DOKEZO Waziri Gwajima, hii anayofanya Lillian Mwasha kwa watoto siyo sawa

DOKEZO Waziri Gwajima, hii anayofanya Lillian Mwasha kwa watoto siyo sawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna watoto wengi sana wanapitia hayo , wanaume hatuwezi kukwepa hizi lawama tujitahidi kuwajibika kama tulivyo kazana kuwaleta Dunia Basi tuwalee..kosa labda kuwapelaka mtandaoni hata hivyo mtandaoni wangeonekana tu kwa wakati wa Sasa mitandao haikwepeki
Tuwanyonyeshe? Mtoto kaambiwa ukifeli shule tafuta babako, huko si kuwajibika?
 
Ni kitu kizuri kumfariji na kumtia moyo mtu, ila hapo si mahali sahihi. Kwa muktadha wa shuleni, wanafunzi wenzio wakijua matatizo yako wanaweza kuyatumia against you mambo yakazidi kuwa magumu kwa mhusika.

Nilipokuwa binti mdogo nilikua namuona Lilian kama mtu mwenye akili sana sababu anajua kuongea/present, baada ya akili zangu kukomaa nimekuja kugundua Lilian ni mpumbavu mmoja mwenye “Audacity” na guts za kudisplay upumbavu hadharani, sorry not sorry.

Bottom line: wanaume jitahidini kuwa kwenye maisha ya watoto mnaoshiriki kuwaleta duniani baada ya ile starehe, hakuna maumivu mabaya kama maumivu ya kukataliwa, ninyi tu mkikataliwa kwenye kutongoza mnakuwa na vinyongo wakati mwingine inakuwa vita kabisa, sembuse mtu aliyekataliwa na aliyemleta duniani? SMH! 🤦🏻‍♀️
Asante kwa paragraph ya tatu
 
Kabisa, kumwambia mtoto usilete zero ndani kwangu ni kutokuwajibika? Kwahiyo anataka tukawafanyie quez mashuleni?
Leo nataka kutoa somo, kwa kutoa mfano ambao umenitokea, kwa hawa wapenzi wetu wa zamani ambao tumezaa nao na haikuwa riziki (yaani hatuishi wote)! Hasa wanaoitwa jina ambalo silipendi - single mothers.

Tunapokuwa wakali kwa Watoto wetu mnaoishi nao, msione tunawaonea. Mnapotumia mtoto kama fimbo za kutuchapa, msisahau anayeumia ni mtoto na wanaopata aibu ni wote tuliounganisha vikojoleo akatokea huyo kiumbe!

Imagine mtoto ambaye ana miaka 20 anasahau passport ndani ya ndege, katika nchi ya watu ambayo inapiga vita immigration na kuona Ngozi nyeusi ni wahamiaji haramu, lakini yeye anaona it’s okay! Haoni kusikitika chochote! Hii ni effect ya malezi. Unampigia mama yake, yeye anazidi kukueleza kuwa ni bahati mbaya tu! Na shobo za kujitetea ati amemlea vizuri mwanae ila tatizo hakupata malezi ya wazazi wote wawili wakiishi nyumba moja!!! Mtoto hajutii tendo hilo. Inaumiza na kuonesha unapoteza nguvu na financial resources bure!

Ubaya huelewi unaponitandika kwa kutumia mtoto wako, wewe unapata hasara mara mbili Kwani mimi pamoja na kupata hasara kwa huyu, ninao wengine. Mnadani mnamkomoa hilo jianaume, kumbe mnajikomoa wenyewe.

Chonde chonde, kila wakati kumbuka, kwa vile mtoto hakuwepo wakati mkifaidi kuunganisha vikojoleo, mnapokorofishana, mtoto mwekeni mbali. Baba akijaribu kumfundisha mtoto kuwajibika in hard way, kwa kumweleza kuwa ‘ukifeli form four, basi wewe si mwanangu ’ kisiwe kigezo cha kumwonesha mtoto kuwa baba hakupendi. Siku Njema
 
Ni kitu kizuri kumfariji na kumtia moyo mtu, ila hapo si mahali sahihi. Kwa muktadha wa shuleni, wanafunzi wenzio wakijua matatizo yako wanaweza kuyatumia against you mambo yakazidi kuwa magumu kwa mhusika.

Nilipokuwa binti mdogo nilikua namuona Lilian kama mtu mwenye akili sana sababu anajua kuongea/present, baada ya akili zangu kukomaa nimekuja kugundua Lilian ni mpumbavu mmoja mwenye “Audacity” na guts za kudisplay upumbavu hadharani, sorry not sorry.

Bottom line: wanaume jitahidini kuwa kwenye maisha ya watoto mnaoshiriki kuwaleta duniani baada ya ile starehe, hakuna maumivu mabaya kama maumivu ya kukataliwa, ninyi tu mkikataliwa kwenye kutongoza mnakuwa na vinyongo wakati mwingine inakuwa vita kabisa, sembuse mtu aliyekataliwa na aliyemleta duniani? SMH! 🤦🏻‍♀️
Nimependa maoni yako, ila kumbuka ndoa ni kitu tofauti na urafiki wa mapenzi. Unaweza kuzaa na mtu baadaye asiwe mtu sahihi wa kuishi naye. Ikitokea, mzazi jaribu ku move on ili mkalee hicho kiumbe. Kung’ang’ania kuolewa kwa kumtumia mtoto, haijengi bali kuharibu future ya mtoto
 
Huyo akishaona majina ya kigalatia mfano kina Ester,Dorika or Dorice,Maria n.k mapepo yanampanda....
Yaan Damu inamchemka balaa na hapa ndio huwa udhaifu wake kuna maeneo mengine anakuwa na hoja
 
Kwa kigezo kipi anatumia kuhakiki hiyo 'chuki' ikiwa ni mtoto ndio kaulizwa bila ya mzazi husika kuwepo?

Kuwaita mbele ya wenzao ni kuweka suluhisho lolote la kuleta huo upendo? Kama dhamira ni kumkabili/wajibisha mzazi husika, je anaathirika/wajibishwa vipi ikiwa hayupo hapo?

Kwa sehemu kama shule hudhani anatengenezea hao waliojitokeza mbele mazingira ya kuonewa 'bullying' na wenzao kwa kufanyiwa dhihaka ya kutokupendwa na wazazi wao?
Kiongozi nakubaliana na wewe hasa kwenye bullying, unyanyapaa na usokoronyo-mtima😁, maana sasa watakwekwa label... The best way ilikua kuwa identify na kuongea au kuwa ombea kwa siri... Hapo anatafuta public attention na sympathy.
Ikumbukwe kwamba baba kukataa kumhudumia mtoto Kuna sababu nyingi, na sio makosa anayo baba peke yake... Wako wamama walidaka mimba ili waolewe au wajengewe nyumba....na malengo hayo hayakuwekwa wazi kwa mwanaume, sasa inapotokea ameshika mimba anadai haki wakati hayakua makubaliano ya awali ktk mahusiano, Je ni Sawa kulazimisha mtu?
Ni wakati sasa wamama wawajibike kwa kutokujitunza na kudandia mahusiano yasio na malengo ya ndoa... Matokeo ni kama haya... Nasisitiza sababu ziko nyingi na hii ni moja wapo tu!!
 
Kiongozi nakubaliana na wewe hasa kwenye bullying, unyanyapaa na usokoronyo-mtima😁, maana sasa watakwekwa label... The best way ilikua kuwa identify na kuongea au kuwa ombea kwa siri... Hapo anatafuta public attention na sympathy.
Ikumbukwe kwamba baba kukataa kumhudumia mtoto Kuna sababu nyingi, na sio makosa anayo baba peke yake... Wako wamama walidaka mimba ili waolewe au wajengewe nyumba....na malengo hayo hayakuwekwa wazi kwa mwanaume, sasa inapotokea ameshika mimba anadai haki wakati hayakua makubaliano ya awali ktk mahusiano, Je ni Sawa kulazimisha mtu?
Ni wakati sasa wamama wawajibike kwa kutokujitunza na kudandia mahusiano yasio na malengo ya ndoa... Matokeo ni kama haya... Nasisitiza sababu ziko nyingi na hii ni moja wapo tu!!
Well said bro
 
Japo simjui huyu liliani ni nani lakini hiki kitendo alichofanya kina nia ya kufarakanisha kijinsia otherwise angewaita na wale wasiopendwa na mama zao watoke mbele pia maana tunawajua wengi sana waliotelekezwa na mama zao wengine walitupwa wakiwa wachanga wakalelewa kwenye vituo vya watoto yatima.

Inasikitisha sana siku hizi hawa wanawake wanaojiita wasomi wengi wamekuwa disgrace katika jamii hawajengi bali ni wabomoaji jamii.
 

Hawa wanaharakati uchwara wana matatizo sana. Sasa hapo amewasaidia hao watoto au amezidi kuwaharibu kisaikolojia?

Lakini ndugu zangu wanaume tuone aibu, tunatungisha mimba, tunapotea na kuwaacha watoto wakiteseka halafu baadae tunawalaumu mama zao eti wanawajaza chuki watoto.
Hakuna mwanaume anayekataa mtoto mkuu! Ila mama zao wanawakatalia, hawahitaji hata baba zao kuonana na watoto wao. Zaidi ya hapo hata baba anawajibika kwa kiasi gani provided hakai na yule mtoto, mathalani anamtumia mama yake matumizi ya mwanae, mama anajificha kwenye kichaka cha kuwa yeye ndo anamhudumia mtoto kwa kila jambo,
 
Back
Top Bottom