Mkifundishwa kwa mifano mtaelewa zaidi maana tarakimu haziwaingii akilini! sioni kosa kisayansi waziri kutupa taarifa za kweli! kwani unapobeba mimba nani asiyejua kuwa uligegedwa kwanza tena bila kinga ndio mimba ikatungwa!?Ni kweli liko palepale ila sio agenda ya kitaifa, ni suala binafsi halituhusu, kila mtu akitangazia uma kwamba ametestiwa mitambo unapata picha gani, ummy nae atangaze, mama samia nae atangaze, aje dr molell nae atangaze alivyotest mitambo, dr mpango nae... unadhani tutakua taifa la namna gani?
I wonder kwa kweliWalitaka asielezee furaha ya mchezo anaoupenda
[emoji23][emoji23]huyu waziri gwajima alikuwa ananichefua sana,ila baada ya mda naona ndio hulka yake jinsi alivo na anavoongea tuUnakoelekea mh... kuna jambo limekusibu.
Magu alimtumbua kwa mihemko tu na ugeni wa nafasi mbona kina bashite sabaya walifanya madudu na hakuwatumbua kabisaMkuu Unakumbuka Magu na Kitwanga walivyokuwa marafiki?ilikuaje mwishoni
Watu Wana mlaumu tu bure huyo waziri kwanza madaktari husema vitu direct bila kuficha, sasa why blame Waziri kwa kuonyesha demonstration alichopitiaMkifundishwa kwa mifano mtaelewa zaidi maana tarakimu haziwaingii akilini! sioni kosa kisayansi waziri kutupa taarifa za kweli! kwani unapobeba mimba nani asiyejua kuwa uligegedwa kwanza tena bila kinga ndio mimba ikatungwa!?
Mtambo grisi ilikaukaWaziri kama waziri katestiwa mitambo
Me too...I love her π€£
Exactly!She's so genuine! hanaga mambo ya mchakato au upembuzi yakinifu anasema ukweli in a very short words!
..Madaktari wa Tiba..Watu Wana mlaumu tu bure huyo waziri kwanza madaktari husema vitu direct bila kuficha, sasa why blame Waziri kwa kuonyesha demonstration alichopitia
Huyo sio mwanasiasa ni dakitari kwa fani tena mzoefu! Muangalieni tu vitu anavyofanya hadharani, vyote lazima aulize swali, atoe mfano na akupe jibu! Wanasiasa hawapendi ukweli ndio maana wanamlaumu walitaka aje na mambo ya mchakato mara upembuzi yakinifu na ujinga ujinga uongo kibao! Good job mama!Watu Wana mlaumu tu bure huyo waziri kwanza madaktari husema vitu direct bila kuficha, sasa why blame Waziri kwa kuonyesha demonstration alichopitia
Daah huyu mwanamke naye Mungu anamuona kwa maneno yake.WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =β· Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
Watanzania wengi mtu akielezea ukweli wa jambo hushambuliwa sana tu, but sijaona kosa hapo la WaziriHuyo sio mwanasiasa ni dakitari kwa fani tena mzoefu! Muangalieni tu vitu anavyofanya hadharani, vyote lazima aulize swali, atoe mfano na akupe jibu! Wanasiasa hawapendi ukweli ndio maana wanamlaumu walitaka aje na mambo ya mchakato mara upembuzi yakinifu na ujinga ujinga uongo kibao! Good job mama!
Hapo wazee wakatiba mpya wanatolewa kwenye line taratibu,Hii nchi ni mwendo wa kiki tu mpaka kitaeleweka.WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
View attachment 1896987
Elewa kwamba Dr. Gwajima hakuzungumzia kutestiwa mitambo akiwa Bar analewa, bali alikuwa ana hamasisha umma ili wawe na imani na chanjo ya corona. Haswa ikizingatiwa kwamba chanjo ya corona imekuwa ikihusishwa na upotoshaji mwingi sana.Ni kweli liko palepale ila sio agenda ya kitaifa, ni suala binafsi halituhusu, kila mtu akitangazia uma kwamba ametestiwa mitambo unapata picha gani, ummy nae atangaze, mama samia nae atangaze, aje dr molell nae atangaze alivyotest mitambo, dr mpango nae... unadhani tutakua taifa la namna gani?
Nileteeni Gwajima nae akadandia humo humo.Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Ni lazima kusema hayaWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =β· Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha