BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Waanze na watoto wa mtaani wakimaliza ndio waanze kuja majumbaniHii ni nchi sio GETO.
Lazima utaratibu uwekwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waanze na watoto wa mtaani wakimaliza ndio waanze kuja majumbaniHii ni nchi sio GETO.
Lazima utaratibu uwekwe.
Ukute baba nae anaogopa kurudi nyumbani kichapo kwa woteUwepo na sauti ya baba ni muhimu sana kwa ustawi wa jamii
Rubbish 🗑️ achana na mimiNa wewe kuna mtu anakuita baba? Yalaaaah!!
Basi hata panya ni BABA.
Cc: Nyani Ngabu DR Mambo Jambo Kapeace Kalpana Lamomy Extrovert
Hii ni tabia ya kurithi kutoka vizazi na vizazi, ni wakati wa kubadilika kwa jamii yetuTaifa la vipigo.
😆😆 kwa mkono huo huwenda maana wanaume wengi hawasemi wanayoyapitia kwenye ndoaUkute baba nae anaogopa kurudi nyumbani kichapo kwa wote
Yeah alipaswa kuwa mtu kwanza kuripoti ila sio mbaya amesaidia pia kupata tukio ambalo linaweza kuwa funzo kwa wengineSasa huyo mchukua video anashindwaje kuripoti tukio hilo?!
Keep pushing mam,And life goes on 😉
Angemchapa tu na viadhabu vya kitoto sio kumrushia makonde na mateke.
Sio kwamba hadi tundu la choo likakuchezaHadi tumbo la uzazi limenicheza!
Tukio la video ya mtoto akiadhibiwa vikali na mama yake, lililopostiwa na mwanahabari Tweve Devota kupitia mtandao wa X, limezua taharuki mtandaoni. Mama huyo, anayeishi Mbezi Mwisho, Dar es Salaam, anadaiwa kumtesa mtoto wake mara kwa mara.
Dkt. Gwajima D , Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, alijibu kwa haraka kupitia mtandao wa X, akiahidi kuchukua hatua mara moja. Alitoa mwaliko wa ushirikiano kutoka kwa mtoa taarifa ili timu yake ifike eneo hilo haraka na kumsaidia mtoto huyo.
Majibu ya Waziri Dorothy Gwajima yalionyesha uwajibikaji wa dhati wa ofisi yake, akisisitiza kwamba visa vya ukatili kwa watoto haviwezi kuvumiliwa na kwamba hatua stahiki lazima zichukuliwe kwa ushirikiano wa jamii.
Soma, Pia: Waziri Gwajima chukua hatua kwa ukatili huu aliofanywa mtoto shule ya Msingi Kitefu, Halmashauri ya Meru
Linaachaje kucheza kwa mfano 😂😂Sio kwamba hadi tundu la choo likakucheza
Kichapo cha kawaida kabisa hiko ,wangemuona mama yangu ( alale salama ) enzi hizo basi angekuwa jela sahv maana hiko kichapo hata robo hakifikii ,huyo mtoto kachapwa kikawaida sanaKweli nyakati zimebadilika wakati tunakuwa tumechezea kichapo kweli ingekuwa wakati zama hizi kumbe wazazi walikuwa wanaenda selo
Kama hajaripoti wewe umejuaje? Acha ujinga.Sasa huyo mchukua video anashindwaje kuripoti tukio hilo?!
Nikiacha ujinga utauchukua wewe?! Nambie mkuu wa wajinga!Kama hajaripoti wewe umejuaje? Acha ujinga.
Watu wamekula nyundo za maishaVipi ile ya binti wa Yombo imeishiaje
Niko pamoja nawe, lakini kwanini mzazi Stress zake zimsababishie maumivu mtoto badala ya kumtafuta mwenza wake na kugombana nae!? It doesnt make any sense!mara nyingi watu wa hivo wana stress sina hakika kama baba yuko