#COVID19 Waziri Gwajima: Marekani imechanja 2.4% ya watu wake na J&J

Chanjo haizuii kupata corona, Wala haizuii usife kwa corona. Hilo unapaswa kulifahamu
Kweli lakin chanjo zinaupa mwili nguvu zaid za kupigana na corona,ivo unaweza ukapata lakin usiumwe au ukaumwa kidogo.
 
Khalafu Marekani waipuuze kwa asilimia 38 ya walio chanjwa. Ujanja ujanja wa kutumia jargons hausaidii. Mungu wa mbinguni atuepushie mbali na maambukizi baada ya kuchanjwa.
Hoja yako hapo haijajaeleweka
 
Hilo la uvaaji glovu nimesha kutoa elimu yake ya kisayansi. Ninairudia tena hapa kama ulikuwa hujaisoma huko juu:

Sababu kubwa ya watoa huduma ya afya kuvaa gloves ni kujikinga kuambukizwa virusi vya hiv na vya hepatitis ikitokea wakashika au kugusa damu ya mtu ambaye ana virusi hivyo. Kabla ya ujio wa virusi vya ukimwi mwaka 1984 walikuwa hawavyai gloves isipokuwa wakati wa operesheni huko theatre ambako walivaa surgical sterile gloves kwa ajili ya kutompandikizia bacteria au fungus mgonjwa wanayemfanyia upasuaji (surgical site infection prevention), kitu ambacho ni hatari sana kwa maisha ya mgonjwa anayefanyiwa surgery. Surgical gloves hizo ziliwakinga wanaofanya operesheni pia wasiambukizwe na virusi vya hepatitis virus kutoka kwenye damu ya mgonjwa wanayempasua. Hata kwenye kuzalisha huko labour ward (delivery rooms) walikuwa hawavyai gloves. Manesi na madaktari walikuwa wanawazalisha mama wajawazito bila kuvaa gloves. Walivyaa surgical gloves tu pale ilipobidi kuongeza njia ya uzazi (vagina) kwa kuichana kwa mkasi (episiotomy) na baadaye kuishona.

Gloves zilizokuwapo ni surgical sterile gloves kwa ajili ya operesheni na non sterilr examination gloves kwa ajili ya examination kwenye maeneo maalum ya mgonjwa mgonjwa kama (i)per rectal examination ambapo daktari anaingiza kidole chake kimoja (index finger) ndani ya mkundu wa mgonjwa na (ii) per vaginal examination ambapo daktari au muuguzi anaingiza vidole viwili au vitatu kwa pamoja ndani ya uke wa mgonjwa.

Examination zingine za mgonjwa au utoaji wa huduma kama kuchoma sindano na kufunga kidonda hakukuhitaji kuvaa gloves ila mtoa huduma alinawa mikono kwa sabuni au antiseptics (hizi antiseptic ndiyo leo mnaziita sanitaizer) kabla na baada ya kumuhudumia/ kumgusa mgonjwa ili kuzuia kusambaza (transmission) vidudu hatarishi kama vya bacteria, virus na fungus (pathogenic microorganism) -- nasocomial infections aka hospital infections. Mbinu nyingine anayotumia mtoa huduma bila kuvaa glovu inaitwa non touch technique - mtoa huduma anahakikisha hagusi damu ya mteja wake. Kwa mfano akishakudunga hiyo sindano ya chanjo, anaweka kipamba (swab) kwenye hiyo sehemu na mgonjwa mwenyewe ndiye anaigandamiza hiyo pamba kwa kidole chake mwenyewe hadi damu itakapoacha kutoka. Hivyo mtoa chanjo hagusi damu ya huyo mteja wake bali mteja ndiye anashika damu yake na baada ya hapo anapewa sehemu ya kuitupa.

Huu uvaaji holela wa gloves zisizo sterile na wala si examination gloves kwa kila mtu ni kwa sababu la kujikinga na janga la ukimwi ingawa pia vinasaidia kukinga kupata virusi vya hepatitis.
 
