Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

Kwa hiyo shemej mnatuchanganya,kuna Gwajima mwanamke na Gwajima mwanaume
 
Huyu atatafuta mahali pa kulala, ameshaharibu kwa kina gwajima........anaweza akatakiwa kusalimisha na jina kama yule mbunge wa wapi kule.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji.

Waziri huyo amewashangaa wananchi wanaomuamini “huyu shemeji yangu Askofu Gwajima, hivi si ni yeye alisema atamfufua Amina Chifupa, Je alimfufua? Hivi si ni yeye alisema ubunge ni jambo dogo hawezi kuwa mbunge lakini hivi sasa ni mbunge. Hivi si ni yeye alikutwa na mrembo akasema ni mkono wa baunsa.. inakuwaje mnamuamini bado.”
View attachment 1895773
Serikali inatumia nguvu nyingi mno kumjibu Gwajiboy, kinachowatesa ni big U-turn yao ya kutoka nyungu na ghafla bin vuu kuhamia kwenye chanjo.
 
Ulinitaka mwwnyeqe lazima ung'ate meno.ebo.wewe mpiga nyungu aka mganga wa jadi.mwache gwajima boy afanye yake
 
Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji.

Waziri huyo amewashangaa wananchi wanaomuamini “huyu shemeji yangu Askofu Gwajima, hivi si ni yeye alisema atamfufua Amina Chifupa, Je alimfufua? Hivi si ni yeye alisema ubunge ni jambo dogo hawezi kuwa mbunge lakini hivi sasa ni mbunge. Hivi si ni yeye alikutwa na mrembo akasema ni mkono wa baunsa.. inakuwaje mnamuamini bado.”
View attachment 1895773
Gwajima Dorothy huna legitimacy wewe, ulituambia nini wakati wa mwendazake?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, lakini mimi waziri wa wananchi nimekula kiapo mbele ya Rais cha kutumiakia nchi, sio kumtumikia shemeji.

Waziri huyo amewashangaa wananchi wanaomuamini “huyu shemeji yangu Askofu Gwajima, hivi si ni yeye alisema atamfufua Amina Chifupa, Je alimfufua? Hivi si ni yeye alisema ubunge ni jambo dogo hawezi kuwa mbunge lakini hivi sasa ni mbunge. Hivi si ni yeye alikutwa na mrembo akasema ni mkono wa baunsa.. inakuwaje mnamuamini bado.”
View attachment 1895773
Huyu mama mcharuko kweli kweli.
 
Back
Top Bottom