Waziri Godfrey Mwambe kama hauwezi kuthibitisha uongo wa Hayati Magufuli basi unapaswa kujiuzulu mara moja

Waziri Godfrey Mwambe kama hauwezi kuthibitisha uongo wa Hayati Magufuli basi unapaswa kujiuzulu mara moja

Sio kwasababu Jiwe alisema basi yeye ndie mwenye haki ya kuwa sahihi na alisema ukweli.

Hata jiwe mwenyewe hajatuthibitishia kwa kutuonyesha huo mkataba bali alisema tu public kama ambavyo Wazir Mwambe nae amesema.

Jiwe alisema mengi tu ambayo si sahihi kama "yule Jamaa aliesingiziwa kuingiza Million 7 kila dakika"

Akasema uongo pia "serikali inaidai Acacia Trillion 450 ambapo tukilipwa kila mtanzania atapatiwa Noah".

Kwa hio kuwa Rais hakukupi uhalali wa kuwa msema ukweli na wengine wakawa wanasema uongo.

Wala kusema maneno p3kee ya " msema kweli ni mpenzi wa Mungu",pia nako hakukupi uhalali huo.

Unaweza kuwa Rais na ukasema uongo ili kukidhi matakwa yako ya kisiasa kama ambavyo tunaona Mara nyingi tu Marais wetu wakisema uongo.

Thread closed
 
Inasikitisha sana !
Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi ?!!

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba !??

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC!

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO!!?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!
Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI!!!!!
Nchi inaliwa kwa kasi sana hivi sasa
 
Hata kama hutaki huo ndo ukweli wenyewe ambao hata mimi nimeuleza hapa mara 100 kidogo...

HAPAKUWA NA MKATABA WOWOTE ULIOKUWA UMESAINIWA

Ambacho kilisainiwa ni Initial Agreement Framework, na baadae ikasainiwa MoU kwa kuhusisha Oman Fund ambae alikuwa mwekezaji kwenye Bagamoto Special Economic Zone.

Hiyo Framework Agreement ilitaja ni mambo gani Mwekezaji aliyata kwa upande wake, na ilikuwa na duration ya mwaka mmoja! Yaani Serikali na Timu yake walitakiwa kujadili matakwa ya Mwekezaji, kisha baada ya hapo wakutane na Mwekezaji kwenye meza moja ili kujadiliana ni kipi na kipi serikali wanakubaliana nacho na kipi hawakubaliani!!

Kwavile muda wa JK ulikuwa umeshaisha, ina maana hiyo 1 year ya kupitia Framework na kufanya majadiliano ya mwisho ingefanyika na serikali ambayo angefuata!

Hilo suala la kuzindua mradi zilikuwa ni siasa za uchaguzi mkuu tu! Hata SGR walizindua vile vile!! Kila mtu anafahamu jinsi ambavyo Lowassa aliwakalia kooni CCM!! Na ndo maana hata ukifuatilia, utakuta miradi yote hiyo "imezinduliwa" dakika za majeruhi!

Tatizo watu mlizoea kudanganywa, na matokeo yake hata anapotoka wa kuwatoa matongotingo mnamuona ndo adui yenu!!
Wewe jamaa ni mpumbavu sana sana tu
 
Kwani Mstaafu J. Kikwete si yupo hapo hapo jirani au Msasani ajitokeze aweke hili wazi na bunge liweke msimamo pamoja na wizara husika.
Kwa kuwa aliyeukataa hayupo na baadhi ya hotuba yake iliyopigiwa makofi ipo basi waikanushe kwa ushahidi na mkataba mpya uje mezani.
Bandari tunaitaka kwa vyovyote!.
JK katu asingeweza kutoka hadharani na kumpinga Magu...

Na akifanya hivyo hivi sasa, watu watasemaje kama "...mbona hakusema wakati Magu yupo hadharani"!!

Kuna wakati, Ndugai na ujinga wake wote ule, kuna siku alisimama bungeni na kusema wazi wazi anavyoshangazwa ni kwa namna gani serikali inasuasua sana kwenye mradi kama ule! Na aliyaongea hayo wakati JPM akiwa bado hai!!

Kilichofuata, Wazalendo Feki wa JF wanaojifanya wao ndo wana uchungu sana na nchi wakati ni wanafiki tu, wakaanza kumshambulia Ndugai!!
 
