johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yaani ana roho safi sana. Wajanja ndio walimleta mizengwe kwa kupenyeza ajenda zao wakati wa utawala wake. Mama Samia ajifunze kitu. Sio kila mtu anaaminika 100%Mzee ana roho nyeupe ndio maana ameishi miaka mingi, he is 96 today.
Ni mzanzibari hivi. Jina limenitokaKatika kitabu cha kuelezea maisha yake mstaafu Mwinyi anasema alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani Waziri aliyechukua nafasi yake alimtaka ahamishe haraka mizigo yake ili yeye ahamie kwenye nyumba ya serikali aliyokuwa anakaa mzee Mwinyi.
Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya mikocheni kwa mwalimu, yule waziri akamdhulumu.
Pamoja na ubazazi na udhulmati wa waziri huyo lakini mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa JMT alimchukua waziri huyo kwenye baraza lake la mawaziri.
Waziri huyo ni nani?
Wahenga Pascal Mayalla, Mohamed Saidi na Mrangi nikumbusheni!
Kazi Iendelee.
Bwashee kumbuka, Wewe ulikua hiyo hiyo ccm madhulumati na Bado Upo huko, hata kama mwanakwendazake hatunaye!Katika kitabu cha kuelezea maisha yake mstaafu Mwinyi anasema alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani Waziri aliyechukua nafasi yake alimtaka ahamishe haraka mizigo yake ili yeye ahamie kwenye nyumba ya serikali aliyokuwa anakaa mzee Mwinyi.
Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya mikocheni kwa mwalimu, yule waziri akamdhulumu.
Pamoja na ubazazi na udhulmati wa waziri huyo lakini mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa JMT alimchukua waziri huyo kwenye baraza lake la mawaziri.
Waziri huyo ni nani?
Wahenga Pascal Mayalla, Mohamed Saidi na Mrangi nikumbusheni!
Kazi Iendelee.
Katika kitabu cha kuelezea maisha yake mstaafu Mwinyi anasema alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani Waziri aliyechukua nafasi yake alimtaka ahamishe haraka mizigo yake ili yeye ahamie kwenye nyumba ya serikali aliyokuwa anakaa mzee Mwinyi.
Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya mikocheni kwa mwalimu, yule waziri akamdhulumu.
Pamoja na ubazazi na udhulmati wa waziri huyo lakini mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa JMT alimchukua waziri huyo kwenye baraza lake la mawaziri.
Waziri huyo ni nani?
Wahenga Pascal Mayalla, Mohamed Saidi na Mrangi nikumbusheni!
Kazi Iendelee.
Roho ya mwendazake ilijaa kutu za chuki mpk umeme wa pacemaker ukakatika.Mzee ana roho nyeupe ndio maana ameishi miaka mingi, he is 96 today.
Hassan Nassoro MoyoNi mzanzibari hivi. Jina limenitoka
Reference; MwendazakeHuyu mzee yupo vizur sana mungu amtunze miaka tele, Wangekua wengine wangesha weka chuki na angemsotesha
Alikwenda na mali ya dhurumaLate Major General Abdalah Natepe
Sio yeye angalia jedwali hapo la mawaziriAlikwenda na mali ya dhuruma