Waziri Bashungwa alivyoanza kazi Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Waziri Bashungwa alivyoanza kazi Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Dah, migogoro ya ardhi tena!!! Mnaosema mwanamke hawezi kuwa wizara hiyo, mbona tunashindwa kutafakari? Amri jeshi kwa sasa si mwanamke? Je, amri jeshi na waziri nani mkubwa? Kwanza kule atakuweko waziri kwenye mambo ya utawala Ila sidhani kama ana nguvu za kuingilia mambo Yao kama inavyodhaniwa.
 
Dah, migogoro ya ardhi tena!!! Mnaosema mwanamke hawezi kuwa wizara hiyo, mbona tunashindwa kutafakari? Amri jeshi kwa sasa si mwanamke? Je, amri jeshi na waziri nani mkubwa? Kwanza kule atakuweko waziri kwenye mambo ya utawala Ila sidhani kama ana nguvu za kuingilia mambo Yao kama inavyodhaniwa.
Hauoni nchi inavyovurugwa sababu ya amri jesh kuwa n..
 
Hamna Waziri hapo
Ni BOMU, BOMU, BOMUUUUU. Nakuunga mkono hakuna waziri hapo. Rais hajaitendea haki Wizara nyeti kama hii. Duh balaaa tupu.

Hakufanya chochote TAMISEMI, licha ya kukurupuka tu na kutafuta sifa katika MEDIA. Huku aliko media haikariboshwi kiholela- ajiangalie.........
 
Siyo fikra za kijima,ndo ukweli wenyewe.Ikitokea vita huyo wa jikoni ataomba hiyo nafasi kuiacha mwenyewe
Acha dharau kwa kipi hasa kinachofanywa na mwanaume ambacho mwanamke hawezi yan wewe umeona kipya kipi ambacho kimemshinda yule mama aliyetolewa cjui unatokea vijiji vya wapi wewe ndugu
 
Tuache huyu Waziri ni mtulivu hata katika maongezi.
 
Back
Top Bottom