DOKEZO Waziri Gwajima, hii anayofanya Lillian Mwasha kwa watoto siyo sawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.

Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
Makosa la huyo dada yamekwisha ainishwa kutoka kwa wachangiaji waliotangulia. Ila kwa ufupi makubwa ni :-
1. Kuwahoji mbele ya wanafunzi wenzao, hii yaweza kusababisha wakawa "bullied"
2. Kuwarekodi na kutawanya clip bila consent ya wazazi wote wawili
3. Kusikiliza watoto bila baba zao hivyo kuvunja kanuni ya audi alteram partem (hear the other side)
 
Huyu dada apigwe stop haraka sana anachofanya ni makosa makubwa mno.
Migogoro ya familia wanayoijua ni baba na mama. Hapo baba hajapewa nafasi ya kusilizwa anahukumiwa!!??
Huu ujinga anaofanya huyu dada aache mara moja ama apate consultatin kutoka kwa wataalam wa mambo husika.
This is not professionalism kutoka kwa huyu mtangazaji. Kaibuka na wazo lake bila kufanya consultation na wataalam husika
 
Hudumieni watoto bwana.
 
Wanaume walee watoto mama .wasikupotoshe .mleta mada anatetea watelekezaji watoto.kwani ni siri baba za hao watoto si hawatoi malezi.??
Miss wewe endelea kutafuta! Huoni kama ni udhalilishaji wa watoto huo? Kwanza ana-share picha zao kwenye ma-group amepata wapi hiyo consent?
 
Miss wewe endelea kutafuta! Huoni kama ni udhalilishaji wa watoto huo? Kwanza ana-share picha zao kwenye ma-group amepata wapi hiyo consent?
Nitatafuta hadi nikupate.tunzeni watoto bna.acheni kumwaga mbegu na.kupita hivii.hivi damu yako siku 365 kwa.mwaka hujui anakula nini .tena unafanya miaka hata 20 for real.mna.mioyo gani wenzetu..?
 
Hudumieni watoto bwana.
tunahudumia ila ukitaka uishi na mtoto ili umhudumie vizuri unaletewa nyodo za kijinga ili aendelee kula mpunga wa matumizi ya mtoto.

kwanza ukiona mwanamke kazaa na mwanaume kabla ya ndoa afu akaachwa bila kuolewa ujue kuna hitilafu mahala. Aiona unafuu kwa hiyo akaachia goli maksudi kutegea mimba anadhani ndo tiketi ya ndoa hajui kuwa wanaume mafala ni wachache hapa duniani yaani hatununuagi mbuzi kwenye gunia, mambo ya kibadilika mnang'ang'ania watoto na nyodo kibao,

hayo maneno hao watoto wanayasema yote wamelishwa na mama zao wawachukie baba zao, kisa baba zao waligoma kuwaoa mama zao kwa sababu hawana akili wala maadili.

wanawake wanaoachwa kwa kuonewa ni wachache na huwa wanakubaliana na hali zao maisha yanasonga, ila ukiona janamke linawalisha sumu ya chuki watoto, hilo ni gumegume lililoachwa kwa sababu halifai kuolewa na halitaolewi ng'o
 
Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.

Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
Yani we Robert pamoja na mathread yako marefuuuu unayoandikaga humu ila kuna kuna tu vitu tu dogo dogo hutujui na hutuelewi na tuna ku out smart! We hujaona kosa hapo??
 
Kwanini hakujiongeza japo awafiche sura zao?

Pili, kwanini mambo ya Familia za watu ayaongelee kwenye kadamnasi bila kusikiliza pande zote?

Hawa watoto watanyanyasika kisaikolojia Shuleni. Watakuwa wanaambiwa na wenzao "Ndo maana baba yako hakujali, lione hilooo". Mambo ya watoto shuleni wote tunajua. Inaweza pekekea hata wasiwe wanaenda shule. Pia inaweza ongeza mgogoro kwenye familia.
 
Kuomba Mungu ni muhimu sana mkuu, lakini pamoja na yote ni kutambua nafasi Mungu aliyotupa sisi kama wanaume, ni kubwa sana. Binafsi ninao wivu mkubwa sana juu ya nafasi yangu kama mwanaume katika kila kitu, kimajukumu na hata kimaamuzi.
 
Yani mtu unaweza kuwa na akili nzuri ya darasani ukajua mambo mengi ila ukishaingiza chuki za kidini basi akili zinapotea..hiyo bibi ni ana chuki mnoo..huyo hafai kwenye jamii iliostaarabika
Naunga mkono hoja πŸ‘πŸ‘
 
Naunga mkono hoja πŸ‘πŸ‘
 
Mkuu, ni wanaume dhaifu tu ndio hukimbia watoto wao na kisha kuleta sababu hizi ambazo umeleta wewe.

Halafu hizi hadithi za mtoto kulishwa sumu nimeshawahi kusema humu, ukiona mtoto wako amelishwa sumu na mama yake kuhusu wewe ni ushahidi tosha ulikuwa hutimizi majukumu yako kama Baba.

Kama unataka kulea mtoto wako na mzazi mwenzako hataki anasema anamudu matunzo, afanye hivyo kukiwa na mashahidi ili baadae ikusaidie kukusafisha kwa mtoto. Akisema mtoto sio wako na wewe unaamini ni wako, hujui ni nini cha kufanya? Wanaume hatususi mkuu.
 
Alichofanya sio kizuri kinajenga picha/ taswira mbaya kwahao Watoto nankitawaathiri katika makuzi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…