Makosa la huyo dada yamekwisha ainishwa kutoka kwa wachangiaji waliotangulia. Ila kwa ufupi makubwa ni :-Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.
Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
Hudumieni watoto bwana.Hili ni lifeminist tu linajikuta linamshirikisha Mungu kwenye mambo ya kipumbavu, mara nyingi au mara zote baba kukataa kuhudumia mtoto hapo ujue chanzo ni mama sema madingi hatunaga time ya kuzungumzia yanayotusibu tunakausha na Mungu ndo muamuzi.
Feminist huyu ni wa kupuuzwa hayo maombi yenyewe ukiyaangalia kwa jicho la tatu ni ya mchongo, maombi kashayafanyia rehearsal kayakariri mpuuzi mmoja wa kupuuzwa.
Wanaume walee watoto mama .wasikupotoshe .mleta mada anatetea watelekezaji watoto.kwani ni siri baba za hao watoto si hawatoi malezi.??Nitumie sms 0765345777 nipe tip za hawa wahujumu watoto tafadhali uone kazi, ahsante Sana
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Miss wewe endelea kutafuta! Huoni kama ni udhalilishaji wa watoto huo? Kwanza ana-share picha zao kwenye ma-group amepata wapi hiyo consent?Wanaume walee watoto mama .wasikupotoshe .mleta mada anatetea watelekezaji watoto.kwani ni siri baba za hao watoto si hawatoi malezi.??
Nitatafuta hadi nikupate.tunzeni watoto bna.acheni kumwaga mbegu na.kupita hivii.hivi damu yako siku 365 kwa.mwaka hujui anakula nini .tena unafanya miaka hata 20 for real.mna.mioyo gani wenzetu..?Miss wewe endelea kutafuta! Huoni kama ni udhalilishaji wa watoto huo? Kwanza ana-share picha zao kwenye ma-group amepata wapi hiyo consent?
sijasema wanaume wote,Wewe ni mpuuzi. Kwahiyo wanaume wote duniani wanaokataa kuhudumia watoto ni kwasababu ya mwanamke? you were born angels au sio? Pathetic creatures wote wanawaza hivi
tunahudumia ila ukitaka uishi na mtoto ili umhudumie vizuri unaletewa nyodo za kijinga ili aendelee kula mpunga wa matumizi ya mtoto.Hudumieni watoto bwana.
Sio wewe uliesema βmara zoteβsijasema wanaume wote,
unaonekana unapenda wanaume wote
Tushamwambia asiwajibu wajingajinga..π€£π€£π€£Wanaume walee watoto mama .wasikupotoshe .mleta mada anatetea watelekezaji watoto.kwani ni siri baba za hao watoto si hawatoi malezi.??
Yani we Robert pamoja na mathread yako marefuuuu unayoandikaga humu ila kuna kuna tu vitu tu dogo dogo hutujui na hutuelewi na tuna ku out smart! We hujaona kosa hapo??Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.
Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
Afya ya akili mkuu...Yani we Robert pamoja na mathread yako marefuuuu unayoandikaga humu ila kuna kuna tu vitu tu dogo dogo hutujui na hutuelewi na tuna ku out smart! We hujaona kosa hapo??
Nashawishika kuamini hivyo mkuuAfya ya akili mkuu...
Mgonjwa huyo.
Ni kweli kabisa unayoyasema. Kama hujaoa mwombe sana Mungu akupe mke mwema vinginevyo ni hatari ya kifo. Tena wengine wanakuvuruga kwa kushirikiana na mama yake mzazi. Utaomba ardhi ipasuke ujifukie. Kina mama wengi wameharibu maisha ya watoto wao kipuuzi kabisa.
Naunga mkono hoja ππYani mtu unaweza kuwa na akili nzuri ya darasani ukajua mambo mengi ila ukishaingiza chuki za kidini basi akili zinapotea..hiyo bibi ni ana chuki mnoo..huyo hafai kwenye jamii iliostaarabika
Naunga mkono hoja ππAhsante Sana ku save ndugu yangu, itakusaidia wewe na wengine wa karibu yako ambao, huwa naumia Sana kusikia mtu mmoja mwenye shida na jambo ambalo liko ofisini kwangu halafu bahati mbaya hajapata msaada katika mfumo rasmi halafu anaanza kulia peke yake hajui rufaa aifikishe vipi kwangu kwa haraka.
Huwa nikiona mtu mmoja kaamua ku save, huwa naamini nyuma yake wako kumi kama siyo 20. Umoja wetu ni nguvu yetu wala na ni msingi katika kusukuma mbele maendeleo na ustawi wa jamii na kupambana na kero kero za kutengenezwa na baadhi ya wasio na Nia njema[emoji1666][emoji1241]
Angalizo; Msipige Bali tumeni UJUMBE tafadhali. Na vema zaidi WhatsApp kwa kuwa naipata popote. Nikiwa nje ya nchi kama hivi sms za kawaida saa ingine mtihani. Ila Nina namba ingine pia ya 0734124191. Sms pia.
Ila call center yetu ni 0734986503 na 026 2160250. Saa za kazi siku za kazi. Kuna 116 kwa ajili ya taarifa za ukatili kwa watoto, siku zote saa 24.
Mkumbuke kuna namba ya IGP pia, 0699 998899.
Tukl vizuri kudhibiti wababaishaji na wanaoonea watu. πΉπΏπ€
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hivi wewe unafikiri ukiumbwa mwanamme basi ndio kila mwanamke alietoka ubavuni mwako ndio utakuwa unamuongoza tu ?
Kwani huyo mwanamke aliyeumbwa aliambiwa awe na kisirani na tabia mbaya kwa mwanaume zaidi ya kumtii mwanaume.
Wewe unaonekana unajua sana ya ndani kwako ila sio yanayokuzunguka, wewe unafikiri wazazi wote wa kike uwa wanawaambia ukweli watoto wao zaidi ya kuwalisha sumu na je unajua nguvu ya Mama katika kushawishi mtoto wake ? Na inawezekana hao watoto wengine wazazi wao wametengana tokea watoto wapo bado wadogo, baba anapeleka msaada kwa ajili ya mtoto mama anatupa na kukataa msaada kutokana na kisirani na tabia mbaya ambayo umeitaja (Sina shida na msaada wako sishindwi kumlea mtoto wangu koma kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mamayako, Usije ukasababisha nikaachika kwa mume wangu wa sasa kwanza huyu mtoto umkome sio wako nilikulambisha tu asali)
Ndugu sasa unataka kulazimisha matunzo mpaka mahakamani wakati mahakama yenyewe isharidhika kuwa mama yeye gangwe na anaweza kumudu kumlea mtoto.
Hakuna sababu zisizokuwa na mashiko ndio maana welevu wa jamii wameshaliona hilo.