Waziri Doto Biteko kapelekwa Nishati kuangushiwa jumba bovu

Waziri Doto Biteko kapelekwa Nishati kuangushiwa jumba bovu

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua. Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama.

Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja. Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza.

Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi. CCM wana siasa mbaya sana.

Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.

Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
 
Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua...... Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama......

Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja..... Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza......

Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi.... CCM wana siasa mbaya sana.

Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.

Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
Ubora wa mtu huonekana katika "majukumu mazito"...

Ya "collective responsibility"...

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mpumbavu sana mtoa uzi

Si mlikuwa mnamlaumu January Kila umeme ukizima, Sasa nini kinafanya msimlaumu Sukuma mwenzio huyo. Jinga kabisa.

Mlianza kumlaumu January masaa mawili tu tangu achaguliwe uwaziri wa nishati hadi akawa anawaomba mumpe muda, sasa midomo hiyo hiyo inasita nini kumlaumu Dotto kwa shida ya umeme hii inayoendelea?
 
Mpumbavu sana mtoa uzi

Si mlikuwa mnamlaumu January Kila umeme ukizima, Sasa nini kinafanya msimlaumu Sukuma mwenzio huyo. Jinga kabisa.

Mlianza kumlaumu January masaa mawili tu tangu achaguliwe uwaziri wa nishati hadi akawa anawaomba mumpe muda, sasa midomo hiyo hiyo inasita nini kumlaumu Dotto kwa shida ya umeme hii inayoendelea?
Tatizo lako wewe hujui Kusoma na kuandika
 
Biteko yuko sehemu sahihi sana.

Sema Tanzania kumejawa na watu walalamishi, mgao ukianza week ijayo, basi wataanza mlaumu Biteko.

Nnachojua mimi Biteko akidumu hadi 2025 kutakuwa na mabadiliko makubwa sana upande wa Nishati. Kuanzia maswala ya umeme, gesi naa hata mafuta.

Mabadiliko makubwa yanahitaji si chini ya mwaka mmoja tofauti ionekane.
 
Biteko yuko sehemu sahihi sana.

Sema Tanzania kumejawa na watu walalamishi, mgao ukianza week ijayo, basi wataanza mlaumu Biteko.

Nnachojua mimi Biteko akidumu hadi 2025 kutakuwa na mabadiliko makubwa sana upande wa Nishati. Kuanzia maswala ya umeme, gesi naa hata mafuta.

Mabadiliko makubwa yanahitaji si chini ya mwaka mmoja tofauti ionekane.
Mbona makamba alianza kulaumiwa wiki hiyo hiyo alivyoingia ofisini? Mbona yeye hakupewa mwaka mmoja mabadiliko yaonekane
 
Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua...... Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama......

Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja..... Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza......

Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi.... CCM wana siasa mbaya sana.

Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.

Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
Kwani biteko ni waziri wa nishati au naibu waziri mkuu?
 
Lawama zibaki kwa kipara tukimlaumu Mh Naibu Waziri tunamuonea

kipara makamba ndio kaacha nchi gizani
 
Back
Top Bottom