Waziri Bashungwa awataka waliojenga Barabarani kubomoa nyumba zao kupisha upanuzi wa barabara

Kwan tunakimbia wap?..kuna sehemu unayoweza kuita imeendelea hapa Tanzania

Hii ndo stendi kuu ya daladala inayojengwa hapo bukoba mjini kati...

Nimependa viongozi wa Bukoba hawakurupuki kama viongozi wa manispaa nyingine walivyo...
Wanajenga stendi ya daladala mjini kati na mabasi nje kidogo ya mji...
Sio kama wale malaza wa kule morogoro waliojemga stendi ya daladala mbali na mji sijui wanamjemgea nani....
Ukiondoa mwemge Dar...hii ya Bukoba itakuwa ni moja ya stendi bora kabisa ya daladala tz hii
 
Project za Bukuba zikikamilika wahaya watatutesa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Saizi wasirogane wakaleta maneno tena
Wameishajifunza...yalitokea 2012 sidhani kama yatajirudia...bukoba ilikuwa imefreeze kwa muda sasa...

Wananchi wake wanapenda maendeleo...ona walivyovunja nyumba haraka sana ndani ya siku kumi tu kupisha upanuzi wa barabara kuwa njia nne
 
Hata mfike wapi dada zenu wataendelea kuliwa na kujiuza
Kwan dada zenu ndo hawajiuzi?...

Ndo kazi yao wanawake...wameumbwa kuliwa na wataliwa sana...wote kuanzia mother yako hadi mtoto wako wa kike wataliwa sana tena wengine kwa mparange kabisa...

Hakuna jipya hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…