Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Yaani huyu FaizaFoxy yy ana lake tu lingine na mimi. Ni fumbo la Imani. Wenzake wote wataona ila yy hapana. Ni kama ile Hadith ya wale 99 mmoja amepotea. Abarikiwe tu. Nishamzoea kama wengine walivyomzoea. Kaziiendelee...Jiheshimu wewe bibi. Kaunde serikali yako uifanyie reform. Waziri Gwajima ni mchapakazi na ni mfano wa kuigwa. Narudia tena JIHESHIMU BIBI. ACHA KUOTA MAPEMBE
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app