TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

km kweli ni pigo kubwa kwetu wanaulanga hakika mungu atakuwa ametunyang'anya mama mpambanaji. RIP OUR MP

Tunasikitika amefariki lakini hakuwa mpambanaji kwa ajili ya wana Ulanga, bali kwa ajili ya familia yake na ndugu zake.
 
Nasikitika Kuwapa taarifa ya kifo cha Waziri wetu, Celina Kombani kilichotokea huko India..

Celina.jpg


Celina Ompeshi Kombani (19 June 1959 - 24 September 2015) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ulanga East constituency since 2005.

She was the Minister of State in the President's Office for Public Service Management.
R. I. P mama Celina Kombani.
 
Nasikitika Kuwapa taarifa ya kifo cha Waziri wetu, Celina Kombani kilichotokea huko India..

Celina.jpg


Celina Ompeshi Kombani (19 June 1959 - 24 September 2015) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ulanga East constituency since 2005.

She was the Minister of State in the President's Office for Public Service Management.
R. I. P mama yetu celina Kombani.
 
Mungu amlaze mahali pema peponi mungu amemchukua mapema kabla hajamuona rais lowasa akiapishwa uwanja wa taifa
 
RIP mama, poleni sana familia ya marehemu.Mungu awape moyo wa uvumilivu kipindi hiki mnachoputia.
 
Rip mama celina kombani. Alikuwa mkweli kabisa. Alituambia katiba mpya haiwezekani. Akiwa waziri wa sheria. Lakini tukaruhusu raisi atudanganye.
 
Back
Top Bottom