The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Sio kwasababu Jiwe alisema basi yeye ndie mwenye haki ya kuwa sahihi na alisema ukweli.
Hata jiwe mwenyewe hajatuthibitishia kwa kutuonyesha huo mkataba bali alisema tu public kama ambavyo Wazir Mwambe nae amesema.
Jiwe alisema mengi tu ambayo si sahihi kama "yule Jamaa aliesingiziwa kuingiza Million 7 kila dakika"
Akasema uongo pia "serikali inaidai Acacia Trillion 450 ambapo tukilipwa kila mtanzania atapatiwa Noah".
Kwa hio kuwa Rais hakukupi uhalali wa kuwa msema ukweli na wengine wakawa wanasema uongo.
Wala kusema maneno p3kee ya " msema kweli ni mpenzi wa Mungu",pia nako hakukupi uhalali huo.
Unaweza kuwa Rais na ukasema uongo ili kukidhi matakwa yako ya kisiasa kama ambavyo tunaona Mara nyingi tu Marais wetu wakisema uongo.
Thread closed