Nakumbuka plan ilikuwa kwamba ziwepo stand 3.Dar haipaswi kuwa na stand ya mabus moja
Sio Makalla viongozi wengi tu elimu zao niza kuunga unga mtu Kama waziri wa mambo ya ndani Simbachawene ambaye ni mwanasheria sijui kutoka chuo huria ukisikia argument zake za kisheria alafu ujaribu kuweka na argument kama za Lissu utabaki kushangaa tumakalla hata Elimi yake ni ya mashaka tu! mjinga mjinga anayefata upepo na kuroga sana.
alichokifanya ni KUPIGA DILI za Mabasi ya mwendokasi eti abiria washushwe wapande mwendokasi! mabasi 80 utegemee yahudumie watu elfu 70 kwa siku ni UPUMBAVU wa hali ya juu!
ufisadi hautaisha kwa kuchagua wahuni kama Makalla
Aisee enzi za maisha hizo acha kabisa!gari nyingi zilikua zikiondoka kuanzia saa 11 jioni hadi saa 3 usiku.hiyo ni nyanda za juu na kanda ya kati..Zamani kila basi lilikuwa na Stendi yake ila Kisutu ndio Moshi Arusha na Mnazi mmoja ilikuwa Nyanda za Juu kusini
Scandinavian walikuwa Congo st nyuma ya DDC
Bin Kleb walikuwa karibu na Yanga
Sharuks walikuwa Msimbazi
The Big Mayai walikuwa Kariakoo Sokoni
Nk...nk
Wakalanguana hapo katikatNakumbuka plan ilikuwa kwamba ziwepo stand 3.
1. Boko- kwa mabasi ya route ya kaskazini.
2. Mbezi- kwa mabasi ya route ya magharabi, nyanda za juu kusini, ukanda wa kati hadi kanda ya ziwa
3. Mbagala- kwa mabasi ya route ya kusini.
umenikumbusha sharuks nikiwa ifakara tunatoka jioni asubuhi mapema tunashusha mizigoZamani kila basi lilikuwa na Stendi yake ila Kisutu ndio Moshi Arusha na Mnazi mmoja ilikuwa Nyanda za Juu kusini
Scandinavian walikuwa Congo st nyuma ya DDC
Bin Kleb walikuwa karibu na Yanga
Sharuks walikuwa Msimbazi
The Big Mayai walikuwa Kariakoo Sokoni
Nk...nk
Kama sijakosea, kabla ya Makala kutamka ule ujinga wake huyu Bashungwa nae nakumbuka alishawahi kutamka kuwa ni LAZIMA tushushwe Mbezi, anyway business as usual, tengeneza tatizo tatua tatizo then jipongezeKuna abiria wanaoingia mkoa Dar es salaam na kushushwa katika stendi ya Magufuli lakini wanahitaji mabasi hayo yawafikishe mjini kwenye vituo vya mabasi vilivyojengwa na sekta binafsi, kwahiyo Mkuu wa Mkoa akikuta na wadau hao wataona namna nzuri ya kusimamia suala hilo” amesema Bashungwa
Na hapo kachelewa. Utaratibu wa Vituo vya Mjini vya Mabasi ambavyo vimejengwa kwa fedha zetu kutumika kutunyanyasa wananchi ni utaratibu wa viongozi ambao hawana uwezo wa kufikiri. Huu ni utaratibu wa kuwatafutia biashara wenye daladala na vishughuli vidogo kwenye miji hiyo bila kujali kero wanayowaanzishia abiria ambao wametoka masafa marefu ya safari zao kuanza safari upya kwenye stendi hizo. Utaratibu huo ulikuwepo hata kituo cha Mabasi Igumbiro Iringa na hapa Dar ndiyo wanauanzisha sasa. Dodoma ujinga huo haupo. Aidha kuna wenye mabasi ambao pamoja na kupitisha mabasi kwenye stendi hizo na kulipa tozo za mji huaika, wamejenga vituo vyao vizuri tu katikati ya miji. Hayo majengo na shughuli hapo walipo haziifaidishi hiyo miji? Wanataka majengo hayo yatumikeje? Hili wazo ni sawa na lile wazo marehemu la Makonda la "car sales rooms" zote Dar kusitishwa ili wahame na kuanza upya Kigamboni ! bila kueleza hizo sales rooms zinazoachwa zitatumikaje na kama hazitumiki kwa amri yake kama atawafidia waliojenga kihalali? Ingefaa Serikali au CCM kama inapenda kuonekana ina viongozi itoe mwongozo wa ujumla na siyo majadiliano wakati athari za utaratibu huo unaotaka kujadiliwa na suluhu yake ni wazi.BASHUNGWA ATOA MAAGIZO KUHUSU MALALAMIKO YA WANANCHI KATIKA STENDI WA MAGUFULI DAR ES SALAAM
Na OR-TAMISEMI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla kukutana na wadau na wamiliki wa mabasi ili kuweka utaratibu mzuri ambao ni shirikishi wa utoaji huduma kwa wananchi kwenye kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli Dar es salaam.
