BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Unahitimisha lakini hujui story iliyoko behindHuko sio kupiga ni kautaka kuua hapo nguvu aliyotumia utafikir alikuwa anapigana na mwanamke mwenzake wanayelingana.
Ila sishangai wanawake wengi wenye miili kama hiyo Huwa wanakuwaga na roho mbaya, makatili pia ni single mothers.