Hoja yako hapo haijajaeleweka

Marekani wamechanja asilimia kama 40 ya watu wao/Raia. Kumbuka sio kuwa chanjo haiko ila hao 60% waliobaki wanakataa kuchanjwa.

Kati ya 40% walioochanjwa 2.4% ndio walitumia JJ na ilikuwa kabla ya madhara yake kujitokeza. Na yalipojitokeza ndio wale walio sita kuchanjwa wakawa wanakataa katakata kuchanjwa. Serikali yao inafanya kampeni za kulazimishia kuchanjwa. Moja ya silaha ni kutishia kusitishwa kwa ajira yako kama wewe ni muajiriwa..

Hivyo takribani 38% ya waliochanjwa hawakutumia JJ wanatumia nyingine ambazo wanalazimika kuchwanjwa mpaka mara tatu. Hii si mitandao tunaongea na wanaoishi huko.

So unaposikia mtu anasema JJ kuchwanjwa ni mara moja tu 'one shot only' tunabakia kushangaa anazo taarifa za uhakika huyu? Aliye kuletea hiyo ya kuchanjwa mara moja yuko radhi achanje watu wake ya kurudia rudia hadi mara tatu. Hujiongezi tu! Na kusema kulikoni? Hatuwasaidii kwa sababu kwao waliochanjwa taarifa hii is too late.
 
Hawaiamini wakati ndio aliyochanjwa joe biden,rais wao?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti wenu alisema chanjo iwe lazima.

Unapingana nae???
 
Wewe unaishi bongo??
 
Pfizer -70°C storage nchi zetu hizi ni changamoto kuwa na hizo freezer kwenye kila kituo cha chanjo
 
Ungeenda kwa walinzi wa Raisa uwaambie wakupe kile kichupa cha chanjo ukifanyie chemical analysis mwenyewe kama Chanjo yenyewe kweli.
 
Vaccine efficacy ya asilimia 60 inamaanisha WOTE waliopatiwa hiyo chanjo uwezo wao kutougua ugonjwa unaolengwa ni asilimia 60 zaidi ya wale wasio na chanjo. Kwenye Corona wanapima kuugua serious hadi kulazwa na kuhitaji oksijeni pamoja na vifo.
 
Pfizer.
 
Tatizo wanadai wakishachanja wao wanakuwa salama baada ya hapo yy anakuwa na uwezo mkubwa wa kuambukiza kirusi kingine ambach ni variant wakali mwisho wasiku kinazunguka na kujaa tn kuambukiza waliochanjwa kwa maana hy tutalazimika kuchanjwa kilaa mara maana kirusi kinajibadili km dunia nafikiri ingegekuwa na chanjo mojaa tu kudhibiti hz variant sasa tutawezajee kudhibiti kama kilaa siku zinaibuka vipya
 
HIVI 1M NI ASILIMIA NGAPI YA 60M
Convert fraction (ratio) 1 / 60 Answer: Convert fraction (ratio) 1 / 60 Answer: 1.666666666667%
2.400000000000
LESS 1.666666666667
0.733333333​
 
Huyu mama namuona Kama comedian vile,hachukulii Mambo serious,amenishangaza Sana Jana,baada ya kuchanjwa tu aiaanza kurukaruka huku akijua side effects za dawa lolote laweza tokea.
Hi inanifanya niamini hakuchomwa dawa ila water for injection.
 
Ungeenda kwa walinzi wa Raisa uwaambie wakupe kile kichupa cha chanjo ukifanyie chemical analysis mwenyewe kama Chanjo yenyewe kweli.View attachment 1872408

Huyu kwenye picha ni nani? Barakoa imenitoa ushamba wa kutambua sura. Naonesha bado unashangila ushindi wa simba kule kigoma. Mjiongeze kwenye ujumbe uliobebwa na tai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…