Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum Dkt. Gwajima D ametangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili
Waziri ameandika; "Kwani huyu mashalove ambaye kila siku mnamtaja taja humu link yake Iko wapi tuone yaliyomo? Maana Kila mtu humu mashalove Masha Love"

"Na wengine ni akina nani hao ambao tunasema waache mambo ya kuchochea mmomonyoko wa maadili wao hawasikii la mwalimu wala la daktari? Na huku sheria tunazo".
z
Soma, Pia:
Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada
 
Safi kabisa.. At least watapunguza upuuzi wao mitandaoni
 
hii vita inakua ngumu kwasababu ya demand and supply, unless watumie nguvu kubwa kwa operation endelevu. kuhusu mmomonyoko imegeuka fashion usipoenda nayo hii hii jamii yenyewe inakuona mshamba mshamba. huyu waziri kama kweli ana nia afanye kazi kwerikweri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…