Chipsi na mayaiWanaume wa Dar mnapenda sana mambo ya nguvu za kiume, waziri kaona apige umo umo.
Hahahahaha hofu yangu nisije nikaanza kumwelewa zaidi na zaidiLazima umuelewe,ni mambo yako hayo...,[emoji12]
Anaupiga mwingi πMaza anaropokwa sana yani
Sio masihara kinachofata mabaharia wataruka nae huyuπAnaupiga mwingi π
Ukipiga vitu vyako vile lazima umuelewe πHahahahaha hofu yangu nisije nikaanza kumwelewa zaidi na zaidi
Woiii,.hata mimi ningeruka nae naachaje kutesti mitambo sasa kwa mfano ππSio masihara kinachofata mabaharia wataruka nae huyuπ
Eeh kama mbwai na iwe mbwai tu πWoiii,.hata mimi ningeruka nae naachaje kutesti mitambo sasa kwa mfano ππ
Ngoja nikuache kijanaKuwa na adabu mamako huyo utapata laana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namwelewa sana huyu mama[emoji1787][emoji1787]
Ungejivunia sana ila ndiyo siyo your mother that why umeandika hivyo π!.Huyu maza huyu dah πππ angekuwa maza angu sijui sura ningeificha wapi akyanani
Kama Dk. Shika (rip) hahahahNAOMBA kuuliza Kama huyu mama kasoma URUSI
anakila dalili za kuonesha kasoma huko Nina anko wangu kasoma huko yaan wanafanana kitabia na huyu mama kabisa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app