Wewe jamaa ni mpumbavu sana sana tu
Dadangu, kulikoni?!

Ni frustration za kuachwa, kuletewa nyumba ndogo, au ni frustration za kufanyiwa kale kamchezo kwa nguvu?!

Kama ndivyo, unaonaje basi ukiongea na mumeo ili myamalize kiutu uzima?!

Tafadhali sana, usifikirie kudandia mabwana wa mitandaoni hususani kama una watoto wanaohitaji malezi ya mama!!
 
Wewe una chuki za kupelekwa kijiweni shauri ya cheti fake.

Mtoa hoja amemtaka Mwambe athibitishe huo uongo ili kuondoa ujinga kama huu wa kwako.
Mm sitegemei vyeti ili niishi ndugu yangu,naweza kukuajiri ww na ukoo wenu wote.

Kwann unalazimisha Mwambe athibitishe Ila hukutaka Jiwe athibitishe kile alichokisema?

Mbona unakuwa na double standards?
Tatizo lenu mmelishwa sana matango pori hadi uwezo wa kufikiri umeshuka
 
Sio kwasababu Jiwe alisema basi yeye ndie mwenye haki ya kuwa sahihi na alisema ukweli.

Hata jiwe mwenyewe hajatuthibitishia kwa kutuonyesha huo mkataba bali alisema tu public kama ambavyo Wazir Mwambe nae amesema.

Jiwe alisema mengi tu ambayo si sahihi kama "yule Jamaa aliesingiziwa kuingiza Million 7 kila dakika"

Akasema uongo pia "serikali inaidai Acacia Trillion 450 ambapo tukilipwa kila mtanzania atapatiwa Noah".

Kwa hio kuwa Rais hakukupi uhalali wa kuwa msema ukweli na wengine wakawa wanasema uongo.

Wala kusema maneno p3kee ya " msema kweli ni mpenzi wa Mungu",pia nako hakukupi uhalali huo.

Unaweza kuwa Rais na ukasema uongo ili kukidhi matakwa yako ya kisiasa kama ambavyo tunaona Mara nyingi tu Marais wetu wakisema uongo.
Mimi yote hayo siyajui, na wala msinihusishe kwa sababu sitaki ushahidi

Binafsi nalijua lile la Rais wetu kipenzi kuokota vichwa vya treni visivyo na mwenyewe pale bandarini...

Ndugu yangu TUJITEGEMEE, nakumbuka uliniambia nawe ulikuwa kwenye ule msafara ulioenda bandarini kimya kimya ingawaje mlikuwa na kundi kuuubwa la Waandishi wa Habari...

Hivi mliokota vichwa vingapi vile?!
 
Sio kwasababu Jiwe alisema basi yeye ndie mwenye haki ya kuwa sahihi na alisema ukweli.

Hata jiwe mwenyewe hajatuthibitishia kwa kutuonyesha huo mkataba bali alisema tu public kama ambavyo Wazir Mwambe nae amesema.

Jiwe alisema mengi tu ambayo si sahihi kama "yule Jamaa aliesingiziwa kuingiza Million 7 kila dakika"

Akasema uongo pia "serikali inaidai Acacia Trillion 450 ambapo tukilipwa kila mtanzania atapatiwa Noah".

Kwa hio kuwa Rais hakukupi uhalali wa kuwa msema ukweli na wengine wakawa wanasema uongo.

Wala kusema maneno p3kee ya " msema kweli ni mpenzi wa Mungu",pia nako hakukupi uhalali huo.

Unaweza kuwa Rais na ukasema uongo ili kukidhi matakwa yako ya kisiasa kama ambavyo tunaona Mara nyingi tu Marais wetu wakisema uongo.
Safi sana nimekuelewa
 
Jambo ambalo mara nyingi najiuliza ni kama mkataba ulisainiwa mbona hao wawekezaji hawajawahi kuishitaki Serikali ya Tanzania kwa kuvunja mkataba. Wataalamu wa kesi za kimataifa watusaidie pengine kuna kesi.
 
Inasikitisha sana !
Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi ?!!

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba !??

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC!

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO!!?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!
Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI!!!!!
Wananchi wengi hata hawana habari na hili. Wako bize, ajira, ukame mitaji, bongo star search, soka, movies, maisha...
Mitandaoni sanasana ndio wanajua haya ila watu wapaswa kufahamu. Sasa nani atawafanya wafahamu.