Bashugwa ametoa maelekezo hayo leo Agosti, 30, 2022 wakati akitoa ufafanuzi kuhusu malalamiko ya utoaji wa huduma kwa wananchi wanaoingia Mkoa wa Dar es salaam kupitia kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli.
Bashungwa amesema amekuwa akifuatilia kwa Ukaribu Malalamiko yanayotolewa na wananchi Kuhusu huduma zinazotolewa katika stendi ya Magufuli kwa abiria wanaoingia na kutoka katika mkoa wa Dar es salaam ambayo yanatafisiri vibaya malengo ya Serikali ya Kutenga bilioni 50 kujenga stendi hiyo.
“Kuna abiria wanaoingia mkoa Dar es salaam na kushushwa katika stendi ya Magufuli lakini wanahitaji mabasi hayo yawafikishe mjini kwenye vituo vya mabasi vilivyojengwa na sekta binafsi, kwahiyo Mkuu wa Mkoa akikuta na wadau hao wataona namna nzuri ya kusimamia suala hilo” amesema Bashungwa.
Aidha, Bashungwa amemtaka Mkuu wa Mkoa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) pamoja na wadau wengine ili kukubaliana na kuweka utaratibu utakaorahisisha utoaji wa huduma bora bila kuleta adha kwa wananchi wala kuadhiri malengo ya Serikali kujenga stendi hiyo.
Amesema Serikali inaweza kutimiza maelengo na Kusudi la Uwepo wa Stendi ya Magufuli bila kuwapa adha wananchi wanaolazimika kushushwa katika stendi na kuingia Kwenye gharama za kutafuta usafiri mwingine wa kuwafikisha mjini wakati yapo mabasi yanaweza kupita katika stendi na yakaendelea na safari ya kuwafikisha abiria Mjini.
Pia, Amefafanua kuwa dhamira ya Serikali ni kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi na kuendelea kuimarisha usalama wa wananchi na Wageni wanaoingia nchini kwa kutumia usafiri wa magari kwa kuwatambua kupitia stendi hiyo ambayo kuna idara ya Uhamiaji na vyombo vingine vya usalama.
Kwa kuondoa changamoto ambazo zimekuwa zikilalamikiwa bila kuathili uwekezaji uliofanywa na sekta binafsi nchini.
Makala ni bomu kiutendaji.BASHUNGWA ATOA MAAGIZO KUHUSU MALALAMIKO YA WANANCHI KATIKA STENDI WA MAGUFULI DAR ES SALAAM
Na OR-TAMISEMI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla kukutana na wadau na wamiliki wa mabasi ili kuweka utaratibu mzuri ambao ni shirikishi wa utoaji huduma kwa wananchi kwenye kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli Dar es salaam.
Bashugwa ametoa maelekezo hayo leo Agosti, 30, 2022 wakati akitoa ufafanuzi kuhusu malalamiko ya utoaji wa huduma kwa wananchi wanaoingia Mkoa wa Dar es salaam kupitia kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli.
Bashungwa amesema amekuwa akifuatilia kwa Ukaribu Malalamiko yanayotolewa na wananchi Kuhusu huduma zinazotolewa katika stendi ya Magufuli kwa abiria wanaoingia na kutoka katika mkoa wa Dar es salaam ambayo yanatafisiri vibaya malengo ya Serikali ya Kutenga bilioni 50 kujenga stendi hiyo.
“Kuna abiria wanaoingia mkoa Dar es salaam na kushushwa katika stendi ya Magufuli lakini wanahitaji mabasi hayo yawafikishe mjini kwenye vituo vya mabasi vilivyojengwa na sekta binafsi, kwahiyo Mkuu wa Mkoa akikuta na wadau hao wataona namna nzuri ya kusimamia suala hilo” amesema Bashungwa.
Aidha, Bashungwa amemtaka Mkuu wa Mkoa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) pamoja na wadau wengine ili kukubaliana na kuweka utaratibu utakaorahisisha utoaji wa huduma bora bila kuleta adha kwa wananchi wala kuadhiri malengo ya Serikali kujenga stendi hiyo.
Amesema Serikali inaweza kutimiza maelengo na Kusudi la Uwepo wa Stendi ya Magufuli bila kuwapa adha wananchi wanaolazimika kushushwa katika stendi na kuingia Kwenye gharama za kutafuta usafiri mwingine wa kuwafikisha mjini wakati yapo mabasi yanaweza kupita katika stendi na yakaendelea na safari ya kuwafikisha abiria Mjini.
Pia, Amefafanua kuwa dhamira ya Serikali ni kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi na kuendelea kuimarisha usalama wa wananchi na Wageni wanaoingia nchini kwa kutumia usafiri wa magari kwa kuwatambua kupitia stendi hiyo ambayo kuna idara ya Uhamiaji na vyombo vingine vya usalama.
Kwa kuondoa changamoto ambazo zimekuwa zikilalamikiwa bila kuathili uwekezaji uliofanywa na sekta binafsi nchini.