Wewe hata ukimpiga wa kwako utashughulikiwa tu, miafrika unyanyasaji ndio mnaona style ya malezi! mnafyatua watoto wengi huku mkiwa na umaskini uliotopea hivyo hasira za ugumu wa maisha mnahamishia kwa watotoSasa Kwan Kuna shida gan hapo? Mbona ameadhibiwa Kawaida sana ? Yaan sku hizi taifa la kiherere sana !!! Wakiachwa mnaanza kua malezi mabaya Aya wakiadhibiwa umbeya Tena!!