Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahi pia kusikia Ule uvundo wa Maharage ulopelekwa TTCL ukipelekwa Posta master.Hatimaye masikio ya samia yamezibuka😁😁😁😁
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani
Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi
Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya
Rais apunguze kuziba masikio 😕
Maharagwe yamechacha.Hatimaye masikio ya samia yamezibuka😁😁😁😁
WATANZANIA walipiga kelele nyingi sana baada ya januari na maharage na bodi mpya kuteuliwa wakapuuzwa sasa matokeo yameprove wamefeli vibaya nchi iko gizani
Aibu kwa samia na mamlaka yake ya uteuzi waliteuwa kimihemko badala ya kuangalia weledi ona sasa kamrudisha Mhandisi kuwa Mkurugenzi
Na bodi kaiweka Mwenyekiti mpya
Rais apunguze kuziba masikio 😕
DahhjSalaam, hongera Kwa Uchapakazi murua. Twende haraka kwenye mada.
Tuliambiwa hata baada ya Bwawa la Mwalimu Nyerere kukamilika, bado Bei za umeme zitaendelea kuwa pale pale.
Naamini wewe ni mmoja wa viongozi ambao hawajavimbiwa.
Sikulazimishi, ila nakushauri, wafukuze wote waliotukera wananchi.
Vunja bodi yote uanze upya.
Karibuni🙏
Mungu mkubwaNimefurahi pia kusikia Ule uvundo wa Maharage ulopelekwa TTCL ukipelekwa Posta master.
Angetuharibia shirika letu mama wa mawasiliano lenye kumiliki mkongo wa Taifa.
Kwamba🤔Avunje bodi ambayo mwenyekiti wake ni Omary Issa? Omary Issa ni inner circle/cycle ya mama. Wajumbe ni Nehemia Mchechu! Bodi nzito ile.
Hapana chezea head of state.Kwamba🤔
Nimefurahi pia kusikia Ule uvundo wa Maharage ulopelekwa TTCL ukipelekwa Posta master.
Angetuharibia shirika letu mama wa mawasiliano lenye kumiliki mkongo wa Taifa.
Kwann tumjue?Tatizo la watu wengi hapa hatumjui Mr Maharage Bali vichwani mwetu tumejaza Maharage ya Mbeya, Subirini Subirini Subirini