Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
January ni mbuzi wa kafara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha umepanicWapumbavu ni nyie msiokuwa na dira ya maendeleo
Ndezi Hilo limejaa ukabila tuHahaha umepanic
Wao wanatamani kila panapoharibika basi Makamba ahusishweKwahiyo mlikua mnataka nani aangushiwe jumba bovu? Watu mna roho mbaya sana
Safi sanaNdio mjue kuwa tatizo sio mtu binafsi ni mfumo mzima.
Mnaanza kujihami mapema?!
Pambaneni!
Mlimkalia kooni Januari ,
Haya sasa wachawi mmepewa mwana mumlee [emoji3][emoji28]
Ndio nasema lawama nyingine zimekaa kisiasa hazijengi chochote.Mbona makamba alianza kulaumiwa wiki hiyo hiyo alivyoingia ofisini? Mbona yeye hakupewa mwaka mmoja mabadiliko yaonekane
Ni jumba bovu ndiyo maanaMpumbavu sana mtoa uzi
Si mlikuwa mnamlaumu January Kila umeme ukizima, Sasa nini kinafanya msimlaumu Sukuma mwenzio huyo. Jinga kabisa.
Mlianza kumlaumu January masaa mawili tu tangu achaguliwe uwaziri wa nishati hadi akawa anawaomba mumpe muda, sasa midomo hiyo hiyo inasita nini kumlaumu Dotto kwa shida ya umeme hii inayoendelea?
Uwa anaenda kuchukua mashairi ya vichambo kwa mama zuchu.Mama abduli rafiki wa adija kopa kwa vichambo ila mmoja ndio raisi mwengine muimba taarabu sema kakosa mshindani nakumbuka nasma [emoji19]
Mteuzi wake mwenyewe ni Jumba bovu sasa jumba lipi litamwangukia.Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua...... Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama......
Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja..... Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza......
Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi.... CCM wana siasa mbaya sana.
Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.
Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
Kuna kitu hakija kaa sawa.Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua...... Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama......
Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja..... Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza......
Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi.... CCM wana siasa mbaya sana.
Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.
Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
Ndio mjue kuwa tatizo sio mtu binafsi ni mfumo mzima.
Mnaanza kujihami mapema?!
Pambaneni!
Mlimkalia kooni Januari ,
Haya sasa wachawi mmepewa mwana mumlee [emoji3][emoji28]
Mshindani si mama Anna tibaijuka🤣🤣Mama abduli rafiki wa adija kopa kwa vichambo ila mmoja ndio raisi mwengine muimba taarabu sema kakosa mshindani nakumbuka nasma [emoji19]
Lakini kinachoshangaza wengi ni kwamba mbona katika kipindi cha mwendazake na Kalemani wake katikakatika ya umeme haikuwa hivi ??!Mbona makamba alianza kulaumiwa wiki hiyo hiyo alivyoingia ofisini? Mbona yeye hakupewa mwaka mmoja mabadiliko yaonekane
Sio kweli, mgao ulianza rasmi june 2020, toka wakati ule tatizo la mgao limekuwa likiongezeka kila muda unavyoenda. Nakumbuka wakati wa kampeni ya uchaguzi wa 2020 kulikuwa na mgao wa kila mara.Acha uongo makamba kachukua wizara chini ya Mh Kalemani na umeme ulikuwa wa kumwaga kaingia yeye ndio kavurunda
Sasa si ndio anatakiwa kurekebisha au? Kwani nini maana ya kuwa Kiongozi? Sukuma gang mbona mna nongwa sana nyie?Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua...... Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama......
Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja..... Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza......
Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi.... CCM wana siasa mbaya sana.
Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.
Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.
Kivipi ?January ni mbuzi wa kafara
Hii ni mpaka 2030 vumilieni tu hakuna namnaMgebaki hivyo hivyo wa pwani wezi wezi muue kabisa Tanesco au kuwapa DPW
Amelazimishwa? Hana akili? Kwa nini asikatae?Ukiwa unaangalia mambo kwa weledi hilo ndo utagundua...... Makamba kashaharibu kila kitu afu mtoto wa watu DOTO ndo anapelekwa kusulubiwa na kuvikwa walama......
Wakubwa walishachungulia mgao wa umeme mkali unakuja..... Ili kumsafisha kipara wakampeleka mambo ya nje kwenye lawama chache na kumwacha Biteko na wizara ya nishati iliyooza......
Pengine ni kupunguza makelele ya watanzania kwa kipara maana anageendelea kuharibikiwa zaidi.... CCM wana siasa mbaya sana.
Kwa mgao wa umeme Doto Biteko hatutakuonea Huruma umeyataka mwenyewe tutakutwanga nyundo nakukuchafua shatI lako iwezekanavyo.
Ingekuwa ni mimi ningesema asante mama kwa uteuzi ila sitaweza kusimamia hii wizara ya nishati na mambo mengi binafsii.