TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
We January ndio umeamua kuturushia hii video tukuone ulivyokimbizwa nishati na mama abdul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We January ndio umeamua kuturushia hii video tukuone ulivyokimbizwa nishati na mama abdul
Wacha kuchonga ngenga tuliza kipago, JM yupo Gado. 😁We January ndio umeamua kuturushia hii video tukuone ulivyokimbizwa nishati na mama abdul
Unatutambia eeh wakati umetuachia nchi gizaniWacha kuchonga ngenga tuliza kipago, JM yupo Gado. 😁
View attachment 2748369
Ukiona watu waliona mbali na ni kweli kwa matarajio ya wengi makamba alifeli,cha ajabu mtu aliefeli kahamishwa badala ya kupumzishwaMbona makamba alianza kulaumiwa wiki hiyo hiyo alivyoingia ofisini? Mbona yeye hakupewa mwaka mmoja mabadiliko yaonekane
Utafungua uzi kuhusu JM mpaka uchoke, ndio kwanza sasa hivi ni country top top Diplomat Bwa Mdogo.Unatutambia eeh wakati umetuachia nchi gizani
Kwanza angefutwa kazi alieharibu wizara kisha akateuliwa mwingineKwahiyo mlikua mnataka nani aangushiwe jumba bovu? Watu mna roho mbaya sana
Kwanza angefutwa kazi alieharibu wizara kisha akateuliwa mwingine
Zanzibar anakwenda kwa Charted flight....!!! Wakati Naibu Waziri Mkuu anapanda Boti....!!! Kweli Kuna watu maalumu wa kutafuna chakula cha nyuki! Ha ha haaaa!Unatutambia eeh wakati umetuachia nchi gizani
Yaani we acha tuZanzibar anakwenda kwa Charted flight....!!! Wakati Naibu Waziri Mkuu anapanda Boti....!!! Kweli Kuna watu maalumu wa kutafuna chakula cha nyuki! Ha ha haaaa!
2025 mwisho tuko hapaUtafungua uzi kuhusu JM mpaka uchoke, ndio kwanza sasa hivi ni country top top Diplomat Bwa Mdogo.
Na bado.
Asingekuwepo Inchaji, watu tungemwagishana radhi. Alhamdulilah, Mungu sio TikTok2020 😁2025 mwisho tuko hapa
Ni kweli , kuna watu waliisha haribu, lakini Hali hii ya kukatika katika Kwa umeme inaonekana ilitokana na Waziri kuwepo huyu WA Sasa Biteko.Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua. Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama.
Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja. Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza.
Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi. CCM wana siasa mbaya sana.
Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.
Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
Hakuna cha inchaji wala nini believe me....kwanza watanzania hawakupendi kabisa wanajua unabebwaAsingekuwepo Inchaji, watu tungemwagishana radhi. Alhamdulilah, Mungu sio TikTok2020 😁