IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 760
- 823
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu George Simbachawene amewaonya wale wanaokusanyika ama kuandaa mafumanizi kuwa hilo ni Jambo lililo kinyume cha sheria hivyo ukifanya hivyo utakamatwa .
Amedai watu waachwe maana hizo ni faragha zao.
Chanzo: Mwananchi online.
Tuongee kikubwa ,kumbe sheria ya faragha inaruhusu hadi kunyandua mbususu za wake za watu?
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ndugu George Simbachawene amewaonya wale wanaokusanyika ama kuandaa mafumanizi kuwa hilo ni Jambo lililo kinyume cha sheria hivyo ukifanya hivyo utakamatwa .
Amedai watu waachwe maana hizo ni faragha zao.
Chanzo: Mwananchi online.
Tuongee kikubwa ,kumbe sheria ya faragha inaruhusu hadi kunyandua mbususu za wake za watu?
Ni kosa kuua mwizi na watu wanaua wezi kila siku..
We ukifumaniwa ukalawitiwa utaenda polisi??Polisi wenyewe wakifumaniwa wanaliwa...
Huko polisi utaenda sema nini?Kama hawajakucheka na kukwambia tutafatilia...
Kaa mbali na wake za watu kwa usalama wako
Mshara wa dhambi ni mauti, bali karama ya roho ni uzima wa milele
Kama una cheti cha ndoa nenda kafumanie. Tuache haya mambo ya kizushi
inahuuu haya hii hapa uhalali upo wapiHiyo video yenyewe ipo wapi tuione
Ahahaaaha kwamba wahuni wapige nyanga lake au! Afu unakuta muhuni kaukalia mzingo anaukanyaga kavu afu unaongea kwa sauti ya pwapwapwa twatwatwa fyokofyokonko ebwanaeee mbona nyumba inaunguaHaifai kuombeana mabaya, lakini kwa waziri huyu yakimkuta atatamani abadili hii sheria! Ngoja yamkute!!
Kichwa chako kina wadudu😂Hapo kwenye " kupaka mafuta" tunahitaji maelezo ya kina kidogo ..
Mkuu, embu jaribu kuwa muwazi basi!?Wizi ni kosa la jinai ambalo lina adhabu zake kabisa mahakamani, kufanya mapenzi na mke au mume wa mtu sio kosa kisheria.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kichwa chako kina wadudu[emoji23]
Yale unayoona kwenye filamu za ponoInawezekana bwana Lion-chawene yupo vizuri kwenye kunyadua wake za wananzengo wenzake, kwa hiyo anapiga sound kama defensive mechanism.....
ila waziri ana hoja kwanini uhangaike na mtu wakati hakupendi mwisho aje kukuwekea sumu kwenye chakula bure kama mapenzi yameisha kila mtu achukue hamsini zake kusiwe na uhasama life is too short ishu nyingine ni kwamba umekuta namchakata demu wangu kwenye gari eti unani mind ntakuja kupiga mtu bastola siku mojaKuanzia leo mke wa mtu sio sumu, hili suala liwekwe kwenye katiba mpya kabisa🤣