DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Haya ndiyo maoni ya kwenda kuwasilisha kule kwenye timu yetu ya kisekta Ili waone Jinsi ya kufanya kupitia wizara husika yenye dhamana na maeneo haya na huduma za maeneo haya.
 
..beach boyz ni kero.

..kwenye nchi za wenzetu hakuna mambo ya kusumbuliwa na wachuuzi wa bidhaa mbalimbali wakati umepumzika beach.

..pale beach panatakiwa pawe na watu wa uokoaji na watalii wanaopumzika au kuogelea. Mtembeza bidhaa asiruhusiwe kufika ufukweni na kuisumbua wateja.

..ng'ambo ya beach ndio kunapaswa kuwe na maduka ya bidhaa mbalimbali na migahawa.
 
Nadhani Kuna umuhimu wa kumuanzishia UZI maalum wa Dr. Dorothy Gwajima kwa ajili ya kujibu hoja zetu.

Nadhani ingesaidia sana na ingeacha legacy kubwa sana Maxence Melo
 
Mkiyataka hayo nendeni beach ambazo watu wamewekeza pesa zao kuifanya sekta ya beach kuwa na hadhi nchini.
Mnaenda changanyikeni cocobeach ambapo hadi mbwa coco wanaogelea mnategemea nini?
Vitu vingine ni kujiongezaga tu.
 
Tatizo la huyu bibi ni udini, ungekuwa dini yake ungepewa kila aina ya sifa.

Labda noseme kidogo;.Ukiwa KIONGOZI ni vyema ukajifunza kuyasikia usiyotaka kuyasikia.

Ukosoaji wa FaizaFoxy japo uko very harsh lakini ukiukubali inaweza kukusaidia kufanya kitu.

pokea sifa pokea na ukodoaji.

mimi binafsibnakushukuru kuna vitu kadhaa niliwasilisha kwako uli respond vizuri...asante kwa hayo.

pia siachi kukishauri uongeze bidii kwa ubunifu kuifanya jamii yetu kuwa bora..
Asante

 

Mkuu umetoa ushauri makini! Nakuunga mkono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…