#COVID19 Waziri Gwajima: Kanda ya Ziwa, Kilimanjaro kumeathirika zaidi na Corona


Umeandika kama ulikuwa kwenye boda boda na njia ni fulu mashimo.

Tokea wapi? Au tokea pande za buseresere mkuu?
 
Wanajitahidi IMF wanazidi kubada screw kuongeza masharti ya kupewa msaada wa corona. Hii yote ni kampeni ya kutegeneza mazingira ya huo msaada. Na IMF waongeze masharti zaidi na ndio njia ya kuadabisha wasio na misimamo wanao sukwasukwa na upepo na kutapakaa kama majani ya miti makavu.
 
Dr. Gwajima basi wekeni lockdown huko kanda ya ziwa na kilimanjaro !

Kuhusu hilo waziri amekutangulia mkuu:

Kuhusu suala la “ Lockdown” Waziri Gwajima alisema Tanzania haina mpango wa kuweka wananchi wake “Lockdown” na kusisitiza kuwa watawekeza zaidi katika kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na ugonjwa huo.

 
Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.

Shinyanga siyo mkoa ulioko kanda ya ziwa.

Kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Mwanza na Geita.

Kwahiyo wewe unameza kila unachokiona humu JF?

chagga dema jina zuri ulitakiwa ujengewe sanamu lako tunaomba tutumie jina hili chaggadema
 
Hao watu wanaodondoka sana ni wangapi?

Kwa ugonjwa gani? Lini? Wapi? Saa ngapi? Umejuaje?

We ni mchawi au nabii?
Wewe huna akili. Unabisha tu. Kwani kuugua Corona ni aibu ?!. Corona si kaswende wala gonorhea uone aibu. Ni ugonjwa wa mlipuko tena usioangalia ukada wako. Muulize Jiwe aliyeibeza
 
Kwamba hakuna maambukizi ya Corona? Kwamba hizi taarifa na wale wagonjwa hospitali ni wa kuigiza? Mama hana roho ya kutoa watu roho, JIWE alikuwa na roho ya damu, hakujali watu kufa.
 
Waziri kaachana na ule upumbavu wa awamu ya tano wa kutumia kachumbari kama dawa ya Corona na kudanganya eti mabeberu hayatupendi yametuletea Corona.
 

Waambie wako Watanzania kati ya hawa 60M miili yao ni hekalu la Holy Ghost. Wasije ichezea kwa hiyo chanjo yao wabayo iagiza. Mungu wa Mbinguni hata wacha salama awaangalie wakichezea mahekalu yake atawaharibu wao, 1 Wakorintho 3:16-17.
 

Kulikuwa na mawazo haya:



Unaonaje kama tungeachana na sintofahamu hii ya mikopo na misaada, ili tupambane na gonjwa hili bila ya kuhusianisha pesa?
 
Mwongo huyu mbona hatuoni kitu? Huku hata huo umbea hamna tunasikia tu kwenye mitandao, huu ugonjwa wa kuleta mnaukuza sana. Eti walipungikiwa mitungi? Aiseee siasa mbaya.
Hawa jamaa wako njema sana kwa proganda, hali ni tofauti kabisa na mitandaoni na matamko yanayotoka.
Na kama hali ingekuwa mbaya kweli sidhani kama ziara za mikoani na press conference zingekuwa zinafanyika wakati huu.
 
Kijiji gani hicho na kiko mkoa gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…