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Mm sitegemei vyeti ili niishi ndugu yangu,naweza kukuajiri ww na ukoo wenu wote.

Kwann unalazimisha Mwambe athibitishe Ila hukutaka Jiwe athibitishe kile alichokisema?

Mbona unakuwa na double standards?
Tatizo lenu mmelishwa sana matango pori hadi uwezo wa kufikiri umeshuka
Wew ndo kilaza kama umejiajiri basi ni kwenye unga .ukimsikilza mwambe utajua kuwa anrudia yale yale aliyosema magufuli.mfano ujenzi wa bandari yoyte from dar to tanga sasa hapo kwenye tanga ameandika tu pangani sasa watu wajiuliza pangani ipo wapi kama sio tanga hiyo hiyo
 
Wew ndo kilaza kama umejiajiri basi ni kwenye unga .ukimsikilza mwambe utajua kuwa anrudia yale yale aliyosema magufuli.mfano ujenzi wa bandari yoyte from dar to tanga sasa hapo kwenye tanga ameandika tu pangani sasa watu wajiuliza pangani ipo wapi kama sio tanga hiyo hiyo
Malofa kama ww siwajibu tena nimekupuuza
 
Ndugu yangu @TUJITEGEMEE, nakumbuka uliniambia nawe ulikuwa kwenye ule msafara ulioenda bandarini kimya kimya ingawaje mlikuwa na kundi kuuubwa la Waandishi wa Habari...

Hivi mliokota vichwa vingapi vile?!
Ha ha ha haaa! Uchokozi huo unafanya, Mkuu.
 
Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba?

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC!

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!

Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI!!!!!
Keshakufa nakushauri ukamfufue
 
Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?
Hatuna bunge acha kujipa stress, tuna kikundi cha CCM cha Praise & Worship. Kumejaaa waj...ng tupu mle ndani. Huwezi kuwa na mbunge ambaye hakuchaguliwa, huwezi kuwa na Wabunge wa chama kimoja tens chama chenyewe ni CCM!

CHAMA kinachowaza chaguzi tu siku zote, chama kinachotegemea uongo na state apparatuses Ku exist, chama kama hiki hakiwezi kamwe kuwa na Critical thinkers
 
Inasikitisha sana!

Tuna viongozi wa ajabu sana Nchi hii ! CCM iko wapi?

Aliyelieleza Taifa kuhusu " madudu" ya mkataba wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo alikuwa ni Rais wa JMT, Amiri Jeshi Mkuu, Mkuu wa Nchi, Raia namba moja mwenye taarifa zote muhimu 24/7 kuhusu Nchi yake kuliko raia mwingine yeyote!

Hayati Rais Magufuli aliyasema hayo mchana kweupe tena bila kumung'unya maneno na makofi mengi akapigiwa !!!! Nadhani hata huyu Waziri Godfrey Mwambe alikuwa kwenye hadhira hiyo kama Boss wa TIC !! Clip zipo YouTube!

Sasa swali kwako Ndugu Waziri Mwambe, umesema hakukuwa na mkataba wowote uliosainiwa!! Je iliwezekanaje Rais wa Awamu ya NNE Mhe. Kikwete kuzindua mradi na kuweka jiwe la msingi katika mradi ambao ulikuwa hauna mkataba?

Clip za uzinduzi huo zipo YouTube na ilikuwa covered katika taarifa ya habari TBC!

Kama kweli Mhe.Kikwete alizindua mradi ambao haukuwa na mkataba bado basi Matatizo ya Nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyoelezwa au tunavyofahamu!

Cha kusikitisha ni kuwa viongozi wote hawa wenye ndimi tofauti wanatokana na Chama Cha Mapinduzi!!

Bunge liko wapi?! Kwa nini wabunge msiombe taarifa rasmi kuhusu mradi wa Bagamoyo na sisi kama wananchi tuliowatuma Bungeni tujuwe KUNA NINI UJENZI WA BANDARI YA BAGAMOYO?

Kama kuna madudu wahusika wawajibike!! Kwa kweli wananchi mnatuchanganya sana!

Huyu anasema hili, yule anasema kile! CHAMA KIMOJA, SERIKALI MOJA , SCRIPT TOFAUTI!!!!!
Hana ufafanuzi wa mradi zaidi ya kusoma walichopanga
 
Back
Top Bottom