iliyo safi. Hapa Bashe ni wizi mtindo mmoja na ndo maana mimi naamini hizi dini ni unafiki tu! Yaani unakuta watu wanajadili wizi kwa kutumia uhusiano wao wa dini!
Hii hoja yako ni wapi Bashe anatoka ni utumbo mtupu na naona unaiamini sana kiasi cha kuirudia kama vile ina mantiki.

Tukianza kuifuatilia asili ya kila mtu tutagundua kuwa hayupo mtanzania wa asili, wote ni wahamiaji wa miaka mingi.
 
Lakini Bashe namkubali.Anafanya kazi nzuri sana.
Ka mtu kadanganyifu tu! KIla siku kujidai na mambo ya uchumi kumbe alisoma marketing!

Mtu akishaanza udanganyifu wa maisha yake, hawezi kutusaidia. Nimekuta kule kwenye msg za zamani hata mwaka wa kuzaliwa anadanganya tu!
Date 2.png
Date1.png
 
Back
Top Bottom