johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika Kitabu cha kuelezea maisha yake Mstaafu Mwinyi anasema alipojiuzulu Uwaziri wa Mambo ya Ndani Waziri aliyechukua nafasi yake alimtaka ahamishe haraka mizigo yake ili yeye ahamie kwenye nyumba ya Serikali aliyokuwa anakaa Mzee Mwinyi.
Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya Mikocheni kwa Mwalimu, yule Waziri akamdhulumu.
Pamoja na ubazazi na udhulmati wa Waziri huyo lakini Mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimchukua Waziri huyo kwenye Baraza lake la Mawaziri.
Waziri huyo ni nani?
Pia, soma=> Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi
Mzee Mwinyi alishindwa kuhamisha vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake ya Mikocheni kwa Mwalimu, yule Waziri akamdhulumu.
Pamoja na ubazazi na udhulmati wa Waziri huyo lakini Mzee Mwinyi alipochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alimchukua Waziri huyo kwenye Baraza lake la Mawaziri.
Waziri huyo ni nani?
Pia, soma=> Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi