Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
na boss wake pia kachange gia anganiKumbuka wakati wa nyungu alivyokuwa na vituko sasa kama siye kabisa aliyekuwa kakumbatia nyungu hadi kupiga nyungu hadharani.,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na boss wake pia kachange gia anganiKumbuka wakati wa nyungu alivyokuwa na vituko sasa kama siye kabisa aliyekuwa kakumbatia nyungu hadi kupiga nyungu hadharani.,
Huyu waziri wetu wa afya huyu [emoji1787][emoji1787]
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
na boss wake pia kachange gia angani
tupo katika jamii yenye watu wasioeleweka kimisimamo wala itikadiWatu wa ajabu sana UNAFIKI ili kulinda matumbo yao unawapa tabu sana matokeo yake wanayumbishwa yumbishwa tu.
tupo katika jamii yenye watu wasioeleweka kimisimamo wala itikadi
matumbo ndio yanaamua leo awe wapi na kesho awe wapi
bila kujali madhara wanayopata wale waliomwamini jana na wakagoma kumwamini leo wakidhani yale ya jana ndio sahihi hata kama siyo
Anachamba huku anakuchekeaAiaee kila siku huwa nnalisema kimoyomoyo, huyu Mama is special. Nadhani ni mtu flani mcheshi, mwenye mizaha flani hivi sio ya kuboa halafu anajua anachokifanya. Kwa kweli yupo safi
Hata mimi nimeshangaa sana. Na waandishi hawajamuuliza hili.Water for injection hata akirukaruka Haina shida.
Maana Jana tu alisema alishachanjwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwezi ukaamini kuwa huyo ndie huyu aliekuwa akihimiza kutumia Mizizi na tiba za ajabuajabu
View attachment 1872040
I like her. She is full of spunk.
Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Ila nae huyo naibu wake amekaaga kama hamnazo. Hii wizara aisee 😃Huwezi ukaamini kuwa huyo ndie huyu aliekuwa akihimiza kutumia Mizizi na tiba za ajabuajabu
View attachment 1872040
Amepiga kitoko😃😃😃Anaonekana katupia yokozuna huyo
Huyu si alikua anakunywa juice ya malimao mbele ya camera huyu!!? uzuri anasahau kirahisi na kusonga MBERE...
Sent from my M2101K7AI using JamiiForums mobile app