ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Aliyewadanganya kafaNdio nasema,
Kwa kuwa Nia ya Ujenzi wa Bwawa la umeme Nia ilikuwa ni kupunguza gharama za uzalishaji umeme Ili kumnufaisha mtanzania,
Tunamshauri Waziri Biteko ayatie chachu Maharage Ili aje na viongozi wa bodi wengine wataoendana na VISION hiyo.