macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
''Askofu'' wako hana hoja. Labda uniambie kujirekodi mwenyewe wakati anafanya ngono na waumini wake! Hili la mkono wa baunsa alifikiri limeisha kumbe ngoma bado iko mbichi. Akicheza watampeleka mahakamani kwa kurekodi na kusambaza clip chafu za ngono.Sasa haya ndio majibu ya hoja za Askofu?....
Nonsense.