#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Dah kumekucha kampeni za Chanjo hizi mpaka kwenye tendo ni hatari sana.

kuwa Na watu kama hawa kuongoza ni shida
Kitu gani kimembadilisha mbona alikuwa smart sana kwenye Serikali iliyopita
 
...Dah, huyu Mama naye! Si mtu mzima huyu??
 
Mitambo ipi?
 
Haya mabadiliko madogo yanaweza kupita naye
CCM inapenda Kama hao.
Mtu Kama Kimei kila mtu anajua kwamba Ni competent lkn aliachwa kachukuliwa Madeluh.
Kuna madaktari kibao competent ambao wangepewa ubunge na kupandishwa uwaziri lkn Doro kachukuliwa.
Kuna maprofesa kibao ambao wangeteuliwa ubunge Tena wanaojua lugha mbali mbali lkn kateuliwa Dada joy.
Hii inakupa picha gani?
Competence is not an overriding factor